Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

kama ni sprint na inaleta invalid means unatakiwa ku unlock ur device... samsung yenye blacklisted imei huwa ni emergency calls na kama imecorrupt efs with unknown baseband huwa ni no service na hakunaga invalid, invalid sim means unaccepted sim since the phone accepts sprint simcard... I can unlock it bila kuja nilipo yaan unastay ulipo, ntakachohitaji ni wewe kuwa na pc tu kisha unipe access to ur pc thru anydesk/tv/Uv nk...kama uko ready to pay just contact me
Poa so itagharim sh ngap???
 
Nawezaje kuongeza ukubwa wa sms kwenye simu yangu maana nikiweka maneno kidogo tu inachange to MMS na simu ni galaxy note 5
Acha Kuitumia Hiyo App ya simu as Default sms app, Ingia Playstore downlod *TEXTRA* na ifanye iwe default app inablock sms kwenda MMs
 
Acha Kuitumia Hiyo App ya simu as Default sms app, Ingia Playstore downlod *TEXTRA* na ifanye iwe default app inablock sms kwenda MMs
thanks mkuu,kiukweli nimeipenda sana hii textra,sijajua usalama wake ila user interface yake iko poa
 
Ukiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.

Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869

Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Mkuu simu yangu ilirestart upya kabisa Na kila ktu kilianza upya, sasa ntawezaje kurudsha picha zangu
 
Mkuu heb nipe app nyingine ambazo kiukweli ni very useful kwenye kila angle
Sasa Hapo Inategemea na Hitaji Lako ambalo Mimi siwezi kujua, Kwahyo Ili iwe kazi rahisi inabidi useme ni kitu gani kinakuboa mfano kma ulivyoelezea kuhusu meseji hapo nitajua nikuambie app ipi itakufaaa, Ila ukiniambia niolodheshe app zote itakuwa kasheshe maana Zipo nyingi na ni very Usefully...
 
Jamii forum mods naombeni muurudishe huu uzi wangu kwenye jukwa a la Tech na sio huku,
 
Nina samsung j1 ace inakataa kusave Apps kwenye external storage.
 
Back
Top Bottom