Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Simu yang samsang note 2 inaandika unfortunalty andoid and apps,baadh ya apk apps na official apps za playstore
Kwanza
Hakikisha divice yako inaendana na app uipakuayo
Yaani version ya simu na app
Pili Ram tazam kama in a nafas ya kutosha kuebdesha app nyingi
Tatu storage hakikisha Una nafasi ya kutosha kwa memory card yako ama internal
 
Wakuu,habari zenu wataalamu.

Naombeni msaada wa ushauri wa simu yangu, ni tecno W3 LTE, nimenunua kwa mtu,nikaamua kuireset, kwasababu ilikuwa ina pin lock,baada ya hapo. Nikaiwasha kwenye kuweka set up nikakuta kitu kinaitwa google account verification,kuanzia hapa nikawa sina ujanja wa kuendelea wa kutumia simu.

Nimejaribu kuangalia Youtube, na kwa kutumia SP FLASH TOOL na MIRACLE BOX 2.29A, lakini vyote hivi hamna mafanikio yeyote.

Msaada wenu wakuu,hela imeenda,na kuwa kama nimeiba simu sasa.
Nipigie 0753093869 ukiwa na 30000
 
Mkuu simu yangu inasumbua nikitaka kupakia picha inaniandikia kama ifuatavyo "Allow Gallery to Access Photos,Media and file on your Denice,Halafu kwa chini kuna maneno Deny_Allow"Msaada wako plz,ni Tecno W2
Allow ili undelee kusave picha
 
Wakuu kwema nina cm yangu samsung j1ace imedondoka lakini haina crack sehemu yoyote nimejaribu kuwasha display haioneshi lakini mtu akipiga inaita na sms zinaingia nimeshatoa hadi betri zaidi ya mara moja msaada plz
 
Simu yang samsang note 2 inaandika unfortunalty andoid and apps,baadh ya apk apps na official apps za playstore
operating system ya cmu yako imecorrupt so u need to reinstal it... kwa lugha rahisi unatakiwa kuflash cmu yako, unaweza fanya mwenyewe kama una pc na kama utapata mtu wa kukuelekeza bt ni too risky kufanya majaribio kwenye device kama hyo hvyo una option ya kumpelekea fundi akakufanyia hyo kazi
 
Wakuu,habari zenu wataalamu.

Naombeni msaada wa ushauri wa simu yangu, ni tecno W3 LTE, nimenunua kwa mtu,nikaamua kuireset, kwasababu ilikuwa ina pin lock,baada ya hapo. Nikaiwasha kwenye kuweka set up nikakuta kitu kinaitwa google account verification,kuanzia hapa nikawa sina ujanja wa kuendelea wa kutumia simu.

Nimejaribu kuangalia Youtube, na kwa kutumia SP FLASH TOOL na MIRACLE BOX 2.29A, lakini vyote hivi hamna mafanikio yeyote.

Msaada wenu wakuu,hela imeenda,na kuwa kama nimeiba simu sasa.
kama una pc nicheki tutaifanya remotely bt ni paid service
 
Me nahitaji kujua scatter file nini?
Na inatumika vipi?
Msaada wenu wakuu....atakayeweza kunipa hata link zenye maelekezo yake ntashukuru pia.
Natanguliza shukrani kwa wote.
 
Me nahitaji kujua scatter file nini?
Na inatumika vipi?
Msaada wenu wakuu....atakayeweza kunipa hata link zenye maelekezo yake ntashukuru pia.
Natanguliza shukrani kwa wote.
Ukitanguliza peasa itakuwa njema zaidi
 
Back
Top Bottom