Psiteshio72
JF-Expert Member
- Nov 13, 2016
- 634
- 442
- Thread starter
- #561
Wa nnMsaada
Wa nnMsaada
Naingia wap ili kureset mkuu???Hapo njemaaa wewe reset hyo gmail app
Shukrani.Backup then reset
Sorry kiongozi, nieleweshe vzurTafuta firmware yake kisha install upya.
Maelezo gani unataka!?Sorry kiongozi, nieleweshe vzur
Cna ujuz na hya mambo, jamaa aliroot cm yanguMaelezo gani unataka!?
So nifanyeje kuiondoaMaelezo gani unataka!?
Kuondoa nini?So nifanyeje kuiondoa
Root ktk tablet yangu.Kuondoa nini?
Sorry Nina kazi Kwa sasa ila waweza ingia Google hapo watakusaidiaRoot ktk tablet yangu.
Ni samsung galaxy tab A
Natumia samsung j5 nashindwa ku screen short alafu upandd wa watsap sioni batan ya enterWa nn
Techno tumewashindwaNatumia tecno L9+ hii simu ina halt then ia restart muda wowote inaojiskia. Na kuna mda inaweza kufreez labda unaanzika sms hasa nikiwa whatsap. Ni tatizo gani hili na solution yake ni ipi. Nlijaribu kurestore several times nikijua nitasaidia lakini wapi. Mm ni mtaalam wa IT.
Nipigie au njooo ofisini kwanguWakuu,habari zenu wataalamu.
Naombeni msaada wa ushauri wa simu yangu, ni tecno W3 LTE, nimenunua kwa mtu,nikaamua kuireset, kwasababu ilikuwa ina pin lock,baada ya hapo. Nikaiwasha kwenye kuweka set up nikakuta kitu kinaitwa google account verification,kuanzia hapa nikawa sina ujanja wa kuendelea wa kutumia simu.
Nimejaribu kuangalia Youtube, na kwa kutumia SP FLASH TOOL na MIRACLE BOX 2.29A, lakini vyote hivi hamna mafanikio yeyote.
Msaada wenu wakuu,hela imeenda,na kuwa kama nimeiba simu sasa.
IC imepoteza kumbukumbu waone mafund simuSimu yangu haijai chaja mpaka kufikia % 100 inaishia 30 tu 8