Hiyo unfortunately haiambatani na maneno mengine?Simu yang samsang note 2 inaandika unfortunalty andoid and apps,baadh ya apk apps na official apps za playstore
UnfortunatelyHiyo unfortunately haiambatani na maneno mengine?
Banyeza kitufe cha kuzimia na home bottom kwa pamoja itapiga screen shot.Natumia samsung j5 nashindwa ku screen short alafu upandd wa watsap sioni batan ya enter
Naomba msaada wakuu
sasa shida zote za nn hizo??... utakufa na pressure bureMkuu me naitaji ni hack mawasiliano ya mke Wang maana anachepka nakosa ushaidi
Asanteh sana mkuuBanyeza kitufe cha kuzimia na home bottom kwa pamoja itapiga screen shot.
Vipi imekubali?Asanteh sana mkuu
Muache tu maana huo ushaidi ukiupata utakufa kwa preshaMkuu me naitaji ni hack mawasiliano ya mke Wang maana anachepka nakosa ushaidi
Mkuu kuna wakati inakata ghafa inaniandikia hiviUkiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.
Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869
Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Msaada mkuu cm wakati mwingine inaniandikiaUkiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.
Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869
Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Ndio mkuuVipi imekubali?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Simu yangu Itel juzi nimeingia setting yake ikanambia UNA MIMBA sa hapo nifanyaje??
sasa si ukazae[emoji16]Simu yangu Itel juzi nimeingia setting yake ikanambia UNA MIMBA sa hapo nifanyaje??
Karibu nikusaidie, kama upo Dar ni njema zaidi, njoo PMMkuu me naitaji ni hack mawasiliano ya mke Wang maana anachepka nakosa ushaidi
Hongera, pia IPO moja ya kupiga screen shot kwa kutumia kiganja cha mkono wako, tembelea kwemye setting yako itafute utaona maelezo yake maana nishasahau kidgo koz situmiii Samsung kwa sasa nimewacha toka mwez Wa 2 kwahiyo tafuta utaiona hiyo kitu.Ndio mkuu
Mkuu nipo mkoa,namna nyingine ya msaada wakoNipigie au njooo ofisini kwangu
Dar es salaam kariakoo