Naomba msaada hapo enter iko wapi hapoUkiingia tu uliza, swali lako, pia utajibiwa kwa sekunde pia weka ujuzi wako
Pili kuna matatizo ambayo sitaweza kusolve kutokana na huduma hizo hulipiwa
Mfano: Kuzuia matangazo-huduma hi unawalipa adsblock sasa sitaweza kusolve mfano wa matatizo kama hayo.
Huduma hizo na nyinginezo zifananazo na hizo sitazitoa humu bali private kupitia njia ya simu au WhatsApp kutoka na sheria za Jf. Kwa msaada zaidi nipigie au sms kawaida 0753093869
Lakin kwa mambo ambayo nitakuelekeza na usielewe kutokana na kukosa picha, video, audio humu JF utanitext WhatsApp kwa number 0621072026.
Enter ya nini mkuu unayotaka?Naomba msaada hapo enter iko wapi hapo![]()
Kwa mfano nikiandika 1 2 3 ije kwa mfumo huuEnter ya nini mkuu unayotaka?
Okay nimekusomaaaaaaa.Kwa mfano nikiandika 1 2 3 ije kwa mfumo huu
1
2
3
.hiv yaan kwa upande wa sms upo ila kwenye watsap ndio siioni mkuu
Ingia YouTube search how to by-pass email verification after hard resetNimenunua simu kwa mtu sasa naihitaji ku backup & reset ili irudi kwenye mpangilio mpya sasa kila nilitaka kufanya hivyo inaniambia niweke email iliyo kuwa inatumika ktk hiyo simu na nimemuuliza huyo jama haikumbuki maana alifunguliwa na mtu naomba nitumie njia gani iweze kuwa sawa
Shukrani sana mkuu nimefanikiwa hiloOkay nimekusomaaaaaaa.
Ingia katika watsap yako angalia upande Wa juu kuliani kuna vitojo vitatu bonyeza hivo kuna maneno yatajitokeza bonyeza neno SETTING baada ya kubonyeza hilo yatakuja maneno mengine bonyeza neno CHATS pia kuna maneno mengine yatakuja kuna neno ENTER IS SEND mbele yake kuna kibox kina right √ katika hicho kibox chako bonyeza hapo na uondoe hiyo right √.
Nahisi umeelewa. Suali lengine,
taja usaidiweTECNO W4 ina matangazo mengi mpaka kero
Karibu tena usihofu, estamos juntos.Shukrani sana mkuu nimefanikiwa hilo
contact me.. tunafix hyo kitu kokote ulipo huna haja ya kunifuata nilipo... make sure una pc na ni paid service not for freeMkuu haitaki kurud tena kwenye menyu![]()
kama ni sprint na inaleta invalid means unatakiwa ku unlock ur device... samsung yenye blacklisted imei huwa ni emergency calls na kama imecorrupt efs with unknown baseband huwa ni no service na hakunaga invalid, invalid sim means unaccepted sim since the phone accepts sprint simcard... I can unlock it bila kuja nilipo yaan unastay ulipo, ntakachohitaji ni wewe kuwa na pc tu kisha unipe access to ur pc thru anydesk/tv/Uv nk...kama uko ready to pay just contact meSamsung yang n note5 sprint nmekosea kitu ikafuta imei na hailandish netwk poa inadai invalid sim card