Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

Darasa la Android: Uliza matatizo yote duniani ya android, majibu 100%

android ni nini? bila shaka utasema ni mfumo endeshi na blah blah nyinginezo.

nataka kujua maana ya neno lenyewe ANDROID.
Oi mbona unajitia unajua kila kitu, kila kitu unakosoa shida nn?? Au vyuma vimekaza na unatolea povu humu??
Acha upuuzi roho mbaya na chuki.
Chuki ilimuuwa mtu mjinga, heb tupe miradi yako tuione hapa au unazurura mtandaoni kama kuku tu.kama Kwel ww ni mjuz wa mambo wasaidie watu na sio kukosoa kila kitu.
 
Mr Q Una, shida gani?
sina shida yoyote unaona hao vijana wanavyo kurupuka kuni quote na maneno ya kijinga? inabidi kuwapa majibu ya kipumbavu
nimeuliza kwa ustaarabu ila wanachojibu kinasyltahili majibu ya aina hiyo
 
sina shida yoyote unaona hao vijana wanavyo kurupuka kuni quote na maneno ya kijinga? inabidi kuwapa majibu ya kipumbavu
nimeuliza kwa ustaarabu ila wanachojibu kinasyltahili majibu ya aina hiyo
Mkuu waache tu,
 
Majibu hovyo hayana ujazo....bado muuliza swali anapata shida kuelewa.
Psiteshio72 jitahid uwe specific.
Mweleze kitaalam hata kma ana kuchallange atoke na kitu...then mwisho wa siku unaweka tangazo la blog yako.
 
Msaada;simu ina internal memory 8gb,nafasi iliyotumika hadi sasa hivi ni mb 430,tatizo lake ni kuwa ukipiga picture inaleta maneno "storage is note enough", ukitaka pia kuinstall app kweny play store tatizo linajitokeza hilohilo.Licha ya kureset hiyo simu tatizo bado linaendelea.
Msaada please
 
Back
Top Bottom