Dar: Vurugu zatokea kwenye Kikao cha Baraza la Madiwani Jijini Dar cha kuamua hatma ya Meya wa Dar, Isaya Mwita

Kazi ya msingi ya Polisi ni"KULINDA MAISHA YA WATU NA MALI ZAO"
Hivyo uwepo wa Polisi mahali pale ndio kazini kwao,wala sio kuingilia Kikao cha Madiwani.
Vivyo hivyo,Uwepo wa Polisi kwenye mikusanyiko mbali mbali utaendelea kuwapo na kuhitajika kwa manufaa ya Wananchi na wote.
Kamanda SIRO na Askari wako ninawapongeza sana kwa kudumisha AMANI nchini.Ongezeni ushirikiano na Wananchi,MNAKUBALIKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu umeongea vizuri. Ila ukumbuke hao wanaoshabikia ugomvi ni nyumbu. Wanafikiri wana akili sana. Wana nguvu sana. Lakini ipo siku watashughulikiwa kama aliyewahi kuwa Office mate wangu Mawazo. Wakumbuke siku hiyo hakukuwa na Polisi wa kuingilia!!!
 
View attachment 1319578
Kailima na Mwigulu pamoja na unyama wote walioufanya bado wakapewa vyeo , japo Mwigulu kapigwa chini lakini Kailima pamoja na madudu yote ya Tume ya uchaguzi kateuliwa Katibu wa Wizara !
Yaani ukiwaangalia tuu unagundua mpaka wanaingia Chuo kikuu walikuwa bonge LA washamba. Unategemea nini watu wa aina hiyo ukiwapa madaraka ghafla?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kachukue buku zako 7 pale lumumba na Ungeweka na nambari yako ya simu ili uteuliwe
Kazi ya msingi ya Polisi ni"KULINDA MAISHA YA WATU NA MALI ZAO"
Hivyo uwepo wa Polisi mahali pale ndio kazini kwao,wala sio kuingilia Kikao cha Madiwani.
Vivyo hivyo,Uwepo wa Polisi kwenye mikusanyiko mbali mbali utaendelea kuwapo na kuhitajika kwa manufaa ya Wananchi na wote.
Kamanda SIRO na Askari wako ninawapongeza sana kwa kudumisha AMANI nchini.Ongezeni ushirikiano na Wananchi,MNAKUBALIKA.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom