Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 11,657
- 8,591
Mkuu umeongea vizuri. Ila ukumbuke hao wanaoshabikia ugomvi ni nyumbu. Wanafikiri wana akili sana. Wana nguvu sana. Lakini ipo siku watashughulikiwa kama aliyewahi kuwa Office mate wangu Mawazo. Wakumbuke siku hiyo hakukuwa na Polisi wa kuingilia!!!Kazi ya msingi ya Polisi ni"KULINDA MAISHA YA WATU NA MALI ZAO"
Hivyo uwepo wa Polisi mahali pale ndio kazini kwao,wala sio kuingilia Kikao cha Madiwani.
Vivyo hivyo,Uwepo wa Polisi kwenye mikusanyiko mbali mbali utaendelea kuwapo na kuhitajika kwa manufaa ya Wananchi na wote.
Kamanda SIRO na Askari wako ninawapongeza sana kwa kudumisha AMANI nchini.Ongezeni ushirikiano na Wananchi,MNAKUBALIKA.
Sent using Jamii Forums mobile app