Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Hatuna waalimu wa kutosha hawaandamani.

hatuna madawa ya kutosha mahospitalini hawashiriki kupata jibu lake.

nafika mahala nawahurumia sana hawa jamaa.

huwezi kuitawala dunia kama utakuwa mbumbumbu. waelekeze maandamano upande wa elimu bora.

kwa mwendo huu mkoloni mweupe atarudi tu
Good thinking!
 
Vipi, Tendwa hawamhusu hawa??..au yeye hahusiki na "kufungia" dini zenye kuandama na kufanya mikusanyiko ya ghafla hivi?
 
Watu wa Sensa nao wa ajabu, ni kwanini wasiende huko Rumande kuchukua hizo Dodoso (kwani zipo katika RB) wakawaachia halafu kule Mtaani wanapata taarifa za Mwenyekiti na Balozi yaani tuseme Waislam Wameshinda maandamano FINITO

Mkuu kama umeshahesabaiwa kakae usubiri kuletewa maendeleo.
 
Mlioko posta mpya jupeni habari zaidi ya maandamano hayo ila kuweni makini na mabomu maana kumpoteza mwana jf mmoja ni sawa na kupoteza mawaziri 10 wa jk
 
Sasa wewe unataka kufananisha cdm na waislam? Hao walioandamana hapo wameandamana kwa imani zao,wale cdm wanaandamana kwa maslahi ya kigenge flani cha kusini kinachotaka kujipa madaraka kwa njia ya panya,waislam hawajawahi kushindwa sehem yyte duniani wanapotaka kitu kifanyike,na kama huamini fatilia sehem zote duniani ambazo waislam wameminyiwa haki zao kama kuna amani,
read my signature............
 
waislam safi,safi sana hakuna kulala mpaka nchimbi na mwema wajiuzuru
 
Mkuu wala usipate shida na
hawa mie nipo humu JF mwaka wa nne sasa tunajuana kwa michango yetu
unaona hawa wote wanaotoa kejeli na matusi dhidi ya Uislam hawa hawa
ndio utawakuta wanaitetea Chadema pamoja na Dr Slaa halafu hawa hawa
wanataka tuwe wamoja haiwezekani...tunapoelekea nadhani watakuja kujutia
hizi kauli zao maandishi yakishaandikwa basi tena.

Well said mkuu Ritz, pamoja saana!
 



subiri hotuba yake ya mwisho wa mwezi atazungumzia hii issue .. ili uridhike..! kwa sasa acha watu waliochini yake washughulikie.. kwani ni kazi yao ..
Sasa yeye keshakuwa sultan na si raisi tena.Haya bana,kwa taarifa yako sina muda wa kusikiliza hizo hotuba za mwisho wa mwezi.Nchi haingozwi kwa style anayofanya bana.
 
Mkuu Rejao, Nawaminia!! Lakini tatizo lenu ni mafungamano yenu na Magamba. mmekuwa mkidanganywa kwa vitumbua ninyi mwaridhikaa!!
Usijaribu kuuhusisha uislam na CCM, hivi ni vitu viwili tofauti kabisa. Ni kama vile mimi niseme CDM ni chama cha wakristo. sidhani kama utanielewa!
 
Wewe unafikiri akiuliwa mmoja kati ya hao waliojitokeza hapo itakuwaje, hao hawafiki hata 1% ya waislamu wote lakini kikinuka ndio utajua idadi ya waislamu. Hujala mpaka sana nini? Naona kidogo uko slow leo.

historia haisemi hivyo, tuliona zanzibar, mwembechai nk

enzi hizo
 
Ni vizuri haya yanaonekana sasa hivi. Unasemaje Mauaji ya mwembechai kwa amri ya PADRI LUAMBANO?

Kawaida ya mambo huenda mbele na kurudi nyuma! action and reaction are equal and opposite.
Mkuu two wrongs dont make a it right.., kama kuna uvunjaji sheria popote pale inabidi kupeleka mbele ya sheria.., sana kama hutu Padri alivunja sheria kwanini asifunguliwe mashitaka.., mnasahau kwamba hii nchi haina dini wala sio ya waislamu wala wakristu (ni ya watanzania) ambao hawana dini, hindu, wapagani na budha pia wapo.., sasa sensa haipo hapa ili kujenga misikiti wala mahekaru, kwanini wanaotaka hii takwimu wasichukue wenyewe ?, sasa wale waliokataa kuhesabiwa wakati wa kugawa keki ya taifa wakikadiria keki ndogo huoni kwamba upuuzi wa wachache utawa-affect wegine ambao hawana makosa ? Sheria inabidi sio tu ifanye kazi.., bali ionekane imefanya kazi ili kesho na keshokutwa upuuzi kama huu usitokee tena, Sheria inabidi ifuate mkondo wake.
 
I doubt it,waislam washakuwa intergrated kwenye agenda za ccm nadhani kwa kupitia cuf bila shaka.Kwahiyo siwezi kushangaa wakiendelea kutumia kila mmoja kwa maslahi yake.CCM watawatumia sana,bi wajanja kwenye hilo la kupandikiza chuki na kuleta migawanyiko.Trust me on that.
Wao wamekubali vyama vyote isipokua CDM na hii ndio sababu ya wewe kuwachukia.
 
Mkuu Ikulu nendeni nyie sie tuna madai yetu...usitupangie.

Kwanza waislam hawa msimamo F kabisa.,.mi naona walichofanya hapa ni kuziba biashara ya Exim tu leo hii,,hakuna cha zaidi,,yani wameshindwa kukaziba hata haka kabarabara ka Ohio kasipitike?sasa polisi si wanaweza kuwapotezea tu na maisha yakaendelea kama kawaida??...kweli waislam sio wengi!
 
mkuu hatuwezi kuacha kuangalia dharau zenu dhidi ya dini yetu halafu nyie hao hao upande wa pili mnakuwa wateteza wa chadema, hii ndio hukumu zenu watu wengi siku wanasoma michango ya jf na imani kabisa kila siku chadema mnapoteza wanachama kutoka jamii ya kiislam...endeleeni na kejeli ndio vizuri.

why do you involve chadema in every matter? Maana naona kila mtetezi wa chadema unam-chukulia kuwa ni mkristo, na kila anayesifia magamba basi ni mwislamu! Stop this non sense, before god, we all tanzanians! Una akili ndogo sana wewe! Nyie ndio mnaletaga machafuko kwenye nchi!!! Dawa ya watu kama nyie ni kuwafunga jiwe kubwa shingoni na kuwatupa baharini!
 
upuuzi wa maandiko ya vitabu vyenu vilivyochakachuliwa uculete ktk imani ze2. Islam do recognise all, be it social issues, politics, economics and ol tht u knw are still a part and parcel of religion.
Hayo uyasemayo ni ya bible na c QUR-AN.
Behave guy.

Qaraa suratul nisaa aya ya 59 inasema; "Watiini waliopewa mamlaka kati ya nyinyi!"
Kwa mujibu wa Quran asietii, ni KAFIRI au hiyo ayat imechakachuliwa?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom