Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Kwa moto uliopo sasa hawawezi hata kuwasukuma watu, policcm wameyataka wenyewe
 
Ukitaka kujua Chadema ni chama cha kina nani soma michango yao katika hii thread mpaka raha.
Acha kuchonganisha watanzania kwa imani za kidini! Humu jukwaani tunalilia mustakabali wa taifa letu. Hatuna muda na propaganda zako. Mungu ibariki TZ,
 
Wadau Dar es Salaam Ciy Centre....naona maandamano makubwa ya watu inaohisiwa ni Waislamu hapa mitaa ya Posta Mpya wakielekea Mambo Ya Ndani....mwenye taarifa atujuze kulikoni?~

Mkuu weka picha...Hivi maandamano yalilindwa na polisi?
 
why do you involve chadema in every matter? Maana naona kila mtetezi wa chadema unam-chukulia kuwa ni mkristo, na kila anayesifia magamba basi ni mwislamu! Stop this non sense, before god, we all tanzanians! Una akili ndogo sana wewe! Nyie ndio mnaletaga machafuko kwenye nchi!!! Dawa ya watu kama nyie ni kuwafunga jiwe kubwa shingoni na kuwatupa baharini!

Mimi huwa namshangaa sana Ritz! Hata kama ni muislamu wa siasa kali uislamu wetu hauna chuki na upande wa pili namna hiyo! Kwanza muislamu yoyote uislamu wake hauwezi kukamilika kama hakiri kutambua uwepo wa ukristo kama jinsi ukristo unavyotambua uwepo wa uislamu! Uelewa mdogo ndio unamfanya Ritz anakuwa mbumbumbu wa mambo ya dini kiasi hiki!

Hapa leo anawatetea ccm na kusahau kuwa ccm ndio waliichafua cuf kuwa ni chama cha udini n
a kigaidi, baadae haohao wakasema chadema ni chama cha wakristo lakini wao hawasemi kuwa ni chama cha dini gani! Sasa ukija hapa ukimuona jinsi ritz anavyotoa povu la udini unajua kabisa aidha uelewa wake ni mdogo au yuko hapa kwa kazi maalum ya kipato kutoka Lumumba.

Mimi ni muislamu lakini napingana sana na misimamo ya Ritz! Alisha diriki kuniambia Mohamedi na chadema wapi na wapi?! Huu ni upovu iliopiitiliza na tangu siku ile niliamua kumsamehe bure na kumkabidhi Mungu maana nimeona ni mtu ambae ana uabisha hata uislamu wenyewe.



Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 
sio tu chadema hata ingekua ni wakristo wanaandamana wangepigwa mabomu..tumeshazoea kua waislam ni untouchables...wanajiamulia wanachotaka na serikali haiwagusi...ccm na serikali yake wameonyesha jinsi walivyo wadini...

Tokea tupate uhuru ni dini gani wamewahi kuvamiwa wakifanya ibada na wakauawa zaidi ya hawa walioandamana leo.
 
Kuna wajinga wanashindwa kutofutisha maandamano na kampeni za siasa baada ya uchaguzi kuisha.
 
mi natangaza kuanzia leo jeshi la polisi nawfukuza kazi awa ffu kazi awawezi kabisa maana sijaona fujo zao,amna ata washa washa moja sijaona ata mutu iko pasuka,hii mutu ya wapi!!
 
jamani wana CDM tutake hii advantage.......hima tulianzisheni

Mi ni mshabiki wa Cdm na pia Muislamu lakin nakuambia ukweli wanaCDM wengi especially humu JF waogaaaa na wataalam wa kushindana kuchezea Keyboard, Waislam hayo maandamano hayakuwa na advertisment kubwa zaidi ya leo ijumaa tu watu wameitikia hivyo, je ingekuwa mwezi mzima si Kko-Posta ingejaa watu! Muislamu akitaka kitu atafanikiwa tu hata iwe ndani ya USA ambapo ndo wanazi wakuu
 
Uislamu ufutwe Tanzania! Wazee wa Suruali fupi wanasaka ubwa bwa

Sogea mitaa ya posta mpya jenga la Exim Bank halafu ongea hayo maneno uone utakavyogombaniwa kama mpira wa kona, wewe endelea kubweka tu nyuma ya Laptop.
 
Wamejazana kibao wizara ya mambo ya ndani wanadai wenzao walishikiliwa kwa kukataa kuhesabiwa waachiwe.Shekh Ponda @ work....... Nitashangaa kama CDM hawajausika kwenye haya maandamano!Zomba,Ritz,Chama and the Likes tell us
 
Sogea mitaa ya posta mpya jenga la Exim Bank halafu ongea hayo maneno uone utakavyogombaniwa kama mpira wa kona, wewe endelea kubweka tu nyuma ya Laptop.
sio jenga la Exim Bank ni jengo la Exim Bank.
 
attachment.php


waandamanaji wakiaandaa kusali mbele ya wizara ya mambo ya ndani
 

Attachments

  • MAA.jpg
    MAA.jpg
    18.9 KB · Views: 259
Inawaogopa kijana, wala haihusiani na dini ya JK.
Nakubaliana na wewe kabisa. Inawaogopa waislam. Inawaogopa waislam kwa sababu ni mtaji pekee wa serikali ya CCM kubaki madarakani. Ni hicho tu kinachowazuia serikali kuwashughulikia waislam. Na hata kesho mkiamua mnaweza kuandamana.
Sisi tupo pembeni tunatazama lakini mwisho wa siku tunajua hii plan ya CCM ita backfire tu...
 
NIMEKWAMBAIA WEWE NI KAMA GURUDUMU, HUNA CHA ZAIDI YA KUZHUNGSHWA TU NA EXCELI

i talked of time factor, siwezi kulinganisha ya 1990s na leo, nimeweka koment inayoendana na hali ya leo, meaning in the timeframe ya mwezi mmoja tu, tumeshuhudia double standards, hawa wanauwawa kwa kufungua tawi, hawa wanakata viuno na fiesta (tena wanalindwa) na hawa wanasumbua watu barabarani (tena bila vibali na hakuna hatua), siwezi kuzungumzia ya mwembechai kwasbabu nyakati ni tofauti, tena wakati ule... maana mengi yamebadilika,

nazungumzia yaliyo ndani ya siku chache zilizopita kwani it is fair kulinganisha matukio na nyakati na wahusika ili kuwa na good comparison, siwezi kulinganisha ya enzi za mwalimu na leo kwenye haki za binadamu

soma signature yangu, itakusaidia

Katiba hiyo hiyo ya 1990s ndo inatumika mpaka leo, kwa mtazamo wako Mtu X akuawa kimakosa, makosa hayohayo yatumike kumua Y. Unaweza kuthibitihsa kuwa mwalimu alikua hajali haki za binadamu.
 
Ofcourse...maadui ni wakristo.

mkuu Jmushi1 there's a war in your mind btw muslims & Christians in Tanzania ! while in reality ni completely different hatujafika huko kabisaa .. mwenzetu upo mbele mnoo i think u need help ...! seriously
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom