Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Naamini ndugu zanfu hawana kibali cha maandamano, wamefanya vizuri kuandamana ili waone polisi wa saidi na mrisho watafanya nini? Hali ingekuwa tofauti kama maandamano yangekuwa ya chadema wasingeweza kuya ongoza na kuyalinda! Mpaka sasa kitu kizito kingekuwa kimetua kwenye tumbo la sheikh ponda.

Sent from BlackBerry 8520 authorized by JamiiForums.
 


Sasa yeye keshakuwa sultan na si raisi tena.Haya bana,kwa taarifa yako sina muda wa kusikiliza hizo hotuba za mwisho wa mwezi.Nchi haingozwi kwa style anayofanya bana.

allah! kumbe! basi kamwe hutokuja kumuelewa JK! zaidi chuki zitazidi kujaa rohoni mwako!.. subiri 2015 sio mbali mkuu! utamchagua umtakaye but end of the day aliyepata nyingi ndiye atakuwa rais "that's democracy "

 
Halafu eti wanasema JK si mdini!wapi bana,fumbo mfumbie mjinga.
pamoja na yote nawashukuru sana waislamu kwa maandamano yao ya leo mana yataujulisha ulimwengu jins serikali na polisi wa ccm wanavyoonea chadema
 
qaraa suratul nisaa aya ya 59 inasema; "watiini waliopewa mamlaka kati ya nyinyi!"
kwa mujibu wa quran asietii, ni kafiri au hiyo ayat imechakachuliwa?


mashehe ubwabwa au???
 
Hao ndugu zetu inabidi wawe makini maanake polisi hawana undugu na mtu kazi yao ni kuuwa tu
 
I am sorry, i will never discuss anything religious!!
 
sio tu chadema hata ingekua ni wakristo wanaandamana wangepigwa mabomu..tumeshazoea kua waislam ni untouchables...wanajiamulia wanachotaka na serikali haiwagusi...ccm na serikali yake wameonyesha jinsi walivyo wadini...
Mkuu umeshasahau rais na makamo wake ni waislamu
 
Eti nini? Vidume wameandamana? Kufuata Sheria? Eti wamevunja Sheria? Sheria gani inamzuia mtu kuonyesha hisia zake anaguswa na jambo lolote?

Eti kuna watu wanataka kuandamana kwenda Umoja wa mataifa kudai haki? haki gani? halafu iweje? halafu UN ndio wakupe haki wewe?

We jifiche tu nyuma ya KEYBOARB na kutukana waislam laikini vidume wapo barabarani.
 
upuuzi wa maandiko ya vitabu vyenu vilivyochakachuliwa uculete ktk imani ze2. Islam do recognise all, be it social issues, politics, economics and ol tht u knw are still a part and parcel of religion.
Hayo uyasemayo ni ya bible na c QUR-AN.
Behave guy.
Na last time I checked Tanzania inaongozwa kwa Katiba na sio Quran wala Bible.., haya mambo ya kuita watu na kuwagawa watanzania katika Christians na Waislamu ni kupotoka.., hii nchi ni ya watanzania ambapo tunao Hindu's wapagani na dini nyingine ambazo zitakuja kesho au keshokutwa (no one cares) dini ni Imani yako wewe ndugu zako na watu wenye Imani kama wewe yakija masuala ya ki-serikali ya kujenga nchi (na sio makanisa au mahekalu) basi kama wewe ni mtanzania na utakula hio keki baada ya kuigawa kutokana na estimations za tupo wangapi basi ni lazima uhesabiwe...

Hii yote imeletwa na ulege lege wa serikali na kuendekeza upuuzi na kutokuwa na msimamo (last time I checked serikali haina dini) sasa kama hii imebadilika naomba nifahamishwe.., Na mtu akivunja sheria lazima awajibishwe na apate hukumu kwa mujibu wa sheria na sio kutoka sababu ya maandamo au shinikizo
 
Leo nilikuwa nafanya research ndogo. Nikaangalia kati ya waliochaguliwa kujiunga na vyuo mbalimbali vikuu vya serikali mwaka huu... Kwa kutumia kigezo cha majina, only about 17% majina yao yana asili ya uislamu.
Nadhani hawa jamaa walitakiwa waandamane kuhamasishana namna ya kuboresha elimu ya watoto wao na kuongeza representation yao kwenye sekta za elimu...
 
NIMEKWAMBAIA WEWE NI KAMA GURUDUMU, HUNA CHA ZAIDI YA KUZHUNGSHWA TU NA EXCELI

i talked of time factor, siwezi kulinganisha ya 1990s na leo, nimeweka koment inayoendana na hali ya leo, meaning in the timeframe ya mwezi mmoja tu, tumeshuhudia double standards, hawa wanauwawa kwa kufungua tawi, hawa wanakata viuno na fiesta (tena wanalindwa) na hawa wanasumbua watu barabarani (tena bila vibali na hakuna hatua), siwezi kuzungumzia ya mwembechai kwasbabu nyakati ni tofauti, tena wakati ule... maana mengi yamebadilika,

nazungumzia yaliyo ndani ya siku chache zilizopita kwani it is fair kulinganisha matukio na nyakati na wahusika ili kuwa na good comparison, siwezi kulinganisha ya enzi za mwalimu na leo kwenye haki za binadamu

soma signature yangu, itakusaidia

Kauzu tu wewe utanieleza nini zuia maandamano basi kama unaweza, unabweka tu JF.
 
Matunda ya kampeni za udini walizopiga ccm mwaka 2010 naona mmeshapata mrejesho mzuri tu,kama huu
 
Tumesema sana tena sana...serikali ya KIKWETE ya CCM inawa handle waislam kama mayai. Na hili linadhihirisha UDINI wa Kikwete na Viongozi wa serikali yake.
 
Naona mambo ya SWALA hapa mbele ya jengo la Exim! Swala ya Jihad hii...
 
sasa wewe unataka kufananisha cdm na waislam? Hao walioandamana hapo wameandamana kwa imani zao,wale cdm wanaandamana kwa maslahi ya kigenge flani cha kusini kinachotaka kujipa madaraka kwa njia ya panya,waislam hawajawahi kushindwa sehem yyte duniani wanapotaka kitu kifanyike,na kama huamini fatilia sehem zote duniani ambazo waislam wameminyiwa haki zao kama kuna amani,

kuna kikundi kingine cha kusini tena? Kwenye ile propaganda yenu si mlisema ni kaskazini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom