Paul Kijoka
JF-Expert Member
- Oct 25, 2010
- 1,399
- 256
Waislam mchana huu wanakusanyika maeneo ya kariakoo kwa ajili ya kwenda Wizara ya mambo ya ndani kwa njia ya maandamano,lengo kuu la maandamano hayo ni kwa ajili ya kuishinikiza serikali kuwaachia huru na kuwafutia kesi watu ambao wamekamatwa kutokana na kususia zoezi la SENSA,TAYARI waislam waliosali msikiti wa mtambani(kitovu cha harakati) wanaelekea huko
Sasa hizi ni harakati za kishenzi. Kwani sensa inahusiana vp na waislaam?