Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 277
wanapokelewa na waziri!:loco:
Hilo suala ataiundia Kamati kama sio tume.
wanapokelewa na waziri!:loco:
ngoja tushuhudie KOVA misifa atakachofanya
Wamewakamata wamewahesabu sasa wawa achie...mbona majizi ya Rasmali hayakamatwi..
Labda kuna pilau sehemu ndio wanaelekea huko.
Naona wanapita hapa ofisini kwangu ni kama wamepagawa na mapepo ya kuzimu
waislam sio waoga! mwislam yupo tayari hata kupoteza maisha yake kwa ajili ya ndugu zake! hii yaitwa ikhwan muslimin "muslims brotherhood" hatujali kabila, ramgi, jinsia.. as long una kalimah ya la! ilah! ila Allah! wewe ni mwenzetu
kwa mwendo huo maandamano yataisha kwa amani. waache wakakate kiu yao
Logic ingetaka hivi, kwa kuwa wizi wa rasilimali ulianza kabla ya sensa, kwanini hawakuandamana kupinga wizi? Chadema wakisema wao wanaitana misikitini na kusema hichi ni chama cha makafiri. Wasipigiwe kura. Sasa wanaelewa jambo moja, kuwa Tanzania adui yetu ni mmoja tuu! CCM
ndugu neno lenye dharau achana nalo lakini lenye ukweli litakusaidia.
Watoto wa Mwema wanaelekea huko sasa
wewe huyo unayesema haya???
LOOOOLLLLLL