Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.

Bajabiri

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
9,728
Reaction score
1,214
Waislam mchana huu wanakusanyika maeneo ya kariakoo kwa ajili ya kwenda Wizara ya mambo ya ndani kwa njia ya maandamano.

Lengo kuu la maandamano hayo ni kwa ajili ya kuishinikiza serikali kuwaachia huru na kuwafutia kesi watu ambao wamekamatwa kutokana na kususia zoezi la SENSA, TAYARI waislam waliosali msikiti wa Mtambani (kitovu cha harakati) wanaelekea huko.


================================UPDATE=================================

attachment.php

Waandamanaji wakiwa karibu na geti la Wizara ya Mambo ya ndani


attachment.php

Wanaswali!
Wamekuja kutaka wenzao waliokamatwa kwa kgomea sensa waachiwe huru walizuiwa lakini wamekuja kutoka kila kona na saa hizi barabara ya posta kutoka maeneo mengine moja imefungwa kwa muda na tention ni kubwa saa hiz wanamalizia kuseali salz la alasiri
Wamemaliza kuswali tunasubiri njia ya kuingia polisi makao makuu nayo imefungwa
Picha za Maandamano ya DSM leo 07/09/2012 kwa hisani ya KUMKICHWA: Breaking News: Picha za Maandamano Ya waislamu Wizara Ya mambo ya ndani
Dr.+Che3160.jpg

Mpaka muda huu Saa 10:21 Waislamu bado wako Wizara ya Mambo ya ndani, Barabara zimefungwa, Baadhi ya Shughuli za Muhimu za Kiuchumi zimesimama, Baadhi ya Maofisi yamefungwa.

Hivi ni Serikali au CCM inashindwa kuwaondoa au kuongea nao Waislamu waliondamana na shughuli za Uchumi na Kazi kurejea katika hali ya Kawaida maeneo ya Posta?

Naohofia Vurugu na Mali za watu zisije kuharibiwa tu.

It's very unfortunate that asilimia kubwa wanaokashifu maandamano haya tena kwa lugha za kejeli ni wale wale wanaofahamika kwamba ni wafuasi wa CHADEMA!! Hapa ndipo watu kama akina Mkandara wanapopata taabu kwani pamoja na Uislamu wao bado ni wapenzi wakubwa wa CHADEMA!!

Hivi sasa akiingia, atalazimika kujibishana na wale wale ambao wana itikadi moja katika kuiondoa CCM madarakani! Kama kweli CHADEMA wana lengo la kweli la kutafuta haki basi nilitarajia wawaunge mkono watu mbalimbali na makundi yao ikiwa kuna wanachokipigania! Na kama si lazima kuwaunga mkono, basi busara ingekushauri kukaa kimya kuliko kuwadhihaki kwa maneno ya kejeli! Hali kama hii ndiyo inayowafanya baadhi ya Waislamu waamini kwamba CHADEMA ni kwa ajili ya watu fulani tu......inakuwa ngumu kuyapinga madai kama hayo hasa ukizingatia maoni ya Pro-CHADEMA.

Mie nilikimbilia eneo la tukio muda mrefu tu uliopita; pale hamna cha CHADEMA wala CCM na bango mojawapo linasomeka "POLISI ACHENI DHULUMA, SENSA IMEFELI MAUAJI YA NINI?" Sasa mnataka kusema watu kama hao hawana madai ama hojaya msingi?! BInafsi, nimehesabiwa sensa na sikuona sababu ya kususia zoezi hilo. Hata hivyo, siwezi kuwa mkosefu wa busara ikiwa nitadhihaki wale waliogomea na kuwaita wajinga kwani nafahamu, kila mtu ana jambo lenye maslahi kwake. Lenye maslahi kwako si lazima liwe na maslahi kwa mwingine.

Ukifahamu hivyo, basi utagundua ni ujuha kumdhihaki mwingine kwa kumtaka aamini kama unavyoamini wewe! Anyway, kama unataka aamini kama unavyoamini wewe; ya nini basi kumtaka afanye hivyo huku ukimkejeli?!

Baada ya maandamano Hatimaye waislamu waliokua wamishikiliwa waachiwa huru souce ITV BREAKING NEWS

Clouds FM Imeripoti muda si mrefu kuwa muafaka umefikiwa kuwa wale wote waliokamatwa kwa ajili ya sensa waachiwe mara moja.
Wanahamia msikiti wa kichangani kupanga ufuatiaji wa agizo hilo
 
Waislam mchana huu wanakusanyika maeneo ya kariakoo kwa ajili ya kwenda Wizara ya mambo ya ndani kwa njia ya maandamano,lengo kuu la maandamano hayo ni kwa ajili ya kuishinikiza serikali kuwaachia huru na kuwafutia kesi watu ambao wamekamatwa kutokana na kususia zoezi la SENSA,TAYARI waislam waliosali msikiti wa mtambani(kitovu cha harakati) wanaelekea huko

Hata yule aliyechana dodoso? Halafu Wizara ya Mambo ya ndani ndio inayofunga watu?
 
Hawa watu hawakuelimishwa vya kutosha so inabidi waachiwe tuu!
 
Let them do, coz they are doing the same fighting 4 their rights.
 
Wadau Dar es Salaam Ciy Centre....naona maandamano makubwa ya watu inaohisiwa ni Waislamu hapa mitaa ya Posta Mpya wakielekea Mambo Ya Ndani....mwenye taarifa atujuze kulikoni?~

================================UPDATE=================================

attachment.php

Waandamanaji wakiwa karibu na geti la Wizara ya Mambo ya ndani


attachment.php

Wanaswali!
Wamekuja kutaka wenzao waliokamatwa kwa kgomea sensa waachiwe huru walizuiwa lakini wamekuja kutoka kila kona na saa hizi barabara ya posta kutoka maeneo mengine moja imefungwa kwa muda na tention ni kubwa saa hiz wanamalizia kuseali salz la alasiri
Wamemaliza kuswali tunasubiri njia ya kuingia polisi makao makuu nayo imefungwa
Picha za Maandamano ya DSM leo 07/09/2012 kwa hisani ya KUMKICHWA: Breaking News: Picha za Maandamano Ya waislamu Wizara Ya mambo ya ndani
Dr.+Che3160.jpg

Mpaka muda huu Saa 10:21 Waislamu bado wako Wizara ya Mambo ya ndani, Barabara zimefungwa, Baadhi ya Shughuli za Muhimu za Kiuchumi zimesimama, Baadhi ya Maofisi yamefungwa.

Hivi ni Serikali au CCM inashindwa kuwaondoa au kuongea nao Waislamu waliondamana na shughuli za Uchumi na Kazi kurejea katika hali ya Kawaida maeneo ya Posta?

Naohofia Vurugu na Mali za watu zisije kuharibiwa tu.

It's very unfortunate that asilimia kubwa wanaokashifu maandamano haya tena kwa lugha za kejeli ni wale wale wanaofahamika kwamba ni wafuasi wa CHADEMA!! Hapa ndipo watu kama akina Mkandara wanapopata taabu kwani pamoja na Uislamu wao bado ni wapenzi wakubwa wa CHADEMA!!

Hivi sasa akiingia, atalazimika kujibishana na wale wale ambao wana itikadi moja katika kuiondoa CCM madarakani! Kama kweli CHADEMA wana lengo la kweli la kutafuta haki basi nilitarajia wawaunge mkono watu mbalimbali na makundi yao ikiwa kuna wanachokipigania! Na kama si lazima kuwaunga mkono, basi busara ingekushauri kukaa kimya kuliko kuwadhihaki kwa maneno ya kejeli! Hali kama hii ndiyo inayowafanya baadhi ya Waislamu waamini kwamba CHADEMA ni kwa ajili ya watu fulani tu......inakuwa ngumu kuyapinga madai kama hayo hasa ukizingatia maoni ya Pro-CHADEMA.

Mie nilikimbilia eneo la tukio muda mrefu tu uliopita; pale hamna cha CHADEMA wala CCM na bango mojawapo linasomeka "POLISI ACHENI DHULUMA, SENSA IMEFELI MAUAJI YA NINI?" Sasa mnataka kusema watu kama hao hawana madai ama hojaya msingi?! BInafsi, nimehesabiwa sensa na sikuona sababu ya kususia zoezi hilo. Hata hivyo, siwezi kuwa mkosefu wa busara ikiwa nitadhihaki wale waliogomea na kuwaita wajinga kwani nafahamu, kila mtu ana jambo lenye maslahi kwake. Lenye maslahi kwako si lazima liwe na maslahi kwa mwingine.

Ukifahamu hivyo, basi utagundua ni ujuha kumdhihaki mwingine kwa kumtaka aamini kama unavyoamini wewe! Anyway, kama unataka aamini kama unavyoamini wewe; ya nini basi kumtaka afanye hivyo huku ukimkejeli?!

Baada ya maandamano Hatimaye waislamu waliokua wamishikiliwa waachiwa huru souce ITV BREAKING NEWS

Clouds FM Imeripoti muda si mrefu kuwa muafaka umefikiwa kuwa wale wote waliokamatwa kwa ajili ya sensa waachiwe mara moja.
Wanahamia msikiti wa kichangani kupanga ufuatiaji wa agizo hilo
 

Attachments

  • 20120907_155323.jpg
    20120907_155323.jpg
    80.4 KB · Views: 6,984
  • Dar es Salaam-20120907-00202.jpg
    Dar es Salaam-20120907-00202.jpg
    87.1 KB · Views: 6,983
Any news, manake naona wameibuka from nowhere ingawaje idadi yao ni kubwa!!
 
Nadhani wanatumiwa kubalisha mjadala wa kitaifa ambao umewazidi uzito serikali. Hakuna kingine. Wanatudanya kwa kutumiwa na serikali ya ccm
 
ngoja magari yatoke ukonga watajuta kuandamana
washawasha zinakuja
 
  • Thanks
Reactions: BCR
Naona kuna kundi lingine linapita hapa posta mpya....wacha nikatafute umbeya ingawaje nogopa mabomu!!
 
Huwaoni polisi magamba na silaha zao za moto wakiwezengeazengea tayari kufanya mauaji mengine?
 
ni kuhusu ishu ya sensa! na kukamatwa kwa watu
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom