Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
hakuna kuiacha hisia ya imani yako popote, nilishangaa ritz na ile statement yake pale, dunia ya sasa kila mwenye imani yake inabidi aioneshe na aiteteee, no matter what
Kuna tofauti kati ya maslahi ya watanzania na maslahi ya uislam?
 
Wakati muda uliongezwa wa sensa ukiwa bado haujaisha, Waisilamu leo wamefanya maandamano makubwa kwenda Wizara ya Ndani.

Kwa mara ya kwanza polisi wametumia busara kwa kutoyaingilia na kuyapiga mabomu, kwani wangefanya hivyo, maafa makubwa sana yangetokea.

Hali ya kuufyata kwa polisi in ashan gaza, kwani ingekuwa ni CDM wam,eandam,ana jijini humu, basi sijui ingewkuwaje. Double standards za serikali ya CCM.

Nawaomba CDM waibane polisi ili watolee maelezo ya kuridhisha double standard hii inatoka wapi?
 
  • Thanks
Reactions: SMU
Waislam dawa ni kuachwa waandamane hamu iishe wakiona hawapingwi ndo mtaona kilichojicha ndani yao kama hamtaona wakishambulia makanisa
 
Hoja dhaifu kuna wapemba zadi ya 50 walipigwa risasi kwenye maandamano na polisi, Waislam Mwembechai walishapigwa risasi kwenye maandamano.

Chadema sio wa kwanza.
we wataje hao, si lazima kunifikirisha kuhusu wapemba

kwangu mimi zanzibar ni nchi nyingine na tunahitaji sana kujitenga nao, ni kama ngazija, shelisheli, cape verde nk. siwezi kuwasemea wazanzibari, na yaliyotokea mwembechai nilishayaongelea humu wakati stahiki

nazungumzia ya leo, with the current system, and the same people operating the country, meaning all factors constant, not change of leadership wala OCD

hope unaelewa context na si content pekee

BTW, when was mwembechai issue erupted?? in the nineties right??

UPEO WAKO UKO KAMA WA TAIRI, HAKUNA ZAIDI YA KUZUNGUKA KWISHA, UMEJITAHIDI SAAANA UMEPASUKA
 
Hawa ndugu zetu nawashangaa, ndugu zao wamefungiwa Keko na Segerea, wao wanaandamana kwenda Wizarani, si wawafuate hukohuko wabomoe magereza wawatoe jamaa zao?

Huyo Ponda mwenyewe tunaambiwa alihesabiwa?
Mbona nyie mliandamana morogoro sokoni wakati ofisi ya sensa iko dar?
 
Mimi kila siku nasema naomba mungu aipe JF uhai na waislam wajiandikishe kwa wingi JF,ukweli kama unashabikia CDM mitaani na majukwaani huwezi kujua yaliyo mioyoni mwao,ila ukishakuja hapa jf ndio utawaona CDM kwa rangi yao asili,ukitaka raha wewe kariri majina ya wanaocoment hapa utagundua ndio wale wanaojiona wao ndio cdm ilianzia nyumbani kwao,

Mkuu wala usipate shida na hawa mie nipo humu JF mwaka wa nne sasa tunajuana kwa michango yetu unaona hawa wote wanaotoa kejeli na matusi dhidi ya Uislam hawa hawa ndio utawakuta wanaitetea Chadema pamoja na Dr Slaa halafu hawa hawa wanataka tuwe wamoja haiwezekani...tunapoelekea nadhani watakuja kujutia hizi kauli zao maandishi yakishaandikwa basi tena.
 
Waliokamatwa ni watanzania waliogoma kuhesabiwa,awe mkristo,Mwislam, ama mpagani. Kama ingekua wanaandamana kutaka waliokamatwa wote wachiwe huru nisingekuwa na shida.Lakini Waislam wanapoandamana kutaka waislam wenzao waliokamatwa waachiliwe,bila kujali kwamba hata wakristu pia waligoma na wakakamatwa, ni dalili za Udini uliokomaa. Tunapodai haki yeyote tudai kwa manufaa ya raia wote si ubaguzi kama unavyofanywa na waislam.Si sawa.Ni mawazo yangu tu.
 

Lakini Badala ya kwenda Wizara ya Mambo ya NDANI kwanini WASIENDE IKULU? 2 STEP's UP? watapata MSAADA MKUBWA

KULIKO WAZIRI WA NDANI
 
Ohio street imefungwa, na kuna watu wengi sana pale Wizarani. Polisi wa mabomu wametanda, na gari la maji ya kuwasha likiwa pembeni. Waislamu wanaimba kwa Nguvu sana na Polisi bado wapo very calm. Situation iko very manageable, unless otherwise kitokee kingine!
 
sote ni ndugu chamsingi ni kuwa watanzania wanaandamana haaijalishi ni wa dini gani, tusiruhusu dini za kigeni zitugawe, ccm naona siasa za majukwaani zimewashinda na sasa inatumia kete ya udini ,matokeo yake ndio haya,," Ukristo ,uisilamu zote ni dini za kigeni” wanaotoka povu sababu ya udini hawajui historia
 

Lakini Badala ya kwenda Wizara ya Mambo ya NDANI kwanini WASIENDE IKULU? 2 STEP's UP? watapata MSAADA MKUBWA

KULIKO WAZIRI WA NDANI

Usiwe na Haraka sana, tunafahamu tunachokifanya hapa. Tunasubiri tamko la viongozi
 
Mliokuwa karibu picha basi tumeni, mimi sina uhakika kama nitawahi na foleni ya kibongo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom