Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Hivi wewe unajaribu kufananisha idadi ya waislamu na wanachama wa CDM? Nyie mko kidogo sana bibie ndio maana mnaonewa, waislamu ni number ingine bana. Haguswi mtu hapo,we utaona.

usichanganye madesa

waislamu wanaoandamana ni kidogo sana, hawafiki hata 10% ya waislamu wote
 
Ebu nisahihishe nijuwe nilipokosea mkuu.Ndo JF hii kusahihishana ama sivyo?

Uliposema maandamano haya behind kuna ccm, sio kweli mkuu kumbuka hao wengi wako against na ccm yenyewe sasa hivi, usichanganye Bakuata(wazushi) na hao. Kumbuka huwa wanakosolewa wote hata mkuu wa kaya live bila kumung'unya. So usiamini kila Muislamu anatumika na ccm, waislamu wanaandamana kwa haki zao wenyewe na si za kisiasa, hope umenielewa
 
Sasa ndio mjue kuwa CDM bila waislamu hawata shika hii nchi.
 


mkuu Jmushi wewe ungekuwa JK ungafanya nini..?! JK ana viongozi wa chini ndio watashughulika na hi issue pamoja na madai.. mbona mkuu weye unataka kila jambo JK aongee!! ? au akishapigwa risasi mmoja wapo ndio utaufuta udini uliombandika JK?
He's the top Boss and the bucks stops with him.

Kwa kutumia dhana ile ile ya "muislam mwenzetu",hayo nilikuwa nikiyasikia toka nikiwa boarding school lakini sikujuwa yatafikia huku,yamefanyika hivyo under his watch(JK's)

Ningekuwa yeye,ningekubali kipengele cha dini kwa masharti ya kupewa jibu la "what's next" kama tuko waislam wengi?
 
Wangekuwa chadema ndo wanaandamana hata huko posta wasingefika wangeshalipuliwa. Kwani sensa imeisha? Wanaharibu sensa hao kwa kuandamama. Kweli dhaifu ni dhaifu au kwa kuwa ndugu zake ndo maana hajapeleka polisi mpk sasa. Ooh nimesahau yuko msoga sijui msata.
 
Bado sijapata kufahamu hawq ndugu zangu waislamu wanaaandama kudai nini? i mean wanakwenda kudai nini huko kwa nchimbi?
 
Ipo kazi mabadiliko ya wananchi ni lazima,lazima wakubwa wafanye mabadiliko hizi sio enzi za mw....
 
sio tu chadema hata ingekua ni wakristo wanaandamana wangepigwa mabomu..tumeshazoea kua waislam ni untouchables...wanajiamulia wanachotaka na serikali haiwagusi...ccm na serikali yake wameonyesha jinsi walivyo wadini...
 
usichanganye madesa

waislamu wanaoandamana ni kidogo sana, hawafiki hata 10% ya waislamu wote

Sasa wewe unataka kufananisha cdm na waislam? Hao walioandamana hapo wameandamana kwa imani zao,wale cdm wanaandamana kwa maslahi ya kigenge flani cha kusini kinachotaka kujipa madaraka kwa njia ya panya,waislam hawajawahi kushindwa sehem yyte duniani wanapotaka kitu kifanyike,na kama huamini fatilia sehem zote duniani ambazo waislam wameminyiwa haki zao kama kuna amani,
 
Some Pictures za matukio
20120907_143145.jpg
 
Rafiki zangu waislamu elekeeni ilipo IKULU kule magogoni hata mimi ambaye sio muislamu nita join maandamano tumg'oe JK dhaifu, sasa hapo wizarani waziri NCHIMBI na kamtu kadogo tu, hata hakijiuzulu leo hakuna mabadiliko yeyote yatakayotokea.
 
He's the top Boss and the bucks stops with him.

Kwa kutumia dhana ile ile ya "muislam mwenzetu",hayo nilikuwa nikiyasikia toka nikiwa boarding school lakini sikujuwa yatafikia huku,yamefanyika hivyo under his watch(JK's)

Ningekuwa yeye,ningekubali kipengele cha dini kwa masharti ya kupewa jibu la "what's next" kama tuko waislam wengi?


subiri hotuba yake ya mwisho wa mwezi atazungumzia hii issue .. ili uridhike..! kwa sasa acha watu waliochini yake washughulikie.. kwani ni kazi yao ..
 
Watu wa Sensa nao wa ajabu, ni kwanini wasiende huko Rumande kuchukua hizo Dodoso (kwani zipo katika RB) wakawaachia halafu kule Mtaani wanapata taarifa za Mwenyekiti na Balozi yaani tuseme Waislam Wameshinda maandamano FINITO
 
Uliposema maandamano haya behind kuna ccm, sio kweli mkuu kumbuka hao wengi wako against na ccm yenyewe sasa hivi, usichanganye Bakuata(wazushi) na hao. Kumbuka huwa wanakosolewa wote hata mkuu wa kaya live bila kumung'unya. So usiamini kila Muislamu anatumika na ccm, waislamu wanaandamana kwa haki zao wenyewe na si za kisiasa, hope umenielewa
I doubt it,waislam washakuwa intergrated kwenye agenda za ccm nadhani kwa kupitia cuf bila shaka.Kwahiyo siwezi kushangaa wakiendelea kutumia kila mmoja kwa maslahi yake.CCM watawatumia sana,bi wajanja kwenye hilo la kupandikiza chuki na kuleta migawanyiko.Trust me on that.
 
By NasDaz
Wadau Dar es Salaam Ciy Centre....naona maandamano makubwa ya watu inaohisiwa ni Waislamu hapa mitaa ya Posta Mpya wakielekea Mambo Ya Ndani....mwenye taarifa atujuze kulikoni?~
Mbona Umejificha kwenye KEYBOARD .wafuate Uone


Naona jamaa wamefika mpaka getini ofisi za Waziri Mpendwa Nchimbi na kwa IGP Mwema ngoja tusubiri tamko la serikali na Polisi


picha hisani ya https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/319894-maandamano-makubwa-katikati-ya-jiji-12.html
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom