Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Kama dini ndio ingekuwa uchumi, sayansi, kilimo, hawa jamaa wangekuwa mbali sana. Kuna maisha yanaendelea nje ya dini bila kuwekeza nguvu huko u-pu-pu huu utawatafuna sana.
 
hee! hapo mafisadi wanafurahi!
 
Kila mtu ana haki ya kuandamana!!mbona hata mi naandamana kivyangu............maanadamano ni hali ya kutoridhishwa na jambo fulani ambalo mtu alipaswa kutendewa na anayestahili kumtendea, (kwa mfano serikali dhidi ya wananchi).
 
"Itakuwa CDM hao inawachochea waislamu kuipinga serikali yao"!
 
Nafikiri ni wakati wa mods kutoa adhabu ndogondogo kwa wote wanaoshindwa kutoa hoja za msingi badala yake wanatukana.
 
Kamwe haitatokea nchimbi kujutiwa akipotea.
 
Hatuna waalimu wa kutosha hawaandamani.

hatuna madawa ya kutosha mahospitalini hawashiriki kupata jibu lake.

nafika mahala nawahurumia sana hawa jamaa.

huwezi kuitawala dunia kama utakuwa mbumbumbu. waelekeze maandamano upande wa elimu bora.

kwa mwendo huu mkoloni mweupe atarudi tu
 
Kuwa mwislamu au chadema kuandamana sio tatizo bali tatizo unaandamana kwa ajili ya kudai haki ipi na hasa pale unapoacha kuandamana kwa ajili ya mambo yenye kipaumbele kikubwa kama elimu na afya.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom