MAMA POROJO
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 4,976
- 784
hakuna hata kawimbo ka kuhamasishana kanakoweza kukupa sababu ya kuandamana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawana lolote,wanataka kuleta fujo tuu hao.Wa.............sh..........sana.
.ni kuhusu ishu ya sensa! na kukamatwa kwa watu
Hawa watu hawakuelimishwa vya kutosha so inabidi waachiwe tuu!
Ni kweli maandamano yanafanyika kushindikiza kuuachiwa Waislam wenzao waliokamatwa kutokana na kukataa kuandikishwa sensa.
Any news, manake naona wameibuka from nowhere ingawaje idadi yao ni kubwa!!
Ila wale wanaosababisha mauaji ya watu.....................Hawana lolote,wanataka kuleta fujo tuu hao.Wa.............sh..........sana.
ni kweli maandamano yanafanyika kushindikiza kuuachiwa waislam wenzao waliokamatwa kutokana na kukataa kuandikishwa sensa.
.
sensa si imekwisha kulikoni tena? nani kakamatwa ambaye wanataka aachiliwe huru?
Ni kweli maandamano yanafanyika kushindikiza kuuachiwa Waislam wenzao waliokamatwa kutokana na kukataa kuandikishwa sensa.
Waliosusia.Hata yule aliyechana dodoso? Halafu Wizara ya Mambo ya ndani ndio inayofunga watu?