Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Kweli nimeamini polisi wa Tanzania wanatumiwaga na ccm kuwafanyia chadema fujo,inajuaje hawa wanaandamana bila kibali na hawafanywi lolote

Ukiona hivyo kuna udhaifu ndani ya CDM yenyewe, viongozi wasiwe watu wa kulaani tu huku wafuasi wanakufa. Kwa waislamu wa sasa hilo sahau
 
Kweli nimeamini polisi wa Tanzania wanatumiwaga na ccm kuwafanyia chadema fujo,inajuaje hawa wanaandamana bila kibali na hawafanywi lolote

Picha za Maandamano ya DSM leo 07/09/2012 kwa hisani ya KUMKICHWA: Breaking News: Picha za Maandamano Ya waislamu Wizara Ya mambo ya ndani
Dr.+Che3160.jpg
 
Wao wanaandamana wenzao watolewe ndani sasa siju huo unafiki umetoka wapi au una chuki na dini yao. Sioni tatizo la kuandamana kwao.[/QUOT SINA CHUKI NA DINI YOYOTE DOU YOU KNOW WHAT I BELIEVE YOU LITTLE BOY?
 
Ndio maana kuna mabarozi wa nyumba kumikumi si wawatumie hao kujua idadi yao na elimu yao? Na POLICE wa TZ ninavyowajua sijui kama hatutasikia kifo baadae!
Halafu mabilioni watachakachua saa ngapi,
We hujui kuwa wanaandaa fedha za kampeni?
 
Wapewe Zanzibar wahamie huko,tena hawatakuwa na haja ya kipengele cha dini kwasababu nchi itakuwa ya kiislam.Sisi tubaki na Tanganyika yetu.Alichojaribumwalimu kime prove failure.Hata JK anafahamu coz he's happy kwamba siasa za "mzee Nyerere" na udini wake vimeshindwa.JK aliwaambia wahesabiwe kwa unafiki tu,ni kama anawaonyesha kuwa yeye hana shida ila liserikali analoendesha lina mfumo kristo.
 


Wao wanaandamana wenzao watolewe ndani sasa siju huo unafiki umetoka wapi au una chuki na dini yao. Sioni tatizo la kuandamana kwao.

point to be noted .. tatizo huyu
nivea anajitoa fahamu na kujifanya haelewi .. anaelewa ila analeta ubishi tu!

 
Wakati muda uliongezwa wa sensa ukiwa bado haujaisha, Waisilamu leo wamefanya maandamano makubwa kwenda Wizara ya Ndani.

Kwa mara ya kwanza polisi wametumia busara kwa kutoyaingilia na kuyapiga mabomu, kwani wangefanya hivyo, maafa makubwa sana yangetokea.

Hali ya kuufyata kwa polisi in ashan gaza, kwani ingekuwa ni CDM wam,eandam,ana jijini humu, basi sijui ingewkuwaje. Double standards za serikali ya CCM.

Nawaomba CDM waibane polisi ili watolee maelezo ya kuridhisha double standard hii inatoka wapi?

chadema si wanajulikana maandamano yao yanaambatana na vibaka na fujo, sasa hao ni wa kuwaruhusu kuandamana?
 
Kweli nimeamini polisi wa Tanzania wanatumiwaga na ccm kuwafanyia chadema fujo,inajuaje hawa wanaandamana bila kibali na hawafanywi lolote
Halafu eti wanasema JK si mdini!wapi bana,fumbo mfumbie mjinga.
 
Usiwe na Haraka sana, tunafahamu tunachokifanya hapa. Tunasubiri tamko la viongozi

Mkuu Rejao, Nawaminia!! Lakini tatizo lenu ni mafungamano yenu na Magamba. mmekuwa mkidanganywa kwa vitumbua ninyi mwaridhikaa!!
 
Kweli nimeamini polisi wa Tanzania wanatumiwaga na ccm kuwafanyia chadema fujo,inajuaje hawa wanaandamana bila kibali na hawafanywi lolote
Hivi wewe unajaribu kufananisha idadi ya waislamu na wanachama wa CDM? Nyie mko kidogo sana bibie ndio maana mnaonewa, waislamu ni number ingine bana. Haguswi mtu hapo,we utaona.
 
Tungekuwa tunatumia nguvu kubwa hivi kuandamana dhidi ya mafisadi wafungwe akina Lowassa, change, Rostam Aziz wasingekuwa nje.

Kukosa kugundua ni nini kinakurudisha nyuma ni kosa kubwa sana kimaisha.

Weeeh! Thubutu kusogelea maslahi ya hao mafisiad vitu vyenye ncha kali vitaruka hewani hapohapo,waonee huruma wenzio.
 
Waislam waliopigwa risasi Mwembechai kwenye maandamano walikuwa wafuasi wa Chadema..

NIMEKWAMBAIA WEWE NI KAMA GURUDUMU, HUNA CHA ZAIDI YA KUZHUNGSHWA TU NA EXCELI

i talked of time factor, siwezi kulinganisha ya 1990s na leo, nimeweka koment inayoendana na hali ya leo, meaning in the timeframe ya mwezi mmoja tu, tumeshuhudia double standards, hawa wanauwawa kwa kufungua tawi, hawa wanakata viuno na fiesta (tena wanalindwa) na hawa wanasumbua watu barabarani (tena bila vibali na hakuna hatua), siwezi kuzungumzia ya mwembechai kwasbabu nyakati ni tofauti, tena wakati ule... maana mengi yamebadilika,

nazungumzia yaliyo ndani ya siku chache zilizopita kwani it is fair kulinganisha matukio na nyakati na wahusika ili kuwa na good comparison, siwezi kulinganisha ya enzi za mwalimu na leo kwenye haki za binadamu

soma signature yangu, itakusaidia
 
Halafu eti wanasema JK si mdini!wapi bana,fumbo mfumbie mjinga.

mkuu Jmushi wewe ungekuwa JK ungafanya nini..?! JK ana viongozi wa chini ndio watashughulika na hi issue pamoja na madai.. mbona mkuu weye unataka kila jambo JK aongee!! ? au akishapigwa risasi mmoja wapo ndio utaufuta udini uliombandika JK?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom