Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Dar: Maandamano makubwa katikati ya Jiji

Status
Not open for further replies.
Tutaona na kusikia mengi Haya polisi wameua wangapi kwa kuvunja sheria ya sensa Leo??
 
Kwa mujibu wa Godfrey Monyo wa ITV, na ITV breaking news, Waislamu kutoka sehemu mbalimbali za jiji la Dar Es Salaam wamekusanyika wizara ya mambo ya ndani kushinikiza waislamu waliokamatwa kwa sababu ya kukataa kuhesabiwa/kushawishi wengine wasihesabiwe waachiwe huru!. Tukio hili limetokea mchana huu wa leo na kuripotiwa na ITV saa 8:40..

Ndio maana kuna mabarozi wa nyumba kumikumi si wawatumie hao kujua idadi yao na elimu yao? Na POLICE wa TZ ninavyowajua sijui kama hatutasikia kifo baadae!
 
Give them a yard they take a mile.....

Hii yote inaletwa na serikali kuwa lege lege na siasa / dini kuingilia mambo ya msingi na sheria.., Sasa kama sheria ipo na imevunjwa kwanini mvunja sheria atake wavunja sheria waachiwe.., Do the Crime and you must Pay.., walijua fika kukataa kuhesabiwa ni kosa basi sasa either walipe hizo faini au waende jela.., after all ya Kaisari muachie Kaisari

Ni vizuri haya yanaonekana sasa hivi. Unasemaje Mauaji ya mwembechai kwa amri ya PADRI LUAMBANO?

Kawaida ya mambo huenda mbele na kurudi nyuma! action and reaction are equal and opposite.
 
hope utavuna mnachokipanda ,mbona ile ya miaka 55 ndio mafao hamkuandamana wanafki tuu,mambo ya msingi mnanyamaza upumbavu mnaandamana .tatizo elimu ndogo.

Shukran! tumeridhika na elimu yetu ndogo tuache hivihivi... nikijibu swali lako tunaweka mbele Maslahi Ya Dini/ Muislam Kwanza!.. Mengine baadaye!....


 
Hatuna waalimu wa kutosha hawaandamani.

hatuna madawa ya kutosha mahospitalini hawashiriki kupata jibu lake.

nafika mahala nawahurumia sana hawa jamaa.

huwezi kuitawala dunia kama utakuwa mbumbumbu. waelekeze maandamano upande wa elimu bora.

kwa mwendo huu mkoloni mweupe atarudi tu

usikute wewe mwerevu hata familia inakushinda kuitawala.
 
Magari ya polisi yanatoka hapa Kanda maalum ya Dar es salaam yakiwa na Askari wakakamavu wenye silaha za moto na Mabomu!.. Mamejiandaa haswa!.. Wamegawanyika makundi manne

Kama wale waliyomtoa nduki Mbowe, Dr. Slaa akakimbilia kujificha nyuma ya spika huku kavaa magwanda kule Arusha.
 
Maandamano ya ccm "kwa mlango wa nyuma",we already know who's behind this ****.Hii counter ya ccm,ofcourse kwenye mwendelezo wao wa divide and rule.Msije mkashangazwa maandamano haya yakawa yanaitishwa wakati wa mikutano ya m4c.I can't believe this stuff.Nadhani tungeweka kipengele cha dini,halafu tuone kama ndugu zetu ni wengi madai yao yatakuwa ya aina gani.Kwasababu it doesn't make any sense.
 
Kwa wale waliokuwa na shaka kwamba CHADEMA ni Chama Cha Dini ile someni michango yao hapa utapata Majibu


Mimi kila siku nasema naomba mungu aipe JF uhai na waislam wajiandikishe kwa wingi JF,ukweli kama unashabikia CDM mitaani na majukwaani huwezi kujua yaliyo mioyoni mwao,ila ukishakuja hapa jf ndio utawaona CDM kwa rangi yao asili,ukitaka raha wewe kariri majina ya wanaocoment hapa utagundua ndio wale wanaojiona wao ndio cdm ilianzia nyumbani kwao,
 
Nami nipo hapa nawasupport waislam wenzangu. Mpaka kieleweke


attachment.php


Angalia hilo jengo mali ya Exim Bank msiichanganye na Wizara ya Mambo ya Ndani.
 
Magari ya polisi yanatoka hapa Kanda maalum ya Dar es salaam yakiwa na Askari wakakamavu wenye silaha za moto na Mabomu!.. Mamejiandaa haswa!.. Wamegawanyika makundi manne

Mallya, yaje hata na ya mikoa ya jirani kumbuka waislamu wamechoooka na uonevu wa serikali, na kama watauwa mtu kama Mwangosi basi nadhani ndio muda wa sintofahanu itaanza bongo. Waislamu wa sasa tofauti na hao akina Bakwata wanafki. Vijana wamesoma sasa hivi sio kama jamii inavyojidanganya waislamu hawana shule
 
Uislam mbele,to hell with the nation!way to go!
 
Magari ya polisi yanatoka hapa Kanda maalum ya Dar es salaam yakiwa na Askari wakakamavu wenye silaha za moto na Mabomu!.. Mamejiandaa haswa!.. Wamegawanyika makundi manne

Hawa mapolisi ni watu wa hovyo sana. Jana wazee wa kazi wamevamia Benki ya CBA pale jamana house hawakutia maguu hadi shughuli ya kupakia magunia ya fweza ilipokamilika na wenye fweza zao kuondoka.

Sasa wakisikia maandamano ya waislamu au Chadema wanavyokurupuka na migari yao huku wakiwa wamejitanda na mibunduki na mabomu huwezi kuamini kwamba ndio wale wanaowaogopa majambazi kama mungu wao.
 
Mbona wanaCDM humu wako against hao waislamu kuandamana wakati wao kila siku ni maadamano.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom