Dar Lux kapotezwa?

Magu alikomba kwenye account zake kiasi kikubwa sana cha pesa na chanzo ni bus za Darlux kubeba waombolezaji kwenye msiba wa kaka yake JK Chalinze.. Bulimia Lux kama kumi hivi.. Magu kuuliza akaambiwa na chawa ni za JK

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wameunga maneno mkuu mimi nilijua hayo mambo kupitia kwa mteja wa gari niliemletea daslm na alikua karibu na huyo Mama kuhusu kupata haki yao...vijana wajanja wajanja wa daslm wengi nawafahamu maana wanapohitaji magari mazuri kupitia hata kwa watu wengine tunajua pia..
 
Sahihi, hata hizi Qatar Airways watu wanafunga mahesabu ya mwaka ni hasara tupu.
Majini sifahamu.
Kampuni nyingi za midle east wanafanya biashara ya ndege kama prestige sio kama biashara ya faida , emirates ana aibus a380 116 ,ni zaidi ya nusu ya a380 zote zilizotengenezwa na airbus . sababu kuu ya airbus kufunga production ya a380 ni kuwa emirates ali cancel oder .
 
Waendelee kujifunza kwake maana sio vibaya kujifunza Kwa MTU mwenye uzoefu. Ila Mimi naona Abood yupo Update Kama usemavyo anajua wateja wake wanahitaji nini hana ajali za hovyo n.k
Abood anabebwa na location. Dar moro ni busy route na fupi ndo maana basi zake zonadumu na madereva wanapata muda wa kutosha kupumzika .sasa hivi ameingia kwenye mtanange wa upcountry routes lazima zitamtingisha
 
Kuna sababu karibu airlines zote kubwa ni state-owned from Qatar, Emirates, Ethiopia, Singapore, KLM, Air France, Qantas etc etc. Their governments injects money to stay afloat kila wanapoyumba.
Air France-KLM na Qantas sio state owned, hazimilikiwi na serikali, ni public traded companies. Airlines zote kubwa za Ulaya na Marekani ni public traded companies, hazimilikiwi na serikali.
 
Nawe unaitwa BABA kabisa Nyumbani kwako eti WANAZI!!!ndio nyie watu wazima na ndevu zenu huwa mnakesha mabarabarani kushangilia mabasi,wapuuzi sana nyie
Sasa wewe babu mwenye mvi usiyejua kua binadamu tupo tofauti kila mtu ana mapendeleo yake na viupaumbele vyake, na uzee wako unatufosi unacho kiona wewe ni sahihi ndio kiwe kama sheria. Hivi hapa hujioni kwamba wewe ndio kubwa jinga unayeshindwa kujua binadamu wanatofautiana mitazamo.
 
Air France-KLM na Qantas sio state owned, hazimilikiwi na serikali, ni public traded companies. Airlines zote kubwa za Ulaya na Marekani ni public traded companies, hazimilikiwi na serikali.
State owned airlines nadhani zimebaki huko huko midle east kweyye hela za mafuta . pamoja na sisi na Atcl. Yetu. The rest of the world walishaachana na huo ujinga.
 
Hata utoke damu Hakyamungu husaidiwi, kuna tule Muha huwa anazunguka na makaratasi aliiibiwa na tra tangu enzi za chuma alipata haki yake?
 
Sijakubishia zote hizo ziko kwenye mkondo mmoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
State owned airlines nadhani zimebaki huko huko midle east kweyye hela za mafuta . pamoja na sisi na Atcl. Yetu. The rest of the world walishaachana na huo ujinga.
Ethiopian airlines Ni 100% owned by the government. Sema wanalipa mshahara kiduchu na hakuna mambo ya vyama vya Wafanyakazi Wala ujinga ujinga wa HAKI YETU
 
Sauli alipata pesa kwenye dhahabu akakurupukia scania naona pesa zinarudi ardhini zilipotoka soon anapaki.
Biashara ya mabus ukipigiwa faida kwenye makaratasi utasema biashara si ndio hii.
Mbona wengine wanafanikiwa mkuu. Angalia fleet hiyo INTERCAPE. Hapo unaongelea billion's or trillion's.. Haha Discipline Will Take You Where Passion Cant
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…