- Thread starter
- #181
Simulizi la Thengo Maloya kuhusu Mgogoro wa Baraza la Mawaziri la 1964 Wakati wa Utawala wa Dr. Banda
View: https://m.youtube.com/watch?v=vhT2nTjyKVk
Toleo Lisilohaririwa. Anaamini Mawaziri walioasi dhidi ya Kamuzu Banda walimkosoa Kamuzu isivyo haki na walifanya mfululizo wa maamuzi mabaya ambayo yangeweza kuepukwa. Anafunguka kuhusu kukimbilia kwake uhamishoni na kukaa huko kwa karibu miaka 30 Tanzania, Zambia , akijaliwa kupataa watoto 8 waliozaliwa huko uhamishoni...
Nilikuwa London nikaendelea hadi Geneva kikazi kisha kuelekea Italia na sikusikia chochote kuhusu yanayoendelea Malawi wakati huo Malawi haikujulikana hivyo hakuna habari zozote za mgogoro ktk serikali ya Banda
Nikaamua kwenda Nairobi Kenya nikakutana na Mzee Jomo Kenyatta na Jaramogi Odinga Oginga. Mzee Kenyatta nikamsimulia na kumuomba aandike barua amuombe Banda anisamehe
Dr. Banda alipopewa barua hiyo yaliyokuja nayo Maloya kuhusu kuwa peace broker mpatanishi, Dr. Banda akastuka alipoambiwa Maloya nina barua hii mkononi kutoka kwa Mzee Kenyatta. Dr. Banda akangaka kwa ukali na kumuuliza balozi wake kijana mdogo Maloya nani kakuambia kuna mgogoro, hilo lilikuwa kosa kubwa Banda akasema ...
View: https://m.youtube.com/watch?v=vhT2nTjyKVk
Toleo Lisilohaririwa. Anaamini Mawaziri walioasi dhidi ya Kamuzu Banda walimkosoa Kamuzu isivyo haki na walifanya mfululizo wa maamuzi mabaya ambayo yangeweza kuepukwa. Anafunguka kuhusu kukimbilia kwake uhamishoni na kukaa huko kwa karibu miaka 30 Tanzania, Zambia , akijaliwa kupataa watoto 8 waliozaliwa huko uhamishoni...
Nilikuwa London nikaendelea hadi Geneva kikazi kisha kuelekea Italia na sikusikia chochote kuhusu yanayoendelea Malawi wakati huo Malawi haikujulikana hivyo hakuna habari zozote za mgogoro ktk serikali ya Banda
Nikaamua kwenda Nairobi Kenya nikakutana na Mzee Jomo Kenyatta na Jaramogi Odinga Oginga. Mzee Kenyatta nikamsimulia na kumuomba aandike barua amuombe Banda anisamehe
Dr. Banda alipopewa barua hiyo yaliyokuja nayo Maloya kuhusu kuwa peace broker mpatanishi, Dr. Banda akastuka alipoambiwa Maloya nina barua hii mkononi kutoka kwa Mzee Kenyatta. Dr. Banda akangaka kwa ukali na kumuuliza balozi wake kijana mdogo Maloya nani kakuambia kuna mgogoro, hilo lilikuwa kosa kubwa Banda akasema ...