Wanyarwanda wanaoongea kinyarwanda na kifaransa! Wabongo bhana!
Uzi wa Kishamba kweli huu
Uzi wa Kishamba kweli huu
Hata kifaransa ni kilugha, ndo maana wakiongea huelewi kama kidigo.Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Ujinga na upumbavu nazo ni sifa.Tudefine ushamba kama hali ya mtu kutojua utamaduni wa mjini au wa kisasa unataka nini. Mtu mshamba ni kazi sana kuendana naye au kuelewana naye.
Ni kazi sana kuishi na mtu mshamba au kufanya naye makubaliano. Hata ukioa au kuolewa na mshamba utapata taabu sana humo ndani. Ni vema kuwatambua na kuwaepuka.
Sasa basi, kuna dalili nyingi za kumtambua mtu mshamba, lakini kwa Tz dalili moja ya wazi ni mtu kujua kuongea kilugha. Ukiona mtu anaongea kilugha, taa ya hatari iwake kichwani mwako. Si wote wanaoongea kilugha ni washamba, lakini hilo ni moja ya dalili kuu za mtu mshamba.
Mtoa mada kwa tafsiri ya hili neno yani umetukaniwa sehemu yako ya kujambiaLushindo lwako
Kuongea kilugha ni ishara kubwa kuwa mtu huyo ni mshamba. Lugha imestack na habari za miaka ya 1800. Wewe unajifunza na kuiongea leo, si utakuwa na mawazo ya miaka hiyo na ya kijijini kwenu tu!? Hata utsmaduni wako utakuwa hivyo.Ujinga na upumbavu nazo ni sifa.
Hakika mtoa mada sifa hizo zimekusheheni.
Kwa definition yako Mwalimu Nyerere basi alikuwa mshamba.
Kiswahili, Kifaransa, kiingereza nk. Ni lugha kubwa. Zinaweza elezea mawazo karibu yote ya kisasa. Sasa wewe na kikerewe chako si umejaa tu habari za uvuvi, mitumbwi, kilimo, mamba, samaki na habari kuhusu uchawi? Ukija mjini unafikiri hayo ndiyo mambo ya maana.Hata kifaransa ni kilugha, ndo maana wakiongea huelewi kama kidigo.
Kuwa na maisha mazuri hakufanyi usiwe mshamba(Usiyestaarabika)Ujanja ulio nao kama haubadilishi maisha yako kiuchumi hamna la maana! Na kwa sehemu kubwa hapo Dar wanaoongea kilugha ndo wenye maisha mazuri! Nyinyi mnaojifanya born town wengi mafala vizinga ndo tabia zenu!
Habari ya kiingereza imekujaje?Wewe ni brain washed na wazungu... unaona labda kuongea Kiingereza ndo ujanja/umjini. Stupid!
Baadae utakuja kuandika hapa kuongea kiswahili ni ushamba! Maana kwa akili zako hizi za kijinga huchelewi kusema maana limbukeni sana wewe!Kuwa na maisha mazuri hakufanyi usiwe mshamba(Usiyestaarabika)
Hapo tayari ushaongea kilugha, tayari ni tatizo wewe.kwasababu wwe huongeagi Kiarabu ya Waarabu???kwanza nyie waislamu mumebadilisha mpaka majina za mababu wenu!cheki jina yako
Watanzania tunaongea Kiswahili na Kiingereza.Wanyarwanda wanaoongea kinyarwanda na kifaransa! Wabongo bhana!
Huyo hajaui kama nchi za ulaya zina lugha zao za Taifa sasa yeye anavyo wajumlisha wazungu wote wanaongea kiingereza ana kuwa hajui kila nchi za Ulaya zina lugha zao za Taifa na siyo lugha za makabila.Habari ya kiingereza imekujaje?
Wewe ni kinda mjinga mjinga amnaye hajui vipi Mkwawa aliorganisena kumaae jeshi lililompiga mzungu Major Von Zewelensky.Kuongea kilugha ni ishara kubwa kuwa mtu huyo ni mshamba. Lugha imestack na habari za miaka ya 1800. Wewe unajifunza na kuiongea leo, si utakuwa na mawazo ya miaka hiyo na ya kijijini kwenu tu!? Hata utsmaduni wako utakuwa hivyo.