Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,739
- 13,325
hawa ndiyo vijana wetu wa kiafrica walio TanzaniaSiyo mshamba, ni dalili moja kubwa kuwa ni mshamba.
akiwaona wazazi wake wanaongea kilugha chao anawachukulia ni washamba
kaaazi kwelikweli....
ndo mana mtu akiongea kingereza huku akibinua midomo yake huonekana wa kileo na wakisasa kuliko yule anayeongea kindengereko .kumbe ni ushamba bhana
kuku mkubwa huitwa wa kizungu wakati kazaliwa singida au handeni
pera/embe kubwa huitwa la kizungu wakati lipo bagamoyo
Inzi yule wa KIBULUU WA CHOONI JE? NAYE TUMUITEJE?