Kutoa Fomu moja ni Dalili ya uoga na kutokukubalika.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,340
51,895
Kwema Wakuu!

Wanaoshauri timu moja itolewe wanajaribu kueleza na kumpa taarifa Rais kuwa hakubaliki. Au tuseme wanajaribu kumtisha Rais kuwa kwa hali ilivyo hakubaliki.
Katika lugha za kisaikolojia mtu akisema kuwa, hakuna haja ya kuchapisha fomu nyingi za kuwania Urais au nafasi fulani. Hiyo inatoa tafsiri kuwa kuna hofu na mashaka ya kutokukubalika. Au kuogopa dharura za hapa na pale.

Nafikiri, ushauri mzuri ni kuwaacha Watu wachukue fomu. Tena ingefaa Rais mwenyewe kwa kujiamini kabisa ndiye aseme Watu wajitokeze kuchukua fomu ili ajipime na aonyeshe kuwa yeye ni kiongozi wa Watu na anakubalika.

Hiyo kasumba mbaya ya Wazee wetu tena tunaowaheshimu ya kusema ati mgombea akiwa madarakani asipate upinzani mpaka aongoze awamu mbili ni kasumba ya kikatili, dhulma, ukandamizaji wa haki za raia wa nchi hii ambao wanahitaji kuwania nafasi hizo.

Na jambo lolote ambalo ni dhulma, ukandamizaji na ukatili Watibeli hatuvutiwi nalo. Huo utaratibu ni utaratibu wa kidhulma.

Ni haki fomu zitolewe nyingi wagombea wagombea na atakaye pendwa zaidi achaguliwe.
Ni kweli kuwa, fomu zikitolewa nyingi zitadhihirisha nani anawatu wengi.
Ni akili, kuwapa Watu uhuru wa kupima na kulinganisha viongozi.
Ni upendo kutoa Haki kwa kila mtu anayetaka kuwania nafasi hizo.

Nawatakia mwaka mpya mwema wote.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Chadema pia hutoa fomu moja tuu. Sema lowassa, Lissu, Slaa, Mbowe walishondana na nani huko Chadema hadi wakagombea urais?
 
Chadema pia hutoa fomu moja tuu. Sema lowassa, Lissu, Slaa, Mbowe walishondana na nani huko Chadema hadi wakagombea urais?
Baada ya blunder ya Lowassa, cdm waliamua kuachana na huo ujinga wa mtu kuteuliwa kihuni, mgombea wa urais uchaguzi uliopita ilibidi apatikane kwa njia ya kura. Ndio hapo Lisu alipochaguliwa kuwa mgombea wa urais kupitia cdm akiwashinda kina Nyalandu nk.
 
Kwema Wakuu!

Wanaoshauri timu moja itolewe wanajaribu kueleza na kumpa taarifa Rais kuwa hakubaliki. Au tuseme wanajaribu kumtisha Rais kuwa kwa hali ilivyo hakubaliki.
Katika lugha za kisaikolojia mtu akisema kuwa, hakuna haja ya kuchapisha fomu nyingi za kuwania Urais au nafasi fulani. Hiyo inatoa tafsiri kuwa kuna hofu na mashaka ya kutokukubalika. Au kuogopa dharura za hapa na pale.

Nafikiri, ushauri mzuri ni kuwaacha Watu wachukue fomu. Tena ingefaa Rais mwenyewe kwa kujiamini kabisa ndiye aseme Watu wajitokeze kuchukua fomu ili ajipime na aonyeshe kuwa yeye ni kiongozi wa Watu na anakubalika.

Hiyo kasumba mbaya ya Wazee wetu tena tunaowaheshimu ya kusema ati mgombea akiwa madarakani asipate upinzani mpaka aongoze awamu mbili ni kasumba ya kikatili, dhulma, ukandamizaji wa haki za raia wa nchi hii ambao wanahitaji kuwania nafasi hizo.

Na jambo lolote ambalo ni dhulma, ukandamizaji na ukatili Watibeli hatuvutiwi nalo. Huo utaratibu ni utaratibu wa kidhulma.

Ni haki fomu zitolewe nyingi wagombea wagombea na atakaye pendwa zaidi achaguliwe.
Ni kweli kuwa, fomu zikitolewa nyingi zitadhihirisha nani anawatu wengi.
Ni akili, kuwapa Watu uhuru wa kupima na kulinganisha viongozi.
Ni upendo kutoa Haki kwa kila mtu anayetaka kuwania nafasi hizo.

Nawatakia mwaka mpya mwema wote.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Nimeshangaa sana. Ameanza kampeni mapema na bado anazuia wengine kuchukua fomu. Nadhani Kuna shida mahali.
 
Kwema Wakuu!

Wanaoshauri timu moja itolewe wanajaribu kueleza na kumpa taarifa Rais kuwa hakubaliki. Au tuseme wanajaribu kumtisha Rais kuwa kwa hali ilivyo hakubaliki.
Katika lugha za kisaikolojia mtu akisema kuwa, hakuna haja ya kuchapisha fomu nyingi za kuwania Urais au nafasi fulani. Hiyo inatoa tafsiri kuwa kuna hofu na mashaka ya kutokukubalika. Au kuogopa dharura za hapa na pale.

Nafikiri, ushauri mzuri ni kuwaacha Watu wachukue fomu. Tena ingefaa Rais mwenyewe kwa kujiamini kabisa ndiye aseme Watu wajitokeze kuchukua fomu ili ajipime na aonyeshe kuwa yeye ni kiongozi wa Watu na anakubalika.

Hiyo kasumba mbaya ya Wazee wetu tena tunaowaheshimu ya kusema ati mgombea akiwa madarakani asipate upinzani mpaka aongoze awamu mbili ni kasumba ya kikatili, dhulma, ukandamizaji wa haki za raia wa nchi hii ambao wanahitaji kuwania nafasi hizo.

Na jambo lolote ambalo ni dhulma, ukandamizaji na ukatili Watibeli hatuvutiwi nalo. Huo utaratibu ni utaratibu wa kidhulma.

Ni haki fomu zitolewe nyingi wagombea wagombea na atakaye pendwa zaidi achaguliwe.
Ni kweli kuwa, fomu zikitolewa nyingi zitadhihirisha nani anawatu wengi.
Ni akili, kuwapa Watu uhuru wa kupima na kulinganisha viongozi.
Ni upendo kutoa Haki kwa kila mtu anayetaka kuwania nafasi hizo.

Nawatakia mwaka mpya mwema wote.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Na ndio MAANA wameanza kampeni Mapema kabla ya Muda wake

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom