Dakika za mwisho Al-Bashir amebaki peke yake

Dakika za mwisho Al-Bashir amebaki peke yake

Huu ni ukweli uliowazi. Al bashir wa nchi yetu ni ccm tu. Hakuna mwingine. Siku ccm ikianguka, huenda nchi yetu ikapiga hatua kubwa sana kimaendeleo. Hiki chama kimefanya blanda nyingi sana tokea kianzishwe kuliko mafanikio yake.

Kimewekewa mazingira ya chenyewe kuonekana ni chama bora sana kuliko hata Tanzania na watanzania wenye nchi yao.

Kipi ni kizuri mkuu AcT /Cdm
 
labda liwe fundisho....kwako...huku kwetu hakuna watu wenye tabia za mtu unae mzungumzia
 
Kipi ni kizuri mkuu AcT /Cdm

Chama chochote kitakacho tanguliza maslahi mapana ya nchi na chenye kutaka mabadiliko nitakipigia kura kama ilivyokuwa kwa cuf (2000), chadema (2005), chadema (2010), na chadema tena (2015). ila siyo ccm maana imechokwa kiukweli.
 
Nchini Sudan Albashir na chama chake cha ANC walijitahidi sana kuua vyama vyenye nguvu vya upinzani,walifanikiwa. Bahati mbaya Moto umewashwa na professional bodies kama chama cha madaktari,walimu,wafanyakazi wa umma pamoja na wananchi kwa ujumla walichoka kuonewa,maisha magumu pamoja na kukosa uwakilishi.
 
chama cha mapinduzi kinamiliki mali kuzidi Serekali
Ni kweli, na Mali za umma kuzifanya za ccm, Mfano zanzibar, pale kisonge, sasa hivi ccm wanajenga office kubwa, eneo la wazi la serikali walianza na kibanda sasa ni office ya ccm.

Hii Ndio ccm.
 
Nyie ndio vipofu mkuu! Mnawaza kumtoa Magufuli badala ya kuwaza kuitoa ccm
We jamaa vp sijakuelewa au we ni miongoni mwa wanaosema "mimi sikuipigia kura ccm ila nilimpigia Magufuli au mimi sikumchagua Magufuli ila nilichagua ccm"

2020 aking'olewa mafuturi ndo ccm imeng'olewa hivyo jombaa.
 
Kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.

Nimemuona aliyekuwa akiabudiwa kama Mungu hana tena la kufanya zaidi tu ya kuwa mpole kama hua.

Wapambe wake wote hawapo tena. Wapiga vigelele na mapambio wote wametimua mbio. Al-bashir yuko peke yake hana tena Yale madaraka . Leo anaweza kuwa mfungwa kama wafungwa wengine.

Tunaposherekea sikukuu hii ya pasaka naomba tukio hili la Al-bashir liwe funzo kwetu. Tuishi maisha ya kutenda haki. Madaraka hutoweka kama kivuli ndipo nyakati za aibu na mateso hutamalaki.
 
Hivi huyu Albushiri bado yupo hai? Si WAMDIDIMIZE JAMBIA la anuzi kama ambavyo lile jambaz lingine tutakavyo lisokomeza Msumari wa nchi sita baada ya kumuopoa kwenye chemba la maji taka.
 
Hivi huyu Albushiri bado yupo hai? Si WAMDIDIMIZE JAMBIA la anuzi kama ambavyo lile jambaz lingine tutakavyo lisokomeza Msumari wa nchi sita baada ya kumuopoa kwenye chemba la maji taka.
Mwache kwanza aonje machungu ya dunia.
 
Wote hukimbia mbio.
Huwa viongozi wengi hasa Africa hawajifunzi. Omari Ali Bashiri kwa sasa yuko pekee yake, ni kama hakuwahi kuwa na wapambe ingawa ukweli ni kwamba alikuwa na Wapambe wengi mno. Je wako wapi kwa sasa? mbona yuko pekee?

Mugabe Pia alikuwa mmoja ya Viongozi walio kuwa na wapambe hasa kutoka Chama chake cha ZANU-PF ila Dakika za mwisho alijikuta yuko pekee bila wale wapambe wake.

Kuna mifano mingi sana lakini JE HAWA WAPAMBE HUWA WANA POTELEA WAPI?

WAPAMBE WAPAKA MAFUTA VIONGOZI WAO HUWA WANAPOTELEA WAPU PINDI MISUKO SUKO INAPO ANZA KWA KIONGOZI WAO?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom