Dakika za mwisho Al-Bashir amebaki peke yake

Dakika za mwisho Al-Bashir amebaki peke yake

Bashir ni jinga sana,yaani hakusoma hata alama kwamba mda wake umeisha akasepa?,jitu jinga sana
 
Kwa jina la Yesu ninayeamwani mimi sio Shetani.
Na Jina hilo hilo ya Yesu natumia Mamlaka aliyonipa kukurudishia huo ushetani juu yako na Mapenzi ya Mungu yawe juu yako kwa tusi lako
Shetani wewe
 
Swali lako lipo kidharau sana. Hata kama kisiasa hana nguvu au ana mfuasi mmoja hakuna ulazima wa kuonyesha dharau. Unadhani nchi zinazopatwa na machafuko uongozi ni mbaya sana au upinzani ni imara sana? Ni vichuki chuki tu vinapandikizwa kihaba na haba mwishowe kinajaza kibaba.
Sio wa kubeza ndio maana sheria zinatungwa nyingi juu yake lakini bado amesimama naye ktk yote magumu anayoyapitia.

Na kumbuka historia hujirudia kwa uzuri au kwa ubaya
 
Mku Wananchi huwa hawajuagi cha system kumbuka haya mambo huwa hayapigi hodi kipindi na nyakati zake kikifika huwa wasiopoteza ndio wengi zaidi yaani utashangaa walikotokea
Yaani wewe una matatizo makubwa sana na wenzako. Kwa ufupi dunia hii inaongozwa na system, na Bashir lazima kuna sehemu hakufuata ushauri wa wataalamu akazidiwa kete, pamoja na kuwa CCM haisapoti na haina na haijawahi kuwa na udikiteta kama wa Mbowe au Mh. Lipumba basi tunaamini demokrasia Sudan itatamalaki ingawa mabeberu huu pia ni muda wao kulipiza visasi, na hata wa south Sudan aliowaua kwa kutumia janja weed nao lazima waingie kazini, yaani hizi siasa is too complicated, ila ukiwa na ubongo mdogo unaweza kuibeza Tanzania na demokrasia yetu ukidhani ya Sudan ni mazuri zaidi
 
Ngoja nisubiri BAVICHA wakiunga uzi hoja kwa kumtukana rais wetu cjui humu kumejazwa Akina Kubenea,Halima nk
 
Mku tusifikie huko ila tumwombe Mungu watu waache kushupaza shingo ili wapinzani hawashiriki ktk chaguzi ili kupunguza chuki za kiitikadi
Kwa namna ilivyotokea Zimbabwe, Libya na Sudan ni mambo ambayo hayakutegemewa na wanaomsujudu mtu bila kuangalia maslahi ya wananchi wanaoishi kwa madhila na ufukara wa kutisha.Hata huku Tanzania bado kuna wanao muabudu mtu/kigenge cha watu na kuwafanya vimiungu watu.Muda huongea kwa sauti kubwa.
 
Kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.

Nimemuona aliyekuwa akiabudiwa kama Mungu hana tena la kufanya zaidi tu ya kuwa mpole kama hua.

Wapambe wake wote hawapo tena. Wapiga vigelele na mapambio wote wametimua mbio. Al-bashir yuko peke yake hana tena Yale madaraka . Leo anaweza kuwa mfungwa kama wafungwa wengine.

Tunaposherekea sikukuu hii ya pasaka naomba tukio hili la Al-bashir liwe funzo kwetu. Tuishi maisha ya kutenda haki. Madaraka hutoweka kama kivuli ndipo nyakati za aibu na mateso hutamalaki.


UTAFUTENI KWANZA UFALME WA MBINGUNI MENGINE YOTE MZAZIDISHIWA
 
sipati picha BASHITE tumemweka kati kama sodo au chandimu ni mwendo wa vidochi tu ule m'bichwa naupakaa hamira bonge konzi la jicho afu nitampima TENZI DUME kwa kudidmiza gumba kwenye KITUSHULIO
 
Kweli dunia hadaa ulimwengu shujaa.

Nimemuona aliyekuwa akiabudiwa kama Mungu hana tena la kufanya zaidi tu ya kuwa mpole kama hua.

Wapambe wake wote hawapo tena. Wapiga vigelele na mapambio wote wametimua mbio. Al-bashir yuko peke yake hana tena Yale madaraka . Leo anaweza kuwa mfungwa kama wafungwa wengine.

Tunaposherekea sikukuu hii ya pasaka naomba tukio hili la Al-bashir liwe funzo kwetu. Tuishi maisha ya kutenda haki. Madaraka hutoweka kama kivuli ndipo nyakati za aibu na mateso hutamalaki.
...aione dab na mzazi wake!
 
Ndio maisha hayo! Kila marefu yana ncha.
 
Ccm haitatoka madarakani kwa nguvu za upinzani la hasha ISIPOKUWA HASIRA ZA WANAYINJI ambazo hawawezi kuzizuia wamefanikiwa kuzima kila harakati LAKINI HAWANA NAFASI YA KUZIMA HASIRA ZA WATU SASA WAACHENI WAENDELEE KUTOA MANENO YA SHOMBO SEGEREA NDIYO NYUMBA YAO YA PILI TOKA MWISHO KABLA HATUJAWAFUKIA KAMA MIZOGA YA MIGURUWE ILOKUFA KWA SWINE FLU
 
Back
Top Bottom