Sasa ndugu yangu hapa unazungumzia lockdown au controlled migration. Huwezi kuzuia watu wasije nchini halafu hapo hapo unaruhusu watu wakalime na wakazalishe bidhaa viwandani. Hiyo sio lockdown kina Zitto &Co wanahubiri. Wenzako wanataka watu wafungiwe ndani kama kuku na wapewe Tshs 300,000 za kujikimu. Watanzania hayo hawayawezi, kama walivyoshidiwa South Africa, Ghana au hata USA, lockdown is a psychological time bomb.
Watanzania mnapenda kusikiliza wanasiasa ambao wengine sio wataalamu wa mambo wanayoyaongelea, leo hii nchi kama UK, Spain, France, na Italy wana mazao shambani ambayo yanakaribia muda wa kuvunwa na wavunaji hakuna, kisa nini, lockdown. Matokeo yake miezi michache ijayo nchi ambazo walikuwa wanagombea PPE na wengine kuibiana wataanza kupigana vikumbo wakinyanyana chakula.
Vitayetu ya corona inapigana kwa silaa ndogo sana na ya gharama nafuu ambayo ni BARAKOA (mask). Angalia wenzetu wa Czech Republic walivyofanikiwa kwa kutumia masks.
Strict measures—including compulsory face masks—help Czechs get grip on COVID-19 - Atlantic Council