#COVID-19: Tuwajibishane

#COVID-19: Tuwajibishane

technically,
Katika uzoefu wa maisha yako uliwahi kuona wapi namba moja anakwenda likizo nchi ikiwa vitani? Kwa kawaida namba moja ni Chief comforter.

Yaani ndiye mfariji namba moja wa watu wake. Nyerere enzi za vita ya Idd Amin alikuwa mstari wa mbele na kuwapa "mzuka' wapambanaji wetu. Huyu yupo mafichoni, kweli!
 
Mkuu kama ingekua hivi basi Nyerere ama Churchill wasingeenda front ya vita kuongoza mapambano ya kijeshi ili kuwatia morale wanajeshi wao kisa tu hii principle yako ya serikali inafanya kazi ikiwa popote!!

In times of crisis, the big man's public presence is of high essence.
Muulize, kwani wakati wa vita ya Idd Amini na wakati wa njaa kali ya mwaka 1962 na miaka ya 1970 Bitiama haikuwepo? Kwanini Nyerere hakwenda kujificha Butiama? This is a complete failure of Jiwe!
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Tumia ile id yako nyingine afu unga mkono hoja
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Hivi hukumwelewa zito au kwakuwa anayesutwa ni msukuma mwenzio? Tutashirikiana vipi na kiongozi anayeendekeza ubaguzi wa kisiasa, kikabila, kikanda na kidini?
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
Pascal Mayalla watu wanakuja nakuondoka Tanzania ipo daima
 
Mkuu kama ingekua hivi basi Nyerere ama Churchill wasingeenda front ya vita kuongoza mapambano ya kijeshi ili kuwatia morale wanajeshi wao kisa tu hii principle yako ya serikali inafanya kazi ikiwa popote!!

In times of crisis, the big man's public presence is of high essence.


Ndugu yangu, hii vita haipigani kama vita ya msituni ambayo adui anajulikana na kuonekana, you are fighting an invisible killer. Rais anaweza kuwa in contact na idara zote na watumishi wote 24/7.

Hoja ya yeye kuwa kwenye camera kila saa na kila dakika haina mashiko, haimaanishi kama rais akionekana ndio tutashinda vita au tutashindwa vita ya COVID-19. Nini maana ya waziri mkuu, nini maana ya waziri wa afya, nini maana ya mganga mkuu na wataalamu wote wa magonjwa nchini?
 
Zitto,
corona ishakuwa mtaji wa kisiasa kazi kweli kweli. Chukueni hatua za kujikinga acheni lawama mnalaumu utafikiri hiyo corona imeletwa na magufuli
 
Ngoja tuone kama barakoa zitasaidia, maana wengine tulishauri matumizi ya barakoa baada ya kuona serikali inasitasita kutekeleza lock down kama walivyofanya baadhi ya nchi majirani. Je, barakoa ni mwarobaini?
 
Kila Kaya tupewe laki3 huo mpunga upo kweli??

Mkuu kwa nini wasisaidiwe tu wanaohitaji msaada kweli kweli. Wenye kujimudu au hata kumudu kusaidia wengine wakapewa nafasi hiyo?

Tusifanye hii kuwa fursa.

Tunayo vita kubwa mbele yetu.
 
Mfalme David baada ya kumpiga jiwe Goliath, na kutawazwa kuwa mfalme, vita vilivyofata alikuwa haendi frontline bali alibaki home huku akivizia wives wa Askari wake ili "awapige jiwe" pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mr. Mkiki, issue ya King David, na mke wa General Uria aitwae Bathsheba, ni issue nyingine. Daudi alimtamani mke wa Uria, Bathsheba, akamtuma Uria vitani ili auwawe na yeye akamtwaa mkewe na kumfanya ni mke wake na ndiye aliyemzalia Solomon who became King Solomon,

the wisest man ever lived, the richest man on earth and the man with most wives, alikuwa na wake 700, na vimada 300, au wake 800 na vimada, 200!.
P
 
Edward Sambai,
Mkuu rais mwenyewe kajifikisha hapo.

Hatari iliyopo mbele yetu ni kubwa mno. Watu wanakufa ugonjwa unasambaa. Tuacheni kujikomba komba. Zitto yuko sawa.

Magufuli ana mpango upi na ugonjwa huu?

Je kwa mpango huo maambukizi yanapungua?

Lazima tufike mahali tudai uwajibikaji. Kuwajibika ni lazima si hisani.

Kusimama na Zitto kwenye hili ni noble duty.
 
Sasa huyo rafiki yako mpo pamoja au kakimbia. Uliwahi kuona wapi namba moja anakuwa likizo nchi ikiwa vitani? Au wewe hujui kuwa tupo vitani?
Vita vinapigwana kisasa, the command post ni Chatto. Usually the command post inapaswa iwe established mahali ambapo ni safest place in the area. Safe heavens zetu kwa sasa ni Chatto.
P
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane. Huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.

P

Tutaacha vipi kunyoosheana vidole na kuwajibishana kama jemedari wetu hajulikani aliko wala mikakati aliyo nayo kushinda vita?

Ni wazi kuwa jemedari angekuwa imara ugonjwa usingeingia. Hivi sasa ugonjwa unasambaa hali jemedari mwenyewe hana jipya.

Hadi ugonjwa ufikie kiasi gani ndipo tuanze kuulizana? Au tuanze kuulizana tukishakufa wote?

Tuwekeni pembeni hizi agenda za teuzi wakuu, taifa ni muhimu zaidi kuliko matumbo yetu.
 
Kalamu1,
Kwa literacy level ya the bigger population ya watanzania kiukweli ni kujichosha tu kuwatetea.
Hapana, mkuu 'Ankazominiotra' sio swala la 'literacy level', ni lazima pawepo na sababu ambayo bado wengi wetu hatuijui.
Kwa kweli Tanzania imejipambanua kuwa ni nchi ya watu wa kipekee pekee sana.

Nadhani itakapogundulika sababu hasa inayowalaza akili kiasi hiki waTanzania, pengine hapo ndipo patakapokuwa mwanzo wa kuzaliwa taifa jipya kabisa.
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane. Huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.

P
Sa una stand together na ku unite na nani? We upo Dar mwenzako yupo Karantini Chato, mnaungana Saa ngapi?
 
Back
Top Bottom