#COVID-19: Tuwajibishane

#COVID-19: Tuwajibishane

Alafu nimeona tweet yako kuwa Marehemu Lwakatare atazikiwa na serikali.

Kama ni kweli, kwanini wanaficha?

Zitto ni vizuri ukafafanua jambo hili pia.
...Hatari sana! Huwa nimejiuliza sana; hivi hawa waheshimiwa mazingira yao ya maisha safi kabisa; barabarani ni ma-V8-R ya maana full viyoyozi; majumbani kwao nako safi; kipato elites kwa standards za nchi hii.

Sasa kama mtu kama huyu corona imemfikia; huku uraiani tunakobanana kwenye madaladala na mamwendo kasi tutapona kweli? Hali inaogofya sana.
 
Zitto, kwenye hili, sisi tuliamua kila nchi iendeshe mapambano kivyake vyake bila kuiga, kama hao marais wengine wanaendesha mapambano kwa kuonekana sio wao, kwanini Magufuli awaige wakati kuna njia nyingi za kuendesha mapambano na sio lazima mpaka kila mtu aone, issue ni kuona au kupambana?.
P
Wewe ukifanikiwa kuwa Mbunge, huenda utakuwa ni hasara kwa Taifa!!
 
Zitto, kwenye hili, sisi tuliamua kila nchi iendeshe mapambano kivyake vyake bila kuiga, kama hao marais wengine wanaendesha mapambano kwa kuonekana sio wao, kwanini Magufuli awaige wakati kuna njia nyingi za kuendesha mapambano na sio lazima mpaka kila mtu aone, issue ni kuona au kupambana?.
P

Kuendesha mapambano ukiwa zako Chato, yeah right kuna njia nyingi za kupambana na Covid-19
 
Hapo ndipo tunapoharibu tunapotoa kauli "Tunamtaka Rais" alafu yale tunayoyataka ni mambo muhimu wakati huu.

Tafsiri take ni kwamba Raid akitimiza ataonekana dhaifu kitu ambacho hakipo Kwa Rais Magufuli.

Maana yake ni nini? Zitto anakiherehere na haaminiki ata kidogo na anachotaka kukiona ni kuona Rais anashupaza shingo na zaidi anataka kuona madhara makubwa yanatokea ili aje kusema si niliwaambia?

Zitto haaminiki CCM wala kwa vyama vya upinzani Huyu bwana haaminiki.

Kwa wanaomfahamu Zitto watakubaliana na Mimi.

Binafsi sikubaliani na aproching ya Rais juu ya njia anazozitumia kupambana na Korona ila tusiwe sehemu ya kumchanganya Rais ili ashindwe kuongoza mapambano
 
Kuendesha mapambano ukiwa zako Chato,yeah right kuna njia nyingi za kupambana na Covid-19
Ni ushamba wa wenu kutokujuwa serikali inafanyaje kazi, sio lazima mtu awe sehumu fulani ndio kazi inaendelea.
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
Unatafuta vipi mchawi wakati Mchawi anajulikana?

Kwamba, si wakati wa kuwajibishana... ni upi basi wakati muafaka wa kuwajibishana?! Au unataka tuwajibishane baada ya kuwa damage kubwa zaidi imeshafanyika?

Yaani Dereva keshapiga bia 5 na raia wanasema huyo hafai tena kuendesha hili basi la abiria kwa sababu atatuua, wewe unasema mwacheni tu atufikishe kwanza licha ya kuona amekaa na crate mzima ya bia na bado anaendelea kuzigida?!

Ikiwa watu wameshindwa ku-handle tatizo wakati wa uchanga wake, ndo wataweza ku-handle wakati limeshaota mapembe?!

Btw, hao walio kwenye mapambano ni akina nani?! Ni wale wale waliotuambia tukusanyike pale Karimjee ili tuombe, au kuna wengine?!

Na hao unaosema wasimame pamoja ni wanani?! Ni wale wanaoamini katika njia za kisayansi unawataka wasimame pamoja na wale wanaotangaza kwamba barakoa haiwezi kusaidia kwa sababu ni "mavitambaa ya puani" tu yale?, au ni akina nani hasa!?
 
Wewe ukifanikiwa kuwa Mbunge, huenda utakuwa ni hasara kwa Taifa!!
Duh...!, mbona tunaanza kuchuriana?. Mimi nilidhani mwana jf mwenzetu yoyote akionyesha nia ya kuwania ubunge, regardless ni jimbo gani au kupitia chama gani, nilidhani ndio wakati wa wana JF kuonyesha solidarity kwa kuahidu tutamsupport kwa kumuunga mkono tena tunapaswa kumsupport kwa hali na mali na sio kumkatisha tamaa!.
P
 
Poster: Stop the spread of germs

Stop the spread of germs

Coronavirus Disease 2019 (COVID-19) – Symptoms
 
Kusimama pamoja ni pamoja na kushauri kama wanavyofanya wapinzani, Zitto na ACT wakiwemo.

Kama ushauri unapuuzwa,huku madhara yanaongezeka,ni kwanini wahusika wasitakiwe kuwajibika?
Kwani hivi vifaa vya kuwakinga wahudumua wa afya havipo? Maana kuna kipindi Jack Ma alileta vifaa vingi kwa ajili ya wahudumu wa afya.

Labda hofu kubwa kama mahitaji yataongezeka na kuwepo upungufu iwapo kama maambukizi yatakuwa makubwa.

Hivi kwa hali ya maabukizi yaliyopo sasa na vifo vilivyotokea kuna haja ya kutaka kiongozi wa nchi ajiuzuru? Au ndio siasa ndani ya janga ili watu wapate umaarufu. Maana October inakaribia.
 
Zitto, kwenye hili, sisi tuliamua kila nchi iendeshe mapambano kivyake vyake bila kuiga, kama hao marais wengine wanaendesha mapambano kwa kuonekana sio wao, kwanini Magufuli awaige wakati kuna njia nyingi za kuendesha mapambano na sio lazima mpaka kila mtu aone, issue ni kuona au kupambana?.
P
Taifa letu linapita pagumu sana....
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
I beg to differ with you.

vitani akitokea mpiganaji anakwenda against battlefield norms, anatwangwa risasi on the spot.
sana sana akihurumiwa ataondolewa kwenye uwanja wa mapambano kwenda ku face mahakama ya kijeshi (court martial)!
 
Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Mapambano yapi? Maombi? Au yale ya kumtukuza? Mbona wakati unaanzisha ule Uzi hakuna au hata wewe binafsi ulisema tuko kwenye mapambano?

Wakisema wengine ndio tunakua kwenye mapambano? Brother unaniangusha wakati mwingine ujue
 
Aliye tufikisha hapa mbona anajulikana, anakunywa kahawa huko kwao. Yeye kwenye hili janga ndio muhusika mkuu yeye si anajifanya mkaidi.
 
Back
Top Bottom