Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,930
- 40,585
cariha,
Watu wenye mamlaka ya kuweka zuio hilo inawezekana wanafaidika na kutokuwepo kwa zuio.(I mean the highest office).
Imagine, Iringa mkuu wa wilaya alisema wanaotokea Dar wawekwe karantini, baada ya muda akatengua kauli.
Same kwa Chalamila, mkuu wa mkoa Mbeya, alisema bar zifungwe nadhani saa 3, baada ya muda akafuta hiyo kauli.
What do you think, wamebadili msimamo au wamelazimishwa kubadili msimamo? Kwa manufaa yepi?
Watu wenye mamlaka ya kuweka zuio hilo inawezekana wanafaidika na kutokuwepo kwa zuio.(I mean the highest office).
Imagine, Iringa mkuu wa wilaya alisema wanaotokea Dar wawekwe karantini, baada ya muda akatengua kauli.
Same kwa Chalamila, mkuu wa mkoa Mbeya, alisema bar zifungwe nadhani saa 3, baada ya muda akafuta hiyo kauli.
What do you think, wamebadili msimamo au wamelazimishwa kubadili msimamo? Kwa manufaa yepi?