Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 61,204
- 99,943
Huwa kuna wakati nawaza kuwa huenda CCM wanayo agenda ya siri kuhusu huu ugonjwa, huenda wanachukulia kaama fursa! Sijaona mtu yoyote wa CCM akiwa active kwenye hili.
tupambane na Korona huku tukiwajibishana na tuwajibishane huku tukipambana na Korona
.... hatari sana! Huwa nimejiuliza sana; hivi hawa waheshimiwa mazingira yao ya maisha safi kabisa; barabarani ni ma-V8-R ya maana full viyoyozi; majumbani kwao nako safi; kipato elites kwa standards za nchi hii. Sasa kama mtu kama huyu corona imemfikia; huku uraiani tunakobanana kwenye madaladala na mamwendo kasi tutapona kweli? Hali inaogofya sana.
Kipi bora zaidi kati ya rais kubaki Chatto ambako ni salama na kuongoza mapambano remotely au aje mstari wa mbele na ku risk kuambukizwa?.Ila pamoja na mambo mengine yote kitendo cha rais kwenda kukaa chato kwenye vita kinaacha maswali mengi sana kama kweli tuna mtu mzalendo kwa taifa lake.
Mkuu Ng'wanangwa, kulikuwa na vitu vya kuoiga kivyetu lakini na vya kuiga vilikuwapo! Bila kificho Huyu mzee ametuangusha sana tofauti na matarajio yetu!Zitto, kwenye hili, sisi tuliamua kila nchi iendeshe mapambano kivyake vyake bila kuiga, kama hao marais wengine wanaendesha mapambano kwa kuonekana sio wao, kwanini Magufuli awaige wakati kuna njia nyingi za kuendesha mapambano na sio lazima mpaka kila mtu aone, issue ni kuona au kupambana?.
P
Nani anatakiwa kusimama pamoja na nani Pascal Mayalla?Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Kaka pascal, unaweza niona nakutweza sana ktk kila post zako hasa zinazohusu maamuzi mabovu yanayofanywa na viongozi wakuu wa nchi hususan Rais.Zitto, siungi mkono hoja, kwa sasa tuko katikati ya Mapambano, huu sii wakati wa kunyoosheana vidole kulauniana, kushutumiana na kutafuta mchawi tuwajibishane, huu ni wakati wa kusimama pamoja, stand together united and fight as one.
P
Nenda kakinge bakuri!Kuna mtu chatto ataanza kujiharishia.
Trust me maamuzi mengi yanatoka humu JF,na sisi kwa sisi tuwajibishane!!!! nina uhakika 100% hili la partial lockdown lilipingwa na wanaJF wengi (tena wengine nakumbuka majina yao)...
Sijui sasa hivi wanawaza nini...ni kwa vile tu JF inazuia kuwataja members wengine..lasivyo leo ningewatajaaaaa woote...mmesababisha ugonjwa huu uenee pumbav.u zenu!!!!!!!!!!
Kusimama pamoja ni pamoja na kushauri kama wanavyofanya wapinzani, Zitto na ACT wakiwemo.
Kama ushauri unapuuzwa huku madhara yanaongezeka,ni kwanini wahusika wasitakiwe kuwajibika?
Kina zitto ni makanjanja lakini subiri hili suala litaisha bila uharibifu mkubwa kisha watatia aibuZitto, kwenye hili, sisi tuliamua kila nchi iendeshe mapambano kivyake vyake bila kuiga, kama hao marais wengine wanaendesha mapambano kwa kuonekana sio wao, kwanini Magufuli awaige wakati kuna njia nyingi za kuendesha mapambano na sio lazima mpaka kila mtu aone, issue ni kuona au kupambana?.
P
Huyu ndio walewale wagonga meza wa ndioooooooo.Wewe ukifanikiwa kuwa Mbunge,huenda utakuwa ni hasara kwa Taifa!!
Mi naona Raisi ahutubie taifa na kuhimiza watu kujikinga maana matamshi kuwa haka kagonjwa ni kadogo watu wachape kazi, ilifanya raia wengi wapuuze hii corona kumbe ni serious matter ni vizuri ku act mapema ili kudhibiti usambaaji sio wengine wamedhibiti sisi ndo tunabaki na corona na Watanzania Sasa waanze kuogopwa na kila nchi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa muingiliano huu ni kazi mno kufanya personal level, 80% tunategemeana!!Rais yuko safe (at least that is what he thinks).
Rais hana watu wa kumshauri, sidhani hata kama anao huwa anapokea ushauri.
Tuendelee kupambana at personal level, ila at National Level ni tatizo. Imagine hali ilivyo Dar lakini bado watu wanasafiri kwenda mikoani bila kizuizi.