Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,925
- 95,203
Kesho nenda kapime maana naona covid isha kupiga kwenye ubongoWw jamaa ni mtu mbaya sana Kwa watanzania.Tangu umepiga umbeya wa covid ,vitisho na matusi mengi Kwa JPM,Sasa tena umerudi.Bado huna aibu...huoni uongo na ukweli ulishajitenga,bado unakomaa tu.
Kwa Tanzania mpango wenu ovu wa hyo covid umefail..mjipange tena mbwa nyie.