Ibambasi
JF-Expert Member
- Jul 25, 2007
- 9,277
- 4,683
Hahaaa siyo kujiunga na mwambaUtajinyonga mwaka huu ukaungane na jiwe
Hahaaa siyo kujiunga na mwambaUtajinyonga mwaka huu ukaungane na jiwe
Kile kinakawaida ya kuruka Kama fuza(jigar) kwahiyo kimeaza kukimbia walikochanja kinakimbilia kuishi ambako hawakuchanja kwa ukamilifu ... Bussness planHizo travel bans kwa sasa ni upuuzi tu, Kuna nguvu kubwa inatumika kufanya ugonjwa wa corona uwe ugonjwa kutokea bara la Afrika
View attachment 2037474
Sioni tofauti yoyote, USA kuna cases za Omicron kwenye 1/3 ya states zao, Los Angeles kuna confirmed case(s) za Omicron variant, lakini tarehe 9 December kuna concert kubwa ya Kanye West na Drake "Free Larry Hoover Concert" na itajaza watu kama kawaida, NFL inaendelea na viwanja vimejaa na wapo busy na mambo yao, Omicron haijulikani imeanzia wapi lakini South Africa ndio walikuwa wakwanza kuitangazia dunia kuwa kuna hiyo variant, na response ya dunia ilikuwa ni kuwafungia milango kitendo chenye athari kubwa za kiuchumi, sasa kwanini nchi nyingine ziseme kuna omicron wakati response inajulikana ? SioTofautisha confirmation na ineptness.
Zingatia mfano wa case hii mkononi:
1. Abiria katoka Tanzania na kirusi hatarishi agundulika India
2. Kufuatia hilo, sisi wala haituhusu
3. Tuko busy Tanganyika packers na kesho uwanja utatapika Uhuru vilivyo.
Tofauti waiona hapo mjomba?
Kama wewe ni mkewe basi kaungane naye maana naona unazidi kumshobokeaHahaaa siyo kujiunga na mwamba
Sioni tofauti yoyote, USA kuna cases za Omicron kwenye 1/3 ya states zao, Los Angeles kuna confirmed case(s) za Omicron variant, lakini tarehe 9 December kuna concert kubwa ya Kanye West na Drake "Free Larry Hoover Concert" na itajaza watu kama kawaida, NFL inaendelea na viwanja vimejaa na wapo busy na mambo yao, Omicron haijulikani imeanzia wapi lakini South Africa ndio walikuwa wakwanza kuitangazia dunia kuwa kuna hiyo variant, na response ya dunia ilikuwa ni kuwafungia milango kitendo chenye athari kubwa za kiuchumi, sasa kwanini nchi nyingine ziseme kuna omicron wakati response inajulikana ? Sio
View attachment 2037568
Kile kinakawaida ya kuruka Kama fuza(jigar) kwahiyo kimeaza kukimbia walikochanja kinakimbilia kuishi ambako hawakuchanja kwa ukamilifu ... Bussness plan
Kutokana na taarifa za kisayansi variant Omicron inachukuliwa kama ni ya hatari zaidi na inauwezekano mkubwa wa kuwa na athari hata kwa wale waliochanjwa, watu wanatakiwa wachukue tahadhari zote . Kuhusu vaccination rates, hizo hizo developed countries ndio zinazofanya hoarding ya vaccines na kuendelea kutengeneza booster doses huku wanaamini wakiweka travel bans/restrictions zitazuia variants mpya kuingia kwao 👇Kiwango cha kuchanjwa Marekani na kwetu umejiridhisha kuwa viko sawa?
Vipi viwango vya upimaji kujiridhisha hali nzima ya ugonjwa katika jamii?
Ni vizuri kusema kwa vigezo. Si kusema for the sake.
Kumbuka statement hii ni rasmi na latest kutoka kwa mkuu wa nchi:
"Sisi Corona tumeshaizowea."
Goodluck minja ni mchaga siyo msukumaToka lini nchi yenye kuongozwa na ngedere wa kijani ikaaminika?
Sisi tuendelee tunukiana Phd za kimsukuma hapa Tz.
Tuko million 50-60 utasema 200000 mmetosha mkuu utani huoWaambieni machanjo yao tumeshachanja wasitutishe tena
Acha akili za kijima wewe! Mbona France, Portugal na SA Wapo kwenye list na ni mabeberu wenzao?!Kuna kitu wanakitaka nadhani bado tumetia ngumu ...hii ndiyo sababu nadhani.
Waambieni machanjo yao tumeshachanja wasitutishe tena
Sawa nimekupisha upite.Acha akili za kijima wewe! Mbona France, Portugal na SA Wapo kwenye list na ni mabeberu wenzao?!
Kutokana na taarifa za kisayansi variant Omicron inachukuliwa kama ni ya hatari zaidi na inauwezekano mkubwa wa kuwa na athari hata kwa wale waliochanjwa, watu wanatakiwa wachukue tahadhari zote . Kuhusu vaccination rates, hizo hizo developed countries ndio zinazofanya hoarding ya vaccines na kuendelea kutengeneza booster doses huku wanaamini wakiweka travel bans/restrictions zitazuia variants mpya kuingia kwao 👇
Goodluck minja ni mchaga siyo msukuma
Wana harakati wa Twiter wamekomesha harakati za #Newmonia.?ama iliishia kwa JPM.
Hoja za Cannabis unazinibu kiwepesi snKiwango cha kuchanjwa Marekani na kwetu umejiridhisha kuwa viko sawa?
Vipi viwango vya upimaji kujiridhisha hali nzima ya ugonjwa katika jamii?
Ni vizuri kusema kwa vigezo. Si kusema for the sake.
Kumbuka statement hii ni rasmi na latest kutoka kwa mkuu wa nchi:
"Sisi Corona tumeshaizowea."
Nipite niende wapi?’Sawa nimekupisha upite.
Hoja za Cannabis unazinibu kiwepesi sn
Unauliza kiwango cha kuchanjwa Marekani na kwetu Viko Sawa? Na vipi Hali nzima ya ugonjwa ktk jamii?
Jibu haviko Sawa Kwa sababu Sisi wengi hatujachanja
Lakini Kama wao wamarekani wamechanjwa Kwa kiasi kikubwa na hatari ya maambukizi ni ndogo kwao that's why wanafanya concerts na kufanya mashindano ya Larry kuna ulazima gani wa kupiga ban nchi km Tz au SA wakati asilimia kubwa ya watu wao wamechanjwa? Km wanajilinda dhidi ya maambukizi mbona Tyr kwenye hayo majimbo yenye kufanyika matamasha na mbio za rally kuna kesi za kirusi cha Omicron lkn bado matamasha yanafanyika
Huoni km wanachokifanya haki make sense
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app