Hakuna taifa la kuingusha Marekani katika dunia hii, Marekani itajiangusha yenyewe

Comred Mbwana Allyamtu

JF-Expert Member
Jun 28, 2016
348
847
HAKUNA TAIFA LA KUINGUSHA MAREKANI KATIKA DUNIA HII, MAREKANI ITAJIANGUSHA YENYEWE.

Na Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Monday-5/12/2022
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania

Hadithi yetu inaanzia hapa, Wakati wa Vita Baridi, Milki na Dola ya Uingereza (United Kingdom and Great Britain Empire) ilivunjika, na kuacha Marekani na Muungano wa Sovieti kutawala mambo ya Ulimwengu (Dominate world affairs).

Mwishoni mwa Vita Baridi (World Cold War) na kuvunjika kwa Muungano wa Kisovieti (USSR) Mwanzoni mwa mwaka wa 1991, Marekani ikawa nchi pekee yenye nguvu zaidi ulimwenguni World's sole Super-power).

Marekani ndio kiranja wa Dunia kwa sasa, namanisha kuwa ndio World hegemony wa 10 wa hii Dunia, imejizatiti vya kutosha, imejifunza mengi kutokana na historia ya huko nyuma.

Somo kubwa inalojifunza Marekani ni kutoka kwa Dola viranja waliopita huko nyuma, nafasi iliyonayo sasa ina Changamoto kubwa ya ushindani kutoka kwa mataifa kinzani kama China na Russia.

Hivyo inahakikisha aifanyi makosa yaliyofanywa na Dola viranja za huko nyuma kama Dola ya Roma, Dola ya Ottoman, Dola ya Uingereza, Dola ya USSR, Dola ya Greco-Mecedonia, Dola ya Median-Persia, Dola ya Kemet na Dola ya Mesopotamia.

Ndio maana Marekani Wana kanuni inayosema "Hawachukui hatua yoyote juu ya taifa lao kama hawana uhakika wa kutosha", hii inamaa kuwa lolote lile liwe na masrahi au lah! Hawachukui hatua yoyote mpaka wawe na uhakika ambao hauta athiri masrahi ya taifa lao kimataifa.

Ndio Maana mpaka leo hawaivamii Korea kaskazini, Iran au Russia sababu bado hawana uhakika wa kutosha kuhusu nguvu waliyonayo kwa hizo nyukria wanazotengeneza.

Marekani inarinda sana nafasi yake ulimwenguni, inajua kosa moja Inaweza kuigharimu daima, ndio maana wao hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, wana masrahi ya kudumu, wao muhimu ni masrahi yao tu.

Huyo huyo unaweza kuwa adui, na baadae ukawa rafiki, wakiona ulakini wa msrahi yao unakua adui, ukilinda masrahi yao unakuwa rafiki, rejea uhusiano wa Marekani na Taliban, Mujahideen, Mobutu Seseseko na hata Nelson Mandela.

Kwa kutambua hilo, wao hujua nguvu na uimara wao upo kwenye Jeshi, wameweka ngome za kijeshi karibu Dunia nzima, mpaka sasa Marekani wana ngome za kijeshi (USA military bases) nje ya aridhi ya Marekani zipatazo 85.

Hizi ngome zote zinafanya kazi masaa 24 kwa ukaribu kabisa na Pentagon, Pentagon ndio makao makuu ya jeshi la Marekani.

Wana ubalozi karibu nchi 175 dunia nzima, kila Balozi zao zina kitengo maalumu cha siri cha CIA, kitengo hicho ufanya kazi za ujasusi wa kidola, kiuchumi na kisiasa kokote duniani.

Ofisi za ubalozi za Marekani ni ofisi ndogo za CIA, wanainjia taarifa za kijasusi na kuzituma CIA Langley park huko Marekani.

CIA ndio idara ya kijasusi iliyo more advanced kuliko shirika lolote lile la kijasusi duniani.

Marekani ni taifa lenye uchumi imara, mpaka sasa uchumi wake ghafi ni (GDP) $25.035 trillion (nominal) hii ni kwa mujibu wa taarifa ya Benki ya dunia na Benki kuu ya Marekani ya 2022.

Uchumi huo wa Marekani unachangia asilimia 15.78% ya uchumi wa dunia yote, yani uchumi ghafi wa dunia ni Dollar trillion 100, Marekani pekee yake ni dollar trillion 25.035 sawa na asilimia 15.78% ya pato ghafi la dunia nzima (World GDP index), yani robo ya uchumi wa dunia nzima.

Yani uchumi wa Marekani pakee ni sawa na uchumi wa Mataifa manne (4) makubwa duniani kama China, Japan, Ujerumani na India, ndio maana Marekani ni World economy industry complex, uchumi mkubwa wenye kutisha.

Marekani ndio soko kuu la dunia, yani ndio taifa linalo agiza na kuingiza bidhaa nyingi dunia kuliko taifa lolote lile duniani (The U.S. is the world's largest importer) huku pia likiwa taifa la pili linalo safirisha nje bidhaa nyingi duniani (second-largest exporter).

New York ndio kitovu cha biashara kwasasa duniani, ndio Jiji kuu la kibiashara ulimwenguni, ndio mji mkubwa Zaidi Marekani na ulimwenguni kwa ubora wa miundombinu.

Benki ya Dunia (World Bank Group), ni mali ya Marekani, ilianzishwa na shirika la fedha la Dunia (IMF) ambalo nalo ni mali ya Marekani, Benki ya Dunia ilianzishwa mwaka 1944 kupitia mkutano ule ulioitwa "Bretton Woods Conference", makao makuu yake yapo 1818 H Street NW Washington D.C Marekani.

Ikulu yenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni White House, ipo Marekani, Rais mwenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni Rais wa Marekani.

Kitovu cha sanaa ulimwenguni ni Los Angeles, Los Angeles ipo jimbo la California, ndio Jiji la pili kwa ukubwa Marekani, ipo ndani ya jimbo tajiri kuliko yote Marekani, California ina utajiri wa Pato ghafi la dollar trillion $3.4 trillion, Pato kubwa hata kuliko taifa la Ujerumani ambalo ndio Taifa la Nne kwa ukubwa wa utajiri duniani, yani California pekee inaizidi Ujerumani kiuchumi.

Hivyo dunia nzima kitovu cha Sanaa na filamu ni Los Angeles (Los Angeles is the center of the world film and television industry), huko ndio zipo Hollywood, studio za Paramount na Universal.

Sarafu ya Marekani dollar ndio sarafu kiongozi duniani (World sterling currency) ndio utumika Dunia nzima kurejelea thamani ya kila fedha ulimwenguni, ili upate thamani ya sarafu ya nchi yako duniani lazima uipime na Dollar ya Marekani.

Kwa maana hiyo dollar ya Marekani ndio instruction currency, yani fedha ya dunia, ndio sarafu kiongozi kwenye soko la Dunia, namanisha kuwa US dollar ndio petrodollar.

Hivyo Marekani ndio Dunia, yani ulimwenguni wote upo Marekani, kila kitu kipo Marekani, Marekani ndio Dunia kwa sasa kwa Karibu kila kitu, inaongoza kwa uchumi, inaongoza kwa uimara wa jeshi, inaongoza kwa utamaduni wa dunia, inaongoza kwa teknolojia, teknolojia ya Marekani ni ya hali ya juu kwenye kila kitu.

Hata ushoga unapata nguvu sababu una baraka za Marekani, shetani yupo Marekani, chochote kizuri na kibaya kipo Marekani.

Hivyo Marekani ni kila kitu...

Marekani kujiimarisha kwa yote haya ni kutokana na kusahihisha makosa ambayo dola nyingi kubwa huko nyuma zilipitia, kila hatua ngumu iliyopitia imeifanya ijiimarishe zaidi kuliko nyuma.

Marekani amepigana vita ngumu zaidi duniani na kuzishinda kwa uwezo wa hali ya juu sana, imepitia Changamoto kadhaa za ndani na nje lakini zote imeifanya Marekani kuwa imara zaidi.

Marekani imefanya zaidi ya operation kubwa na hatari Zaidi ya 300, karibu operation zote zilifanikiwa kwa ustadi mkubwa, operation kama "Operation Barracuda, Operation Dark hole, Operation Cold Chop, Operation Gerenimo, Operation desert storm, Operation eagle na zingine nyingi.

Ngoja kwa uchache nikurejeshe nyuma, uone namna Marekani ilivyo pigana vita kadhaa katika kujijenga, kukua na kuimarisha ukiranja wake.

Twende pamoja...

American Revolution War (1775-1783)...

Hii ilikuwa ni vita Kati ya America na Britain, vita hii ilikuwa ni kwa ajili ya Uhuru wa Marekani na ndiyo iliyopelekea kuzaliwa kwa USA, katika vita hii Uingereza alipokea kichapo kikali sana na kukimbia, hivyo Marekani ikajitangazia uhuru wake.

Vita ya 1812 (1812-1815)...

Vile vile vita hii inajulikana kama vita ya pili ya Uhuru wa Marekani, Vita hii ilisababishwa na Uingereza kutaka kuingilia biashara Kati ya US na Ufaransa, hali hii iliwalazimu USA kumchapa tena Uingereza.

Mexican-American War (1846-1848)...

Mwaka 1845 jimbo la Texas lililo kuwa sehemu ya Mexico lilitangaza kuwa Jamuhuri ya Texas na kujiunga na Marekani, hali hiyo ilipelekea majeshi ya Mexico kuvamia jimbo hilo hili kulirejesha, Marekani akaingilia Kati na kuyafurusha majeshi ya Mexico na mpaka sasa jimbo la Texas limebaki kuwa jimbo la Marekani.

Civil War (1861-1865)...

Hii ilikuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe Kati ya majimbo ya kusini na majimbo ya kasikazini, vita hii ilisababishwa na mamlaka ya majimbo ya kusini ya Marekani iliyokuwa ikipinga wazo la Rais Abraham Lincoln la kuanzisha Serikali ya shirikisho na kukomesha biashara ya Utumwa.

Spanish-American War(1898)...

Mnamo karne ya 19, Cuba ilikuwa sehemu ya spanish (hispania ya leo), kutokana na takwa lake la kutaka kujitenga na kuwa huru, miaka ya 1895-1898 uliibuku mgogoro Kati ya Cuba na Spanish, mgogoro huo ulipelekea Marekani kuingilia Kati kwa kuisapoti Cuba kwa sababu alikuwa mshirika wake wa kibiashara, Spanish akapigwa na Cuba akatumiza lengo lake.

Vita ya Kwanza ya Dunia (1917-1918)...

Marekani hakuwa na nia kabisa ya kushiriki vita hii, ila ni kama alilazimishwa na Ujerumani na hii ni Baada ya Ujerumani kutuma manuali za kivita katika mediterranean na North atlantic, kutaka kushirikiana na mexico kuivamia US, hali hii ilimlazimisha Rais Woodrow Wilson kutangaza vita dhidi ya Ujerumani na kilichotokea baada ya hapo kinajulikana, Ujerumani alipigwa vibaya mno.

Vita ya Pili ya Dunia (1941-1945)...

Vita hii ya pili ya dunia ilianza baada Ujerumani kuivamia kijeshi Poland September 1,1939, Marekani alihusika na vita hii baada ya vikosi vya kijeshi vya Japan kushambulia bandari yake ya Pearl Harbor ya jimbo la Hawaii mnamo December 8,1941, Japan ambayo ilikuwa na Ujerumani na Italy kama washirika wake huku Marekani akiwa na Britain & Soviet Union kama washirika wake.

Marekani aliimaliza vita hii kwa Kupiga bomu la Nyukilia huko Hiroshima na Ngasaki, bomu lililo itetemesha Dunia hadi leo hii, Bomu lililo leta mapinduzi makubwa katika silaha za Nyukilia, Bomu ambalo ndilo Putin na viongozi wengine wanatamba nalo leo hii. Marekani kama alitumia Bomu hili miaka hiyo sijuhi kwa sasa ana Bomu la siri la aina gani.

Korean War (1950-1953)...

Vita hii Marekani alipigana kwa kuisapoti Korea kusini, Vita ilitokea baada ya Korea kaskazini kwa kushirikiana na China na USSR kama washirika wake kutaka kuivamia Korea kusini ili kuitawala na kuuda Serikali moja yenye utawala wa kijamaa, Marekani aliingilia Kati na kuwafurusha wote.

Vietnam War (1959-1975)...

Hii ilikuwa ni vita ngumu sana kwa Marekani, vita hii iliwalazimu USA kutumia mbinu kali za Mapigano ili kuangusha utawala wa kijamaa wa vietnam, Vita hii ilikuwa ni Kati ya Vietnam vs Marekani na nchi nyingine ambazo hazikuwa chini ya utawala wa kijamaa, vita hii ndio vita pekee Marekani aliondoka kwenye uwanja wa vita bila ushindi wa moja kwa moja.

Gulf War (1990-1991)...

Vitaa hii ilitokea baada ya Iraq chini ya Sadam Hussein kuivamia Kuwait na kuikalia kimabavu, Pamoja na Vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Iraq na UN na vikosi vya nchi 34 wanachama wa UN kupelekwa Iraq haikuzaa matunda mpaka pale Marekani alipoingilia kati na Iraq ikatandikwa vibaya mno.

Vita ya Afghanistan (2001-2021)...

Mpaka sasa hii ndo vita ambayo USA amepigana kwa muda mrefu sana, Vita hii ilianza baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11 dhidi ya kituo cha kibiashara cha Dunia NewYork na Pentagon Washington DC mwaka 2001 lililo tekelezwa na Al-Qaeda.

Shambulizi hilo la kigaidi lilisababisha Marekani kuingia Afghanistan kupigana vita kwa lengo la kuwatoa Al-Qaeda na Taliban madarakani ili kufuta Ugaidi duniani, Mwaka 2011 kiongozi wa Al-Qaeda Osama Bin Laden aliuawa na kikosi maalumu cha Marekani, Baada ya Marekani kutekeleza lengo lao mwaka 2021 aliamua kuondoa majeshi yake na Ndege ya mwisho iliondoka Afghanistan August 30, 2021.

Iraq War (2003-2011)...

Baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11, 2001, mwaka 2003 aliyekuwa Rais wa Marekani G.W. Bush alitangaza vita dhidi ya Iraq, Iraq iliyokuwa ikiongozwa na Sadam Hussein ikisaidiwa na Korea Kaskazini kutengeneza Silaha za maangamizi (Nyukilia) na kufadhili makundi ya kigaidi, Marekani ilimkamata Sadam Hussein na kumnyonga huku Dunia nzima ikishuhudiwa kuuawa kwa Sadam Hussein.

Mpaka sasa Marekani ndio kinara wa kuziangusha Serikali na tawala nyingi duniani, anafanya hivyo kwa kulinda masrahi ya Marekani katika uchumi,kijeshi na hasa kuilinda hadhi yake ya ukiranja wa dunia (World Super-Supremancy Hegemony) katika kulinda masrahi ya ubepari wa dunia (Interest of World of Capitalism).

Usalama wa Marekani dhidi ya vitisho vya nafasi yake ipo chini ya mwamvuli wa ubepari na demokrasia yani "World of Capitalism/Democracy".

Sasa ili Marekani kuleta usawa wa himaya yake (balance of power) inambidi kuondoa na kupambana na baadhi ya tawala za dunia zilizo kinyume na mrengo wake kwa kile kinachoitwa "Thrifty Authoritarian"

Mfano wa tawala zinazo hatalisha hicho kinachoitwa"Thrifty Authoritarian" zilizo ondolewa au kupambana na makucha ya Marekani ni hizi zifuatazo:

Germany, 1945
Japan, 1945
Syria, 1949
South Korea, 1953
Iran, 1953
Guatemala, 1954
Congo, 1960
Laos, 1960
Iraq, 1963
Brazil, 1964
British Guiana, 1964
Bolivia, 1964
Dominican Republic, 1965
Indonesia, 1965
Ghana, 1966
Greece, 1967
Cambodia, 1970
Bolivia, 1971
Chile, 1973
Australia, 1975
Portugal, 1976
Argentina, 1976
Jamaica, 1980
Turkey, 1980
Chad, 1982
Fiji, 1987
Nicaragua, 1987
Afghanistan, 1989
Panama, 1989
Bulgaria, 1990
Albania, 1991
Yugoslavia, 2000
Ecuador, 2000
Afghanistan, 2001
Venezuela, 2002
Iraq, 2003
Haiti, 2004
Libya, 2011

Hii "Thrifty Authoritarian" ni mpango mkakati wa Marekani kuyaweka Mataifa yote duniani chini ya amri yake, mfumo wake na ushawishi wake, nadharia hii imeelezwa vyema kwenye kitabu "Thrifty Authoritarians: U.S. Regime Change 1945-Present" kilicho andikwa na
Mwandishi nguli wa siasa za dunia bwana Daniel J. Savickas, tafsiri halisi ya nadharia hiyo ipo kitabu hicho VOL. 6, NO. 2, Page namba 1 na 2.

Kwenye hii sayari ya dunia "Hakuna taifa la kuingusha Marekani katika dunia hii, Marekani itajiangusha yenyewe".

Nafunga jarada.

Kwa kupata makala Zaidi wasiliana na Mimi WhatsApp 0679555526 uungwe group la Maktaba Kuu kwa gharama ya Tsh 3000/=.

Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
Copyrights of this article reserved
written by Comred Mbwana Allyamtu
•Napatika Kwa mawasliano
Comred Mbwana Allyamtu

Kwa Tanzania
+255679555526 (WhatsApp).
+255765026057.
Email- mbwanaallyamtu990@gmail.com

Copyright 2022, All Rights Reserved.

Maktaba Kuu.
______________________
View attachment 2436681View attachment 2436680View attachment 2436682View attachment 2436685View attachment 2436684View attachment 2436683View attachment 2436686View attachment 2436687
new-york.jpg
abstract-globe-earth-flag-united-states-america-abstract-globe-earth-flag-united-states-americ...jpg
01-4.jpg
ThumbChorus.0.0.jpg
 
cha kushangaza wale wavaa kobazi wanalipnga ilo taifa ila ndio wanaongoza kutafuta viza ya kuishi huko .kufata uhuru na maisha
Wale jamaa wengi hawanaga akili..ni vilaza sana...waliojazwa illusions za mudi.

#MaendeleoHayanaChama
 
HAKUNA TAIFA LA KUINGUSHA MAREKANI KATIKA DUNIA HII, MAREKANI ITAJIANGUSHA YENYEWE.

Na Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Monday-5/12/2022
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania

Hadithi yetu inaanzia hapa, Wakati wa Vita Baridi, Milki na Dola ya Uingereza (United Kingdom and Great Britain Empire) ilivunjika, na kuacha Marekani na Muungano wa Sovieti kutawala mambo ya Ulimwengu (Dominate world affairs).

Mwishoni mwa Vita Baridi (World Cold War) na kuvunjika kwa Muungano wa Kisovieti (USSR) Mwanzoni mwa mwaka wa 1991, Marekani ikawa nchi pekee yenye nguvu zaidi ulimwenguni World's sole Super-power).

Marekani ndio kiranja wa Dunia kwa sasa, namanisha kuwa ndio World hegemony wa 10 wa hii Dunia, imejizatiti vya kutosha, imejifunza mengi kutokana na historia ya huko nyuma.

Somo kubwa inalojifunza Marekani ni kutoka kwa Dola viranja waliopita huko nyuma, nafasi iliyonayo sasa ina Changamoto kubwa ya ushindani kutoka kwa mataifa kinzani kama China na Russia.

Hivyo inahakikisha aifanyi makosa yaliyofanywa na Dola viranja za huko nyuma kama Dola ya Roma, Dola ya Ottoman, Dola ya Uingereza, Dola ya USSR, Dola ya Greco-Mecedonia, Dola ya Median-Persia, Dola ya Kemet na Dola ya Mesopotamia.

Ndio maana Marekani Wana kanuni inayosema "Hawachukui hatua yoyote juu ya taifa lao kama hawana uhakika wa kutosha", hii inamaa kuwa lolote lile liwe na masrahi au lah! Hawachukui hatua yoyote mpaka wawe na uhakika ambao hauta athiri masrahi ya taifa lao kimataifa.

Ndio Maana mpaka leo hawaivamii Korea kaskazini, Iran au Russia sababu bado hawana uhakika wa kutosha kuhusu nguvu waliyonayo kwa hizo nyukria wanazotengeneza.

Marekani inarinda sana nafasi yake ulimwenguni, inajua kosa moja Inaweza kuigharimu daima, ndio maana wao hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, wana masrahi ya kudumu, wao muhimu ni masrahi yao tu.

Huyo huyo unaweza kuwa adui, na baadae ukawa rafiki, wakiona ulakini wa msrahi yao unakua adui, ukilinda masrahi yao unakuwa rafiki, rejea uhusiano wa Marekani na Taliban, Mujahideen, Mobutu Seseseko na hata Nelson Mandela.

Kwa kutambua hilo, wao hujua nguvu na uimara wao upo kwenye Jeshi, wameweka ngome za kijeshi karibu Dunia nzima, mpaka sasa Marekani wana ngome za kijeshi (USA military bases) nje ya aridhi ya Marekani zipatazo 85.

Hizi ngome zote zinafanya kazi masaa 24 kwa ukaribu kabisa na Pentagon, Pentagon ndio makao makuu ya jeshi la Marekani.

Wana ubalozi karibu nchi 175 dunia nzima, kila Balozi zao zina kitengo maalumu cha siri cha CIA, kitengo hicho ufanya kazi za ujasusi wa kidola, kiuchumi na kisiasa kokote duniani.

Ofisi za ubalozi za Marekani ni ofisi ndogo za CIA, wanainjia taarifa za kijasusi na kuzituma CIA Langley park huko Marekani.

CIA ndio idara ya kijasusi iliyo more advanced kuliko shirika lolote lile la kijasusi duniani.

Marekani ni taifa lenye uchumi imara, mpaka sasa uchumi wake ghafi ni (GDP) $25.035 trillion (nominal) hii ni kwa mujibu wa taarifa ya Benki ya dunia na Benki kuu ya Marekani ya 2022.

Uchumi huo wa Marekani unachangia asilimia 15.78% ya uchumi wa dunia yote, yani uchumi ghafi wa dunia ni Dollar trillion 100, Marekani pekee yake ni dollar trillion 25.035 sawa na asilimia 15.78% ya pato ghafi la dunia nzima (World GDP index), yani robo ya uchumi wa dunia nzima.

Yani uchumi wa Marekani pakee ni sawa na uchumi wa Mataifa manne (4) makubwa duniani kama China, Japan, Ujerumani na India, ndio maana Marekani ni World economy industry complex, uchumi mkubwa wenye kutisha.

Marekani ndio soko kuu la dunia, yani ndio taifa linalo agiza na kuingiza bidhaa nyingi dunia kuliko taifa lolote lile duniani (The U.S. is the world's largest importer) huku pia likiwa taifa la pili linalo safirisha nje bidhaa nyingi duniani (second-largest exporter).

New York ndio kitovu cha biashara kwasasa duniani, ndio Jiji kuu la kibiashara ulimwenguni, ndio mji mkubwa Zaidi Marekani na ulimwenguni kwa ubora wa miundombinu.

Benki ya Dunia (World Bank Group), ni mali ya Marekani, ilianzishwa na shirika la fedha la Dunia (IMF) ambalo nalo ni mali ya Marekani, Benki ya Dunia ilianzishwa mwaka 1944 kupitia mkutano ule ulioitwa "Bretton Woods Conference", makao makuu yake yapo 1818 H Street NW Washington D.C Marekani.

Ikulu yenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni White House, ipo Marekani, Rais mwenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni Rais wa Marekani.

Kitovu cha sanaa ulimwenguni ni Los Angeles, Los Angeles ipo jimbo la California, ndio Jiji la pili kwa ukubwa Marekani, ipo ndani ya jimbo tajiri kuliko yote Marekani, California ina utajiri wa Pato ghafi la dollar trillion $3.4 trillion, Pato kubwa hata kuliko taifa la Ujerumani ambalo ndio Taifa la Nne kwa ukubwa wa utajiri duniani, yani California pekee inaizidi Ujerumani kiuchumi.

Hivyo dunia nzima kitovu cha Sanaa na filamu ni Los Angeles (Los Angeles is the center of the world film and television industry), huko ndio zipo Hollywood, studio za Paramount na Universal.

Sarafu ya Marekani dollar ndio sarafu kiongozi duniani (World sterling currency) ndio utumika Dunia nzima kurejelea thamani ya kila fedha ulimwenguni, ili upate thamani ya sarafu ya nchi yako duniani lazima uipime na Dollar ya Marekani.

Kwa maana hiyo dollar ya Marekani ndio instruction currency, yani fedha ya dunia, ndio sarafu kiongozi kwenye soko la Dunia, namanisha kuwa US dollar ndio petrodollar.

Hivyo Marekani ndio Dunia, yani ulimwenguni wote upo Marekani, kila kitu kipo Marekani, Marekani ndio Dunia kwa sasa kwa Karibu kila kitu, inaongoza kwa uchumi, inaongoza kwa uimara wa jeshi, inaongoza kwa utamaduni wa dunia, inaongoza kwa teknolojia, teknolojia ya Marekani ni ya hali ya juu kwenye kila kitu.

Hata ushoga unapata nguvu sababu una baraka za Marekani, shetani yupo Marekani, chochote kizuri na kibaya kipo Marekani.

Hivyo Marekani ni kila kitu...

Marekani kujiimarisha kwa yote haya ni kutokana na kusahihisha makosa ambayo dola nyingi kubwa huko nyuma zilipitia, kila hatua ngumu iliyopitia imeifanya ijiimarishe zaidi kuliko nyuma.

Marekani amepigana vita ngumu zaidi duniani na kuzishinda kwa uwezo wa hali ya juu sana, imepitia Changamoto kadhaa za ndani na nje lakini zote imeifanya Marekani kuwa imara zaidi.

Marekani imefanya zaidi ya operation kubwa na hatari Zaidi ya 300, karibu operation zote zilifanikiwa kwa ustadi mkubwa, operation kama "Operation Barracuda, Operation Dark hole, Operation Cold Chop, Operation Gerenimo, Operation desert storm, Operation eagle na zingine nyingi.

Ngoja kwa uchache nikurejeshe nyuma, uone namna Marekani ilivyo pigana vita kadhaa katika kujijenga, kukua na kuimarisha ukiranja wake.

Twende pamoja...

American Revolution War (1775-1783)...

Hii ilikuwa ni vita Kati ya America na Britain, vita hii ilikuwa ni kwa ajili ya Uhuru wa Marekani na ndiyo iliyopelekea kuzaliwa kwa USA, katika vita hii Uingereza alipokea kichapo kikali sana na kukimbia, hivyo Marekani ikajitangazia uhuru wake.

Vita ya 1812 (1812-1815)...

Vile vile vita hii inajulikana kama vita ya pili ya Uhuru wa Marekani, Vita hii ilisababishwa na Uingereza kutaka kuingilia biashara Kati ya US na Ufaransa, hali hii iliwalazimu USA kumchapa tena Uingereza.

Mexican-American War (1846-1848)...

Mwaka 1845 jimbo la Texas lililo kuwa sehemu ya Mexico lilitangaza kuwa Jamuhuri ya Texas na kujiunga na Marekani, hali hiyo ilipelekea majeshi ya Mexico kuvamia jimbo hilo hili kulirejesha, Marekani akaingilia Kati na kuyafurusha majeshi ya Mexico na mpaka sasa jimbo la Texas limebaki kuwa jimbo la Marekani.

Civil War (1861-1865)...

Hii ilikuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe Kati ya majimbo ya kusini na majimbo ya kasikazini, vita hii ilisababishwa na mamlaka ya majimbo ya kusini ya Marekani iliyokuwa ikipinga wazo la Rais Abraham Lincoln la kuanzisha Serikali ya shirikisho na kukomesha biashara ya Utumwa.

Spanish-American War(1898)...

Mnamo karne ya 19, Cuba ilikuwa sehemu ya spanish (hispania ya leo), kutokana na takwa lake la kutaka kujitenga na kuwa huru, miaka ya 1895-1898 uliibuku mgogoro Kati ya Cuba na Spanish, mgogoro huo ulipelekea Marekani kuingilia Kati kwa kuisapoti Cuba kwa sababu alikuwa mshirika wake wa kibiashara, Spanish akapigwa na Cuba akatumiza lengo lake.

Vita ya Kwanza ya Dunia (1917-1918)...

Marekani hakuwa na nia kabisa ya kushiriki vita hii, ila ni kama alilazimishwa na Ujerumani na hii ni Baada ya Ujerumani kutuma manuali za kivita katika mediterranean na North atlantic, kutaka kushirikiana na mexico kuivamia US, hali hii ilimlazimisha Rais Woodrow Wilson kutangaza vita dhidi ya Ujerumani na kilichotokea baada ya hapo kinajulikana, Ujerumani alipigwa vibaya mno.

Vita ya Pili ya Dunia (1941-1945)...

Vita hii ya pili ya dunia ilianza baada Ujerumani kuivamia kijeshi Poland September 1,1939, Marekani alihusika na vita hii baada ya vikosi vya kijeshi vya Japan kushambulia bandari yake ya Pearl Harbor ya jimbo la Hawaii mnamo December 8,1941, Japan ambayo ilikuwa na Ujerumani na Italy kama washirika wake huku Marekani akiwa na Britain & Soviet Union kama washirika wake.

Marekani aliimaliza vita hii kwa Kupiga bomu la Nyukilia huko Hiroshima na Ngasaki, bomu lililo itetemesha Dunia hadi leo hii, Bomu lililo leta mapinduzi makubwa katika silaha za Nyukilia, Bomu ambalo ndilo Putin na viongozi wengine wanatamba nalo leo hii. Marekani kama alitumia Bomu hili miaka hiyo sijuhi kwa sasa ana Bomu la siri la aina gani.

Korean War (1950-1953)...

Vita hii Marekani alipigana kwa kuisapoti Korea kusini, Vita ilitokea baada ya Korea kaskazini kwa kushirikiana na China na USSR kama washirika wake kutaka kuivamia Korea kusini ili kuitawala na kuuda Serikali moja yenye utawala wa kijamaa, Marekani aliingilia Kati na kuwafurusha wote.

Vietnam War (1959-1975)...

Hii ilikuwa ni vita ngumu sana kwa Marekani, vita hii iliwalazimu USA kutumia mbinu kali za Mapigano ili kuangusha utawala wa kijamaa wa vietnam, Vita hii ilikuwa ni Kati ya Vietnam vs Marekani na nchi nyingine ambazo hazikuwa chini ya utawala wa kijamaa, vita hii ndio vita pekee Marekani aliondoka kwenye uwanja wa vita bila ushindi wa moja kwa moja.

Gulf War (1990-1991)...

Vitaa hii ilitokea baada ya Iraq chini ya Sadam Hussein kuivamia Kuwait na kuikalia kimabavu, Pamoja na Vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Iraq na UN na vikosi vya nchi 34 wanachama wa UN kupelekwa Iraq haikuzaa matunda mpaka pale Marekani alipoingilia kati na Iraq ikatandikwa vibaya mno.

Vita ya Afghanistan (2001-2021)...

Mpaka sasa hii ndo vita ambayo USA amepigana kwa muda mrefu sana, Vita hii ilianza baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11 dhidi ya kituo cha kibiashara cha Dunia NewYork na Pentagon Washington DC mwaka 2001 lililo tekelezwa na Al-Qaeda.

Shambulizi hilo la kigaidi lilisababisha Marekani kuingia Afghanistan kupigana vita kwa lengo la kuwatoa Al-Qaeda na Taliban madarakani ili kufuta Ugaidi duniani, Mwaka 2011 kiongozi wa Al-Qaeda Osama Bin Laden aliuawa na kikosi maalumu cha Marekani, Baada ya Marekani kutekeleza lengo lao mwaka 2021 aliamua kuondoa majeshi yake na Ndege ya mwisho iliondoka Afghanistan August 30, 2021.

Iraq War (2003-2011)...

Baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11, 2001, mwaka 2003 aliyekuwa Rais wa Marekani G.W. Bush alitangaza vita dhidi ya Iraq, Iraq iliyokuwa ikiongozwa na Sadam Hussein ikisaidiwa na Korea Kaskazini kutengeneza Silaha za maangamizi (Nyukilia) na kufadhili makundi ya kigaidi, Marekani ilimkamata Sadam Hussein na kumnyonga huku Dunia nzima ikishuhudiwa kuuawa kwa Sadam Hussein.

Mpaka sasa Marekani ndio kinara wa kuziangusha Serikali na tawala nyingi duniani, anafanya hivyo kwa kulinda masrahi ya Marekani katika uchumi,kijeshi na hasa kuilinda hadhi yake ya ukiranja wa dunia (World Super-Supremancy Hegemony) katika kulinda masrahi ya ubepari wa dunia (Interest of World of Capitalism).

Usalama wa Marekani dhidi ya vitisho vya nafasi yake ipo chini ya mwamvuli wa ubepari na demokrasia yani "World of Capitalism/Democracy".

Sasa ili Marekani kuleta usawa wa himaya yake (balance of power) inambidi kuondoa na kupambana na baadhi ya tawala za dunia zilizo kinyume na mrengo wake kwa kile kinachoitwa "Thrifty Authoritarian"

Mfano wa tawala zinazo hatalisha hicho kinachoitwa"Thrifty Authoritarian" zilizo ondolewa au kupambana na makucha ya Marekani ni hizi zifuatazo:

Germany, 1945
Japan, 1945
Syria, 1949
South Korea, 1953
Iran, 1953
Guatemala, 1954
Congo, 1960
Laos, 1960
Iraq, 1963
Brazil, 1964
British Guiana, 1964
Bolivia, 1964
Dominican Republic, 1965
Indonesia, 1965
Ghana, 1966
Greece, 1967
Cambodia, 1970
Bolivia, 1971
Chile, 1973
Australia, 1975
Portugal, 1976
Argentina, 1976
Jamaica, 1980
Turkey, 1980
Chad, 1982
Fiji, 1987
Nicaragua, 1987
Afghanistan, 1989
Panama, 1989
Bulgaria, 1990
Albania, 1991
Yugoslavia, 2000
Ecuador, 2000
Afghanistan, 2001
Venezuela, 2002
Iraq, 2003
Haiti, 2004
Libya, 2011

Hii "Thrifty Authoritarian" ni mpango mkakati wa Marekani kuyaweka Mataifa yote duniani chini ya amri yake, mfumo wake na ushawishi wake, nadharia hii imeelezwa vyema kwenye kitabu "Thrifty Authoritarians: U.S. Regime Change 1945-Present" kilicho andikwa na
Mwandishi nguli wa siasa za dunia bwana Daniel J. Savickas, tafsiri halisi ya nadharia hiyo ipo kitabu hicho VOL. 6, NO. 2, Page namba 1 na 2.

Kwenye hii sayari ya dunia "Hakuna taifa la kuingusha Marekani katika dunia hii, Marekani itajiangusha yenyewe".

Nafunga jarada.

Kwa kupata makala Zaidi wasiliana na Mimi WhatsApp 0679555526 uungwe group la Maktaba Kuu kwa gharama ya Tsh 3000/=.

Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
Copyrights of this article reserved
written by Comred Mbwana Allyamtu
•Napatika Kwa mawasliano
Comred Mbwana Allyamtu

Kwa Tanzania
+255679555526 (WhatsApp).
+255765026057.
Email- mbwanaallyamtu990@gmail.com

Copyright 2022, All Rights Reserved.

Maktaba Kuu.
______________________
View attachment 2436681View attachment 2436680View attachment 2436682View attachment 2436685View attachment 2436684View attachment 2436683View attachment 2436686View attachment 2436687View attachment 2436688View attachment 2436689View attachment 2436691View attachment 2436690
Umeelezea vzr sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
HAKUNA TAIFA LA KUINGUSHA MAREKANI KATIKA DUNIA HII, MAREKANI ITAJIANGUSHA YENYEWE.

Na Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Monday-5/12/2022
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania

Hadithi yetu inaanzia hapa, Wakati wa Vita Baridi, Milki na Dola ya Uingereza (United Kingdom and Great Britain Empire) ilivunjika, na kuacha Marekani na Muungano wa Sovieti kutawala mambo ya Ulimwengu (Dominate world affairs).

Mwishoni mwa Vita Baridi (World Cold War) na kuvunjika kwa Muungano wa Kisovieti (USSR) Mwanzoni mwa mwaka wa 1991, Marekani ikawa nchi pekee yenye nguvu zaidi ulimwenguni World's sole Super-power).

Marekani ndio kiranja wa Dunia kwa sasa, namanisha kuwa ndio World hegemony wa 10 wa hii Dunia, imejizatiti vya kutosha, imejifunza mengi kutokana na historia ya huko nyuma.

Somo kubwa inalojifunza Marekani ni kutoka kwa Dola viranja waliopita huko nyuma, nafasi iliyonayo sasa ina Changamoto kubwa ya ushindani kutoka kwa mataifa kinzani kama China na Russia.

Hivyo inahakikisha aifanyi makosa yaliyofanywa na Dola viranja za huko nyuma kama Dola ya Roma, Dola ya Ottoman, Dola ya Uingereza, Dola ya USSR, Dola ya Greco-Mecedonia, Dola ya Median-Persia, Dola ya Kemet na Dola ya Mesopotamia.

Ndio maana Marekani Wana kanuni inayosema "Hawachukui hatua yoyote juu ya taifa lao kama hawana uhakika wa kutosha", hii inamaa kuwa lolote lile liwe na masrahi au lah! Hawachukui hatua yoyote mpaka wawe na uhakika ambao hauta athiri masrahi ya taifa lao kimataifa.

Ndio Maana mpaka leo hawaivamii Korea kaskazini, Iran au Russia sababu bado hawana uhakika wa kutosha kuhusu nguvu waliyonayo kwa hizo nyukria wanazotengeneza.

Marekani inarinda sana nafasi yake ulimwenguni, inajua kosa moja Inaweza kuigharimu daima, ndio maana wao hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, wana masrahi ya kudumu, wao muhimu ni masrahi yao tu.

Huyo huyo unaweza kuwa adui, na baadae ukawa rafiki, wakiona ulakini wa msrahi yao unakua adui, ukilinda masrahi yao unakuwa rafiki, rejea uhusiano wa Marekani na Taliban, Mujahideen, Mobutu Seseseko na hata Nelson Mandela.

Kwa kutambua hilo, wao hujua nguvu na uimara wao upo kwenye Jeshi, wameweka ngome za kijeshi karibu Dunia nzima, mpaka sasa Marekani wana ngome za kijeshi (USA military bases) nje ya aridhi ya Marekani zipatazo 85.

Hizi ngome zote zinafanya kazi masaa 24 kwa ukaribu kabisa na Pentagon, Pentagon ndio makao makuu ya jeshi la Marekani.

Wana ubalozi karibu nchi 175 dunia nzima, kila Balozi zao zina kitengo maalumu cha siri cha CIA, kitengo hicho ufanya kazi za ujasusi wa kidola, kiuchumi na kisiasa kokote duniani.

Ofisi za ubalozi za Marekani ni ofisi ndogo za CIA, wanainjia taarifa za kijasusi na kuzituma CIA Langley park huko Marekani.

CIA ndio idara ya kijasusi iliyo more advanced kuliko shirika lolote lile la kijasusi duniani.

Marekani ni taifa lenye uchumi imara, mpaka sasa uchumi wake ghafi ni (GDP) $25.035 trillion (nominal) hii ni kwa mujibu wa taarifa ya Benki ya dunia na Benki kuu ya Marekani ya 2022.

Uchumi huo wa Marekani unachangia asilimia 15.78% ya uchumi wa dunia yote, yani uchumi ghafi wa dunia ni Dollar trillion 100, Marekani pekee yake ni dollar trillion 25.035 sawa na asilimia 15.78% ya pato ghafi la dunia nzima (World GDP index), yani robo ya uchumi wa dunia nzima.

Yani uchumi wa Marekani pakee ni sawa na uchumi wa Mataifa manne (4) makubwa duniani kama China, Japan, Ujerumani na India, ndio maana Marekani ni World economy industry complex, uchumi mkubwa wenye kutisha.

Marekani ndio soko kuu la dunia, yani ndio taifa linalo agiza na kuingiza bidhaa nyingi dunia kuliko taifa lolote lile duniani (The U.S. is the world's largest importer) huku pia likiwa taifa la pili linalo safirisha nje bidhaa nyingi duniani (second-largest exporter).

New York ndio kitovu cha biashara kwasasa duniani, ndio Jiji kuu la kibiashara ulimwenguni, ndio mji mkubwa Zaidi Marekani na ulimwenguni kwa ubora wa miundombinu.

Benki ya Dunia (World Bank Group), ni mali ya Marekani, ilianzishwa na shirika la fedha la Dunia (IMF) ambalo nalo ni mali ya Marekani, Benki ya Dunia ilianzishwa mwaka 1944 kupitia mkutano ule ulioitwa "Bretton Woods Conference", makao makuu yake yapo 1818 H Street NW Washington D.C Marekani.

Ikulu yenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni White House, ipo Marekani, Rais mwenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni Rais wa Marekani.

Kitovu cha sanaa ulimwenguni ni Los Angeles, Los Angeles ipo jimbo la California, ndio Jiji la pili kwa ukubwa Marekani, ipo ndani ya jimbo tajiri kuliko yote Marekani, California ina utajiri wa Pato ghafi la dollar trillion $3.4 trillion, Pato kubwa hata kuliko taifa la Ujerumani ambalo ndio Taifa la Nne kwa ukubwa wa utajiri duniani, yani California pekee inaizidi Ujerumani kiuchumi.

Hivyo dunia nzima kitovu cha Sanaa na filamu ni Los Angeles (Los Angeles is the center of the world film and television industry), huko ndio zipo Hollywood, studio za Paramount na Universal.

Sarafu ya Marekani dollar ndio sarafu kiongozi duniani (World sterling currency) ndio utumika Dunia nzima kurejelea thamani ya kila fedha ulimwenguni, ili upate thamani ya sarafu ya nchi yako duniani lazima uipime na Dollar ya Marekani.

Kwa maana hiyo dollar ya Marekani ndio instruction currency, yani fedha ya dunia, ndio sarafu kiongozi kwenye soko la Dunia, namanisha kuwa US dollar ndio petrodollar.

Hivyo Marekani ndio Dunia, yani ulimwenguni wote upo Marekani, kila kitu kipo Marekani, Marekani ndio Dunia kwa sasa kwa Karibu kila kitu, inaongoza kwa uchumi, inaongoza kwa uimara wa jeshi, inaongoza kwa utamaduni wa dunia, inaongoza kwa teknolojia, teknolojia ya Marekani ni ya hali ya juu kwenye kila kitu.

Hata ushoga unapata nguvu sababu una baraka za Marekani, shetani yupo Marekani, chochote kizuri na kibaya kipo Marekani.

Hivyo Marekani ni kila kitu...

Marekani kujiimarisha kwa yote haya ni kutokana na kusahihisha makosa ambayo dola nyingi kubwa huko nyuma zilipitia, kila hatua ngumu iliyopitia imeifanya ijiimarishe zaidi kuliko nyuma.

Marekani amepigana vita ngumu zaidi duniani na kuzishinda kwa uwezo wa hali ya juu sana, imepitia Changamoto kadhaa za ndani na nje lakini zote imeifanya Marekani kuwa imara zaidi.

Marekani imefanya zaidi ya operation kubwa na hatari Zaidi ya 300, karibu operation zote zilifanikiwa kwa ustadi mkubwa, operation kama "Operation Barracuda, Operation Dark hole, Operation Cold Chop, Operation Gerenimo, Operation desert storm, Operation eagle na zingine nyingi.

Ngoja kwa uchache nikurejeshe nyuma, uone namna Marekani ilivyo pigana vita kadhaa katika kujijenga, kukua na kuimarisha ukiranja wake.

Twende pamoja...

American Revolution War (1775-1783)...

Hii ilikuwa ni vita Kati ya America na Britain, vita hii ilikuwa ni kwa ajili ya Uhuru wa Marekani na ndiyo iliyopelekea kuzaliwa kwa USA, katika vita hii Uingereza alipokea kichapo kikali sana na kukimbia, hivyo Marekani ikajitangazia uhuru wake.

Vita ya 1812 (1812-1815)...

Vile vile vita hii inajulikana kama vita ya pili ya Uhuru wa Marekani, Vita hii ilisababishwa na Uingereza kutaka kuingilia biashara Kati ya US na Ufaransa, hali hii iliwalazimu USA kumchapa tena Uingereza.

Mexican-American War (1846-1848)...

Mwaka 1845 jimbo la Texas lililo kuwa sehemu ya Mexico lilitangaza kuwa Jamuhuri ya Texas na kujiunga na Marekani, hali hiyo ilipelekea majeshi ya Mexico kuvamia jimbo hilo hili kulirejesha, Marekani akaingilia Kati na kuyafurusha majeshi ya Mexico na mpaka sasa jimbo la Texas limebaki kuwa jimbo la Marekani.

Civil War (1861-1865)...

Hii ilikuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe Kati ya majimbo ya kusini na majimbo ya kasikazini, vita hii ilisababishwa na mamlaka ya majimbo ya kusini ya Marekani iliyokuwa ikipinga wazo la Rais Abraham Lincoln la kuanzisha Serikali ya shirikisho na kukomesha biashara ya Utumwa.

Spanish-American War(1898)...

Mnamo karne ya 19, Cuba ilikuwa sehemu ya spanish (hispania ya leo), kutokana na takwa lake la kutaka kujitenga na kuwa huru, miaka ya 1895-1898 uliibuku mgogoro Kati ya Cuba na Spanish, mgogoro huo ulipelekea Marekani kuingilia Kati kwa kuisapoti Cuba kwa sababu alikuwa mshirika wake wa kibiashara, Spanish akapigwa na Cuba akatumiza lengo lake.

Vita ya Kwanza ya Dunia (1917-1918)...

Marekani hakuwa na nia kabisa ya kushiriki vita hii, ila ni kama alilazimishwa na Ujerumani na hii ni Baada ya Ujerumani kutuma manuali za kivita katika mediterranean na North atlantic, kutaka kushirikiana na mexico kuivamia US, hali hii ilimlazimisha Rais Woodrow Wilson kutangaza vita dhidi ya Ujerumani na kilichotokea baada ya hapo kinajulikana, Ujerumani alipigwa vibaya mno.

Vita ya Pili ya Dunia (1941-1945)...

Vita hii ya pili ya dunia ilianza baada Ujerumani kuivamia kijeshi Poland September 1,1939, Marekani alihusika na vita hii baada ya vikosi vya kijeshi vya Japan kushambulia bandari yake ya Pearl Harbor ya jimbo la Hawaii mnamo December 8,1941, Japan ambayo ilikuwa na Ujerumani na Italy kama washirika wake huku Marekani akiwa na Britain & Soviet Union kama washirika wake.

Marekani aliimaliza vita hii kwa Kupiga bomu la Nyukilia huko Hiroshima na Ngasaki, bomu lililo itetemesha Dunia hadi leo hii, Bomu lililo leta mapinduzi makubwa katika silaha za Nyukilia, Bomu ambalo ndilo Putin na viongozi wengine wanatamba nalo leo hii. Marekani kama alitumia Bomu hili miaka hiyo sijuhi kwa sasa ana Bomu la siri la aina gani.

Korean War (1950-1953)...

Vita hii Marekani alipigana kwa kuisapoti Korea kusini, Vita ilitokea baada ya Korea kaskazini kwa kushirikiana na China na USSR kama washirika wake kutaka kuivamia Korea kusini ili kuitawala na kuuda Serikali moja yenye utawala wa kijamaa, Marekani aliingilia Kati na kuwafurusha wote.

Vietnam War (1959-1975)...

Hii ilikuwa ni vita ngumu sana kwa Marekani, vita hii iliwalazimu USA kutumia mbinu kali za Mapigano ili kuangusha utawala wa kijamaa wa vietnam, Vita hii ilikuwa ni Kati ya Vietnam vs Marekani na nchi nyingine ambazo hazikuwa chini ya utawala wa kijamaa, vita hii ndio vita pekee Marekani aliondoka kwenye uwanja wa vita bila ushindi wa moja kwa moja.

Gulf War (1990-1991)...

Vitaa hii ilitokea baada ya Iraq chini ya Sadam Hussein kuivamia Kuwait na kuikalia kimabavu, Pamoja na Vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Iraq na UN na vikosi vya nchi 34 wanachama wa UN kupelekwa Iraq haikuzaa matunda mpaka pale Marekani alipoingilia kati na Iraq ikatandikwa vibaya mno.

Vita ya Afghanistan (2001-2021)...

Mpaka sasa hii ndo vita ambayo USA amepigana kwa muda mrefu sana, Vita hii ilianza baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11 dhidi ya kituo cha kibiashara cha Dunia NewYork na Pentagon Washington DC mwaka 2001 lililo tekelezwa na Al-Qaeda.

Shambulizi hilo la kigaidi lilisababisha Marekani kuingia Afghanistan kupigana vita kwa lengo la kuwatoa Al-Qaeda na Taliban madarakani ili kufuta Ugaidi duniani, Mwaka 2011 kiongozi wa Al-Qaeda Osama Bin Laden aliuawa na kikosi maalumu cha Marekani, Baada ya Marekani kutekeleza lengo lao mwaka 2021 aliamua kuondoa majeshi yake na Ndege ya mwisho iliondoka Afghanistan August 30, 2021.

Iraq War (2003-2011)...

Baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11, 2001, mwaka 2003 aliyekuwa Rais wa Marekani G.W. Bush alitangaza vita dhidi ya Iraq, Iraq iliyokuwa ikiongozwa na Sadam Hussein ikisaidiwa na Korea Kaskazini kutengeneza Silaha za maangamizi (Nyukilia) na kufadhili makundi ya kigaidi, Marekani ilimkamata Sadam Hussein na kumnyonga huku Dunia nzima ikishuhudiwa kuuawa kwa Sadam Hussein.

Mpaka sasa Marekani ndio kinara wa kuziangusha Serikali na tawala nyingi duniani, anafanya hivyo kwa kulinda masrahi ya Marekani katika uchumi,kijeshi na hasa kuilinda hadhi yake ya ukiranja wa dunia (World Super-Supremancy Hegemony) katika kulinda masrahi ya ubepari wa dunia (Interest of World of Capitalism).

Usalama wa Marekani dhidi ya vitisho vya nafasi yake ipo chini ya mwamvuli wa ubepari na demokrasia yani "World of Capitalism/Democracy".

Sasa ili Marekani kuleta usawa wa himaya yake (balance of power) inambidi kuondoa na kupambana na baadhi ya tawala za dunia zilizo kinyume na mrengo wake kwa kile kinachoitwa "Thrifty Authoritarian"

Mfano wa tawala zinazo hatalisha hicho kinachoitwa"Thrifty Authoritarian" zilizo ondolewa au kupambana na makucha ya Marekani ni hizi zifuatazo:

Germany, 1945
Japan, 1945
Syria, 1949
South Korea, 1953
Iran, 1953
Guatemala, 1954
Congo, 1960
Laos, 1960
Iraq, 1963
Brazil, 1964
British Guiana, 1964
Bolivia, 1964
Dominican Republic, 1965
Indonesia, 1965
Ghana, 1966
Greece, 1967
Cambodia, 1970
Bolivia, 1971
Chile, 1973
Australia, 1975
Portugal, 1976
Argentina, 1976
Jamaica, 1980
Turkey, 1980
Chad, 1982
Fiji, 1987
Nicaragua, 1987
Afghanistan, 1989
Panama, 1989
Bulgaria, 1990
Albania, 1991
Yugoslavia, 2000
Ecuador, 2000
Afghanistan, 2001
Venezuela, 2002
Iraq, 2003
Haiti, 2004
Libya, 2011

Hii "Thrifty Authoritarian" ni mpango mkakati wa Marekani kuyaweka Mataifa yote duniani chini ya amri yake, mfumo wake na ushawishi wake, nadharia hii imeelezwa vyema kwenye kitabu "Thrifty Authoritarians: U.S. Regime Change 1945-Present" kilicho andikwa na
Mwandishi nguli wa siasa za dunia bwana Daniel J. Savickas, tafsiri halisi ya nadharia hiyo ipo kitabu hicho VOL. 6, NO. 2, Page namba 1 na 2.

Kwenye hii sayari ya dunia "Hakuna taifa la kuingusha Marekani katika dunia hii, Marekani itajiangusha yenyewe".

Nafunga jarada.

Kwa kupata makala Zaidi wasiliana na Mimi WhatsApp 0679555526 uungwe group la Maktaba Kuu kwa gharama ya Tsh 3000/=.

Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
Copyrights of this article reserved
written by Comred Mbwana Allyamtu
•Napatika Kwa mawasliano
Comred Mbwana Allyamtu

Kwa Tanzania
+255679555526 (WhatsApp).
+255765026057.
Email- mbwanaallyamtu990@gmail.com

Copyright 2022, All Rights Reserved.

Maktaba Kuu.
______________________
View attachment 2436681View attachment 2436680View attachment 2436682View attachment 2436685View attachment 2436684View attachment 2436683View attachment 2436686View attachment 2436687View attachment 2436688View attachment 2436689View attachment 2436691View attachment 2436690
Umesomeka Sana chief USA Ni world wide kila Kona yupo
 
HAKUNA TAIFA LA KUINGUSHA MAREKANI KATIKA DUNIA HII, MAREKANI ITAJIANGUSHA YENYEWE.

Na Comred Mbwana Allyamtu (CMCA)
Monday-5/12/2022
Marangu, Kilimanjaro, Tanzania

Hadithi yetu inaanzia hapa, Wakati wa Vita Baridi, Milki na Dola ya Uingereza (United Kingdom and Great Britain Empire) ilivunjika, na kuacha Marekani na Muungano wa Sovieti kutawala mambo ya Ulimwengu (Dominate world affairs).

Mwishoni mwa Vita Baridi (World Cold War) na kuvunjika kwa Muungano wa Kisovieti (USSR) Mwanzoni mwa mwaka wa 1991, Marekani ikawa nchi pekee yenye nguvu zaidi ulimwenguni World's sole Super-power).

Marekani ndio kiranja wa Dunia kwa sasa, namanisha kuwa ndio World hegemony wa 10 wa hii Dunia, imejizatiti vya kutosha, imejifunza mengi kutokana na historia ya huko nyuma.

Somo kubwa inalojifunza Marekani ni kutoka kwa Dola viranja waliopita huko nyuma, nafasi iliyonayo sasa ina Changamoto kubwa ya ushindani kutoka kwa mataifa kinzani kama China na Russia.

Hivyo inahakikisha aifanyi makosa yaliyofanywa na Dola viranja za huko nyuma kama Dola ya Roma, Dola ya Ottoman, Dola ya Uingereza, Dola ya USSR, Dola ya Greco-Mecedonia, Dola ya Median-Persia, Dola ya Kemet na Dola ya Mesopotamia.

Ndio maana Marekani Wana kanuni inayosema "Hawachukui hatua yoyote juu ya taifa lao kama hawana uhakika wa kutosha", hii inamaa kuwa lolote lile liwe na masrahi au lah! Hawachukui hatua yoyote mpaka wawe na uhakika ambao hauta athiri masrahi ya taifa lao kimataifa.

Ndio Maana mpaka leo hawaivamii Korea kaskazini, Iran au Russia sababu bado hawana uhakika wa kutosha kuhusu nguvu waliyonayo kwa hizo nyukria wanazotengeneza.

Marekani inarinda sana nafasi yake ulimwenguni, inajua kosa moja Inaweza kuigharimu daima, ndio maana wao hawana rafiki wa kudumu wala adui wa kudumu, wana masrahi ya kudumu, wao muhimu ni masrahi yao tu.

Huyo huyo unaweza kuwa adui, na baadae ukawa rafiki, wakiona ulakini wa msrahi yao unakua adui, ukilinda masrahi yao unakuwa rafiki, rejea uhusiano wa Marekani na Taliban, Mujahideen, Mobutu Seseseko na hata Nelson Mandela.

Kwa kutambua hilo, wao hujua nguvu na uimara wao upo kwenye Jeshi, wameweka ngome za kijeshi karibu Dunia nzima, mpaka sasa Marekani wana ngome za kijeshi (USA military bases) nje ya aridhi ya Marekani zipatazo 85.

Hizi ngome zote zinafanya kazi masaa 24 kwa ukaribu kabisa na Pentagon, Pentagon ndio makao makuu ya jeshi la Marekani.

Wana ubalozi karibu nchi 175 dunia nzima, kila Balozi zao zina kitengo maalumu cha siri cha CIA, kitengo hicho ufanya kazi za ujasusi wa kidola, kiuchumi na kisiasa kokote duniani.

Ofisi za ubalozi za Marekani ni ofisi ndogo za CIA, wanainjia taarifa za kijasusi na kuzituma CIA Langley park huko Marekani.

CIA ndio idara ya kijasusi iliyo more advanced kuliko shirika lolote lile la kijasusi duniani.

Marekani ni taifa lenye uchumi imara, mpaka sasa uchumi wake ghafi ni (GDP) $25.035 trillion (nominal) hii ni kwa mujibu wa taarifa ya Benki ya dunia na Benki kuu ya Marekani ya 2022.

Uchumi huo wa Marekani unachangia asilimia 15.78% ya uchumi wa dunia yote, yani uchumi ghafi wa dunia ni Dollar trillion 100, Marekani pekee yake ni dollar trillion 25.035 sawa na asilimia 15.78% ya pato ghafi la dunia nzima (World GDP index), yani robo ya uchumi wa dunia nzima.

Yani uchumi wa Marekani pakee ni sawa na uchumi wa Mataifa manne (4) makubwa duniani kama China, Japan, Ujerumani na India, ndio maana Marekani ni World economy industry complex, uchumi mkubwa wenye kutisha.

Marekani ndio soko kuu la dunia, yani ndio taifa linalo agiza na kuingiza bidhaa nyingi dunia kuliko taifa lolote lile duniani (The U.S. is the world's largest importer) huku pia likiwa taifa la pili linalo safirisha nje bidhaa nyingi duniani (second-largest exporter).

New York ndio kitovu cha biashara kwasasa duniani, ndio Jiji kuu la kibiashara ulimwenguni, ndio mji mkubwa Zaidi Marekani na ulimwenguni kwa ubora wa miundombinu.

Benki ya Dunia (World Bank Group), ni mali ya Marekani, ilianzishwa na shirika la fedha la Dunia (IMF) ambalo nalo ni mali ya Marekani, Benki ya Dunia ilianzishwa mwaka 1944 kupitia mkutano ule ulioitwa "Bretton Woods Conference", makao makuu yake yapo 1818 H Street NW Washington D.C Marekani.

Ikulu yenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni White House, ipo Marekani, Rais mwenye ushawishi mkubwa ulimwenguni ni Rais wa Marekani.

Kitovu cha sanaa ulimwenguni ni Los Angeles, Los Angeles ipo jimbo la California, ndio Jiji la pili kwa ukubwa Marekani, ipo ndani ya jimbo tajiri kuliko yote Marekani, California ina utajiri wa Pato ghafi la dollar trillion $3.4 trillion, Pato kubwa hata kuliko taifa la Ujerumani ambalo ndio Taifa la Nne kwa ukubwa wa utajiri duniani, yani California pekee inaizidi Ujerumani kiuchumi.

Hivyo dunia nzima kitovu cha Sanaa na filamu ni Los Angeles (Los Angeles is the center of the world film and television industry), huko ndio zipo Hollywood, studio za Paramount na Universal.

Sarafu ya Marekani dollar ndio sarafu kiongozi duniani (World sterling currency) ndio utumika Dunia nzima kurejelea thamani ya kila fedha ulimwenguni, ili upate thamani ya sarafu ya nchi yako duniani lazima uipime na Dollar ya Marekani.

Kwa maana hiyo dollar ya Marekani ndio instruction currency, yani fedha ya dunia, ndio sarafu kiongozi kwenye soko la Dunia, namanisha kuwa US dollar ndio petrodollar.

Hivyo Marekani ndio Dunia, yani ulimwenguni wote upo Marekani, kila kitu kipo Marekani, Marekani ndio Dunia kwa sasa kwa Karibu kila kitu, inaongoza kwa uchumi, inaongoza kwa uimara wa jeshi, inaongoza kwa utamaduni wa dunia, inaongoza kwa teknolojia, teknolojia ya Marekani ni ya hali ya juu kwenye kila kitu.

Hata ushoga unapata nguvu sababu una baraka za Marekani, shetani yupo Marekani, chochote kizuri na kibaya kipo Marekani.

Hivyo Marekani ni kila kitu...

Marekani kujiimarisha kwa yote haya ni kutokana na kusahihisha makosa ambayo dola nyingi kubwa huko nyuma zilipitia, kila hatua ngumu iliyopitia imeifanya ijiimarishe zaidi kuliko nyuma.

Marekani amepigana vita ngumu zaidi duniani na kuzishinda kwa uwezo wa hali ya juu sana, imepitia Changamoto kadhaa za ndani na nje lakini zote imeifanya Marekani kuwa imara zaidi.

Marekani imefanya zaidi ya operation kubwa na hatari Zaidi ya 300, karibu operation zote zilifanikiwa kwa ustadi mkubwa, operation kama "Operation Barracuda, Operation Dark hole, Operation Cold Chop, Operation Gerenimo, Operation desert storm, Operation eagle na zingine nyingi.

Ngoja kwa uchache nikurejeshe nyuma, uone namna Marekani ilivyo pigana vita kadhaa katika kujijenga, kukua na kuimarisha ukiranja wake.

Twende pamoja...

American Revolution War (1775-1783)...

Hii ilikuwa ni vita Kati ya America na Britain, vita hii ilikuwa ni kwa ajili ya Uhuru wa Marekani na ndiyo iliyopelekea kuzaliwa kwa USA, katika vita hii Uingereza alipokea kichapo kikali sana na kukimbia, hivyo Marekani ikajitangazia uhuru wake.

Vita ya 1812 (1812-1815)...

Vile vile vita hii inajulikana kama vita ya pili ya Uhuru wa Marekani, Vita hii ilisababishwa na Uingereza kutaka kuingilia biashara Kati ya US na Ufaransa, hali hii iliwalazimu USA kumchapa tena Uingereza.

Mexican-American War (1846-1848)...

Mwaka 1845 jimbo la Texas lililo kuwa sehemu ya Mexico lilitangaza kuwa Jamuhuri ya Texas na kujiunga na Marekani, hali hiyo ilipelekea majeshi ya Mexico kuvamia jimbo hilo hili kulirejesha, Marekani akaingilia Kati na kuyafurusha majeshi ya Mexico na mpaka sasa jimbo la Texas limebaki kuwa jimbo la Marekani.

Civil War (1861-1865)...

Hii ilikuwa vita ya wenyewe kwa wenyewe Kati ya majimbo ya kusini na majimbo ya kasikazini, vita hii ilisababishwa na mamlaka ya majimbo ya kusini ya Marekani iliyokuwa ikipinga wazo la Rais Abraham Lincoln la kuanzisha Serikali ya shirikisho na kukomesha biashara ya Utumwa.

Spanish-American War(1898)...

Mnamo karne ya 19, Cuba ilikuwa sehemu ya spanish (hispania ya leo), kutokana na takwa lake la kutaka kujitenga na kuwa huru, miaka ya 1895-1898 uliibuku mgogoro Kati ya Cuba na Spanish, mgogoro huo ulipelekea Marekani kuingilia Kati kwa kuisapoti Cuba kwa sababu alikuwa mshirika wake wa kibiashara, Spanish akapigwa na Cuba akatumiza lengo lake.

Vita ya Kwanza ya Dunia (1917-1918)...

Marekani hakuwa na nia kabisa ya kushiriki vita hii, ila ni kama alilazimishwa na Ujerumani na hii ni Baada ya Ujerumani kutuma manuali za kivita katika mediterranean na North atlantic, kutaka kushirikiana na mexico kuivamia US, hali hii ilimlazimisha Rais Woodrow Wilson kutangaza vita dhidi ya Ujerumani na kilichotokea baada ya hapo kinajulikana, Ujerumani alipigwa vibaya mno.

Vita ya Pili ya Dunia (1941-1945)...

Vita hii ya pili ya dunia ilianza baada Ujerumani kuivamia kijeshi Poland September 1,1939, Marekani alihusika na vita hii baada ya vikosi vya kijeshi vya Japan kushambulia bandari yake ya Pearl Harbor ya jimbo la Hawaii mnamo December 8,1941, Japan ambayo ilikuwa na Ujerumani na Italy kama washirika wake huku Marekani akiwa na Britain & Soviet Union kama washirika wake.

Marekani aliimaliza vita hii kwa Kupiga bomu la Nyukilia huko Hiroshima na Ngasaki, bomu lililo itetemesha Dunia hadi leo hii, Bomu lililo leta mapinduzi makubwa katika silaha za Nyukilia, Bomu ambalo ndilo Putin na viongozi wengine wanatamba nalo leo hii. Marekani kama alitumia Bomu hili miaka hiyo sijuhi kwa sasa ana Bomu la siri la aina gani.

Korean War (1950-1953)...

Vita hii Marekani alipigana kwa kuisapoti Korea kusini, Vita ilitokea baada ya Korea kaskazini kwa kushirikiana na China na USSR kama washirika wake kutaka kuivamia Korea kusini ili kuitawala na kuuda Serikali moja yenye utawala wa kijamaa, Marekani aliingilia Kati na kuwafurusha wote.

Vietnam War (1959-1975)...

Hii ilikuwa ni vita ngumu sana kwa Marekani, vita hii iliwalazimu USA kutumia mbinu kali za Mapigano ili kuangusha utawala wa kijamaa wa vietnam, Vita hii ilikuwa ni Kati ya Vietnam vs Marekani na nchi nyingine ambazo hazikuwa chini ya utawala wa kijamaa, vita hii ndio vita pekee Marekani aliondoka kwenye uwanja wa vita bila ushindi wa moja kwa moja.

Gulf War (1990-1991)...

Vitaa hii ilitokea baada ya Iraq chini ya Sadam Hussein kuivamia Kuwait na kuikalia kimabavu, Pamoja na Vikwazo vya kiuchumi alivyowekewa Iraq na UN na vikosi vya nchi 34 wanachama wa UN kupelekwa Iraq haikuzaa matunda mpaka pale Marekani alipoingilia kati na Iraq ikatandikwa vibaya mno.

Vita ya Afghanistan (2001-2021)...

Mpaka sasa hii ndo vita ambayo USA amepigana kwa muda mrefu sana, Vita hii ilianza baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11 dhidi ya kituo cha kibiashara cha Dunia NewYork na Pentagon Washington DC mwaka 2001 lililo tekelezwa na Al-Qaeda.

Shambulizi hilo la kigaidi lilisababisha Marekani kuingia Afghanistan kupigana vita kwa lengo la kuwatoa Al-Qaeda na Taliban madarakani ili kufuta Ugaidi duniani, Mwaka 2011 kiongozi wa Al-Qaeda Osama Bin Laden aliuawa na kikosi maalumu cha Marekani, Baada ya Marekani kutekeleza lengo lao mwaka 2021 aliamua kuondoa majeshi yake na Ndege ya mwisho iliondoka Afghanistan August 30, 2021.

Iraq War (2003-2011)...

Baada ya shambulizi la kigaidi la 9/11, 2001, mwaka 2003 aliyekuwa Rais wa Marekani G.W. Bush alitangaza vita dhidi ya Iraq, Iraq iliyokuwa ikiongozwa na Sadam Hussein ikisaidiwa na Korea Kaskazini kutengeneza Silaha za maangamizi (Nyukilia) na kufadhili makundi ya kigaidi, Marekani ilimkamata Sadam Hussein na kumnyonga huku Dunia nzima ikishuhudiwa kuuawa kwa Sadam Hussein.

Mpaka sasa Marekani ndio kinara wa kuziangusha Serikali na tawala nyingi duniani, anafanya hivyo kwa kulinda masrahi ya Marekani katika uchumi,kijeshi na hasa kuilinda hadhi yake ya ukiranja wa dunia (World Super-Supremancy Hegemony) katika kulinda masrahi ya ubepari wa dunia (Interest of World of Capitalism).

Usalama wa Marekani dhidi ya vitisho vya nafasi yake ipo chini ya mwamvuli wa ubepari na demokrasia yani "World of Capitalism/Democracy".

Sasa ili Marekani kuleta usawa wa himaya yake (balance of power) inambidi kuondoa na kupambana na baadhi ya tawala za dunia zilizo kinyume na mrengo wake kwa kile kinachoitwa "Thrifty Authoritarian"

Mfano wa tawala zinazo hatalisha hicho kinachoitwa"Thrifty Authoritarian" zilizo ondolewa au kupambana na makucha ya Marekani ni hizi zifuatazo:

Germany, 1945
Japan, 1945
Syria, 1949
South Korea, 1953
Iran, 1953
Guatemala, 1954
Congo, 1960
Laos, 1960
Iraq, 1963
Brazil, 1964
British Guiana, 1964
Bolivia, 1964
Dominican Republic, 1965
Indonesia, 1965
Ghana, 1966
Greece, 1967
Cambodia, 1970
Bolivia, 1971
Chile, 1973
Australia, 1975
Portugal, 1976
Argentina, 1976
Jamaica, 1980
Turkey, 1980
Chad, 1982
Fiji, 1987
Nicaragua, 1987
Afghanistan, 1989
Panama, 1989
Bulgaria, 1990
Albania, 1991
Yugoslavia, 2000
Ecuador, 2000
Afghanistan, 2001
Venezuela, 2002
Iraq, 2003
Haiti, 2004
Libya, 2011

Hii "Thrifty Authoritarian" ni mpango mkakati wa Marekani kuyaweka Mataifa yote duniani chini ya amri yake, mfumo wake na ushawishi wake, nadharia hii imeelezwa vyema kwenye kitabu "Thrifty Authoritarians: U.S. Regime Change 1945-Present" kilicho andikwa na
Mwandishi nguli wa siasa za dunia bwana Daniel J. Savickas, tafsiri halisi ya nadharia hiyo ipo kitabu hicho VOL. 6, NO. 2, Page namba 1 na 2.

Kwenye hii sayari ya dunia "Hakuna taifa la kuingusha Marekani katika dunia hii, Marekani itajiangusha yenyewe".

Nafunga jarada.

Kwa kupata makala Zaidi wasiliana na Mimi WhatsApp 0679555526 uungwe group la Maktaba Kuu kwa gharama ya Tsh 3000/=.

Ukinakili kazi zangu kumbuka kufanya acknowledgment.
Wako Mjoli wa Historia na diplomasia ya ulimwengu.

Ndimi: Comred Mbwana Allyamtu
Copyrights of this article reserved
written by Comred Mbwana Allyamtu
•Napatika Kwa mawasliano
Comred Mbwana Allyamtu

Kwa Tanzania
+255679555526 (WhatsApp).
+255765026057.
Email- mbwanaallyamtu990@gmail.com

Copyright 2022, All Rights Reserved.

Maktaba Kuu.
______________________
View attachment 2436681View attachment 2436680View attachment 2436682View attachment 2436685View attachment 2436684View attachment 2436683View attachment 2436686View attachment 2436687View attachment 2436688View attachment 2436689View attachment 2436691View attachment 2436690
Ninakubaliana nawe mkuu.

Hakuna wa kuiangusha Marekani ila Marekani yenyewe, na tuseme tu kuwa kwa sasa Marekani iko katika mchakato wa kuanguka, moja ya ishara hizo ni kuondoka Afghanistan 🇦🇫 2021 kuwaacha Taaliban wakishika hatamu.
 
Back
Top Bottom