Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Confirmed: Jezi mpya za Simba SC msimu wa 2021/2022

Ziwe nzuri au mbaya ila njoo apa Makoroboi Mwanza niku uzie 9000 kwa bei ya jumla.
 
Nawashangaa sana watu wanaoshangaa na kushadadia eti jezi za Simba SC zilivuja, wakati ni jambo la kawaida tu. Huko Duniani ambapo soko la mpira lilipo, jezi zao huwa tunafahamu zinakuwaje kabla hata hazijathibitishwa. Ni kawaida hata sioni cha ajabu hapo.
 
Back
Top Bottom