Confession: Juu ya kulala na wake za watu

Confession: Juu ya kulala na wake za watu

mke wa mtu ni sumu, kaa mbali na wake za watu kwa ustawi wako, yasije yakakukuta yakukukuta ikawa stori kubwa mitandaoni
 
Zamani mtu akifumaniwa na mke wa mtu kesi inaitwa ya ugoni kisha pesa inadaiwa kesi inaisha ila siku hizi sijui kwanini watu wanataka sehemu za siri za nyuma za mwanaume zihusike kwenye kesi
Ufirauni tu, hivi mwanaume unapata wapi ujasiri wa kukaza makebo kumwaga kwa mwanaume mwenzio kama sio ushoga
 
Jitahidi usiwe unalala nao majumbani kwao, tafuta lodge za mbali na wanapoishi na uwe unabadilisha lodges mara kwa mara.

Kingine ukichukua mke wa mtu kwenda naye lodge acha maelekezo mapokezi achukue funguo aingie chumbani wewe ukiwa kwa mbali una scan mazingira kama dakika tano hivi ndio uingie kumfuata.

Pia usipende kumpakiza kwenye gari lako kwenda au kutoka naye lodge.
Daah wazoefu mnapeana mbinu kabisa
 
Zamani mtu akifumaniwa na mke wa mtu kesi inaitwa ya ugoni kisha pesa inadaiwa kesi inaisha ila siku hizi sijui kwanini watu wanataka sehemu za siri za nyuma za mwanaume zihusike kwenye kesi
Kijakazi
 
Acha uliwe matAko ndo utaacha ! Mke anauma sana....
Yani mtu anamhudumia mkewe kila kitu, kamlipia mahari alafu atokee mpumbavu mmoja aje amlale kirahisi tu ...... !

Kama umekiri kosa, nenda kwa kiongozi wa imani yako, msimulie akushauri zaidi uache huu upumbavu mara moja ! Ngono haina tuzo, huko unazoa mikosi na magonjwa tu
 
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
Namimi najuta kukuibia, mara kadhaa hujikuta nipo maeneo ya makazi yako ambapo hukutana na mkeo nyumbani kwa shoga yake, japo najutia lakini nashindwa kuacha, samahani jirani yangu.
 
Sio mzoefu ila sipendi tabia za fumanizi na kupaka watu mafuta, naona ni kukosa ustaarabu. Mtu akijua mwanamke wake anachepuka aachane naye tu kwa amani badala ya kuanza kuleta vurugu.
Mkuu Kila MTU ana mwisho wake wa hasira.
Kuna bwana mmoja jirani yake alikuwa anatoka na mkewe,yule bwana akaamua kumwacha mkewe akaoa mwingine.
Alipoletwa huyu jamaa akamdinya na huyu.
Akamwacha akaoa mwingine.Jirani akamtongoza na huyu,kwa bahati huyu alikuwa anajitambua akamwambia mumewe.
Jirani akawekewa mtego akanasa.Alichofanyiwa mh!.Alikimbia mji
 
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.

Duh. Hii kesi imeshakuwa ngumu.

Unaambiwa Jana Kuna mtu alishindwa kufanikisha ndoa yake kwa kumkuta Bi. Harusi na Ex wake wakigegedana siku Moja kabla ya Ndoa Takatifu kufungwa.

Leo tena Mume wa mtu aliyefunga ndoa, anajipigia tu wake za watu waliopo kwenye ndoa zao, wengine wajawazito na wengine siyo wajawazito.

Mimi naomba kuuliza Kwa wanawake, hivi tatizo huwa ni Nini hadi kulala na Ex wako siku Moja kabla ya Ndoa na pia kulala na Mwanaume mwingine baada ya kuolewa????
 
Usijali mkuu maana hata mke wako anachapwa kisiri siri bila hata wewe kujua pia kama unavo fanya wewe na kuwa msiri kwake 😎
 
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
Dhambi huwa inatabia ya kushtaki nafsi utajiona waajabu tu na hufai, tubu mkuu ili uanze maisha mazuri ya kumpendeza Mungu
 
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
Ushauri wangu tembea nafuta jingi
 
Back
Top Bottom