Confession: Juu ya kulala na wake za watu

Confession: Juu ya kulala na wake za watu

Mambo unayoyasikia na kuyaona mtandaoni kuhusu wake za watu yamkini unaona ni theories tu. Hata wale waliowahi kufanyiwa ukatili unaona kama vile hawakuwa smart. Sikiliza ewe mwanaume mpumbavu, hata wale waliofumaniwa walikuwa wanajiamini kama wewe.

Huwezi kunielewa kwa sasa ila ikitokea umekamatwa, ukiwa upo ktk kipigo ama unarekodiwa video ndipo utajua ulichofanya ni upuuzi mkubwa wa hali ya juu sana, na hizo taarifa zitafika kwa mkeo na watoto wako pia. Hapo utajiona kuwa wewe ni mjinga zaidi, na wengi wenu mnaishia kujiua au kukimbilia familia zenu mkishafumaniwa ama kurekodiwa video.

Soma tena hii comment, rudia kuisoma tena hasa paragraph ya pili.
 
Ubaya au wema ni kama mbegu kama ukiupanda jua kuna siku utavuna hata kama sio leo wala kesho.
 
Siku ya kikukuta ndo hakiri itakukaa sawa hata ushauri hautakuja kuomba humu utajishauli mwenyewe c

Epuka sana kuingia ndani kwa watu hiyo ni dharau mara 2 bora hata umeenda lodge
 
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
Indeed unahitaji .msada wa kiroho
Si unaona mwenyewe umeshindwa kuacha na inakusumbua?

Sitaki mambo ya pm chek na watumishi wa Mungu wakusaidie wapo kibao
 
Kabisa mkuu, ni heri kuwa na mwanamke wa pembeni kuliko mke wa mtu hasa wewe ukijikua kabisa una mke nyumbani. Yamkini stori za watu kuuliwa na kubakwa anachukulia utani tu.
Sahihi sana isitoshe wanawake ambao sio wake za watu ni wengi sana mtaani, mwana kulitafuta huyo..... Ni suala la muda tu atalipata.
 
Kwa nini unataka kuacha? Unaonekana uko proud na unachokifanya
Hapana am tired..

Nafahamu sifanyo kitu kinachofaa jambo moja ni kwanini naendelea...Jana tu nimeistablish uhusiano mpya na nikawa najiuliza nitaendelea hivi mpaka lini na kwanini wake za watu.

Am truly tired of this shit.
 
Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
kujua tatizo ni hatua nzuri sana ila kwa ushauri focus na familia ako ondoa mazoea yoyote yanayochochea mahusiano na wake za watu umesema mazoea ndo yanachochea ondoa mara moja na mbakize mahusiano ya kikazi na kijamii ushauri wangu ACHA MARA MOJA ukiendelea hautapost HUTAPOSTIWA
 
Hapana am tired..

Nafahamu sifanyo kitu kinachofaa jambo moja ni kwanini naendelea...Jana tu nimeistablish uhusiano mpya na nikawa najiuliza nitaendelea hivi mpaka lini na kwanini wake za watu.

Am truly tired of this shit.
MUNGU wa mbinguni akusaidie mkuu umeonesha hamu ya kuacha hii kitu kwa kuanza mblock uyo uliyeanza mahusiano mapya na mpotezee kabisa
 
Back
Top Bottom