Confession: Juu ya kulala na wake za watu

Confession: Juu ya kulala na wake za watu

Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.

Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..

Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..

Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..

Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.

Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..

Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.

Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.

Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.

Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
Kuna mwaba mwingine nae anaruka na mkeo kama wewe unavyo ruka na wake wa wenzio, usio, usikute nanakula mpaka ndogo
 
Aisee🤣🤣🤣 tena uswazi ndo zao hizoo..
😆Just imegine nilikuwa ugenini sina kampani zangu nikitoka job chap kuwahi geto nishike pc nicheki movie. Sasa mji una joto kinyama, bila feni hukai ndani siku moja umeme umekatika na karibu nyumba nzima wametoka.

Si nikamkuta mke mmoja wa mpangaji kafungua mpango eti joto kalala mlangoni kueleka kwenye korido kifua wazi kanga imeanzia kiunoni. Halafu ni binti ndoa bado changa bado hajazaa na ni mbichi.

Mchana wenyewe nilibadili ratiba kurudi, na job walipokuja kuniambia mji umeoza wameungua wengi. Nilishtuka kabisa
 
Wakati unajisifia kwenda kumla mke wa mtu kwenye nyumba yake na mumewe, jua kwamba na mkeo Kuna mwamba anakuja kumdinyia kwenye Kitanda chenu wewe ukiwa umeenda huko

Anyways, hakuna tuzo kwenye Uzinzi

Sisi kiimani, unakuwa umetenda dhambi 2 kwa pamoja

✓Uzinzi (amri ya 6)
✓Kutamani mke wa jirani yako (amri ya 9)

Mpende mkeo, kama umeona hakupi vile unapewa nje Anza kumfundisha
 
Wakati unajisifia kwenda kumla mke wa mtu kwenye nyumba yake na mumewe, jua kwamba na mkeo Kuna mwamba anakuja kumdinyia kwenye Kitanda chenu wewe ukiwa umeenda huko

Anyways, hakuna tuzo kwenye Uzinzi

Sisi kiimani, unakuwa umetenda dhambi 2 kwa pamoja

✓Uzinzi (amri ya 6)
✓Kutamani mke wa jirani yako (amri ya 9)

Mpende mkeo, kama umeona hakupi vile unapewa nje Anza kumfundisha
Kutembea na mke wa mtu kunafanya mke kupunguza mambo mengi sana kwa mumewe. Na hapo ndipo mwanaume anaanza kuwa na presha, mara kisukari nk so ni kama kuwahisha kifo cha mwanaume mwenzio.
 
Kutembea na mke wa mtu kunafanya mke kupunguza mambo mengi sana kwa mumewe. Na hapo ndipo mwanaume anaanza kuwa na presha, mara kisukari nk so ni kama kuwahisha kifo cha mwanaume mwenzio.
Sahihi kabisa, kwaninini ulale na mke wa mtu wakati wanawake wasioolewa wamejaa tele

Binafsi sina kumbukumbu kama nimewahi kulala na mke wa mtu, labda iliwahi kutokea pasipo kujua
 
Wakati unajisifia kwenda kumla mke wa mtu kwenye nyumba yake na mumewe, jua kwamba na mkeo Kuna mwamba anakuja kumdinyia kwenye Kitanda chenu wewe ukiwa umeenda huko

Anyways, hakuna tuzo kwenye Uzinzi

Sisi kiimani, unakuwa umetenda dhambi 2 kwa pamoja

✓Uzinzi (amri ya 6)
✓Kutamani mke wa jirani yako (amri ya 9)

Mpende mkeo, kama umeona hakupi vile unapewa nje Anza kumfundisha
Mkuu wife ananipa kila ninachotaka
 
Mkuu wife ananipa kila ninachotaka
Kama unapewa na mke Kila huduma, basi hakuna haja ya wewe kumsaliti

Kitendo cha kumsaliti unamtengenezea mkeo sababu ya yeye naye kuanza kukusaliti ili kukulipishia

Mwisho wa siku, mtajikuta wote mnakuwa wagonjwa, mwisho wa siku mnakuja kuwaacha watoto wenu wakiwa mayatima
 
Kama unapewa na mke Kila huduma, basi hakuna haja ya wewe kumsaliti

Kitendo cha kumsaliti unamtengenezea mkeo sababu ya yeye naye kuanza kukusaliti ili kukulipishia

Mwisho wa siku, mtajikuta wote mnakuwa wagonjwa, mwisho wa siku mnakuja kuwaacha watoto wenu wakiwa mayatima
Ahsante kwa ushauri
 
Mungu akubariki sana iwapo utaamua kubadirika
Kile kitendo cha kuandika tu hapa..Nimeuona moyo ukipata nguvu tena ya kusimama na kuachana na hili jambo..

Nimejifunzq uzinzi ni addiction mbaya sana inayotumika na adui haswa ukizingati Mazingira yangu ya kuvutia zaid wake za Watu ndo ukakasi kabisa maana wasio olewa na single mother nilikuwa nawakwepa mno.

Ila Kwa ujasiri sana nasema Basi imetosha..

Maana nusu ya hawa walikuwa wananitumia kama nyenzo ya kulipa visasi kwa waume zao..

Linalonipa shida na hapa nitatumia jitihada ya ziada ni kwa wale ambao feelings za kimahusiano zilianzishwa.

Hawa wakutaka tu one time stendi hakika wanavumilika..

Na hii iwaendee waume za watu walioko humu pia..Wake zenu wengi wanatoka sana nje ya ndoa kwa kigezo cha migogoro na wengine kutopewa mapenzi inavotakiwa.
 
BWANA akutie nguvu... kama umeamua kuacha kweli, kuna Daudi... alitubu na kuacha serious hata alipokuwa mzee akawa anapewa joto na binti lakini hakurudia tena¡
 
Kile kitendo cha kuandika tu hapa..Nimeuona moyo ukipata nguvu tena ya kusimama na kuachana na hili jambo..

Nimejifunzq uzinzi ni addiction mbaya sana inayotumika na adui haswa ukizingati Mazingira yangu ya kuvutia zaid wake za Watu ndo ukakasi kabisa maana wasio olewa na single mother nilikuwa nawakwepa mno.

Ila Kwa ujasiri sana nasema Basi imetosha..

Maana nusu ya hawa walikuwa wananitumia kama nyenzo ya kulipa visasi kwa waume zao..

Linalonipa shida na hapa nitatumia jitihada ya ziada ni kwa wale ambao feelings za kimahusiano zilianzishwa.

Hawa wakutaka tu one time stendi hakika wanavumilika..

Na hii iwaendee waume za watu walioko humu pia..Wake zenu wengi wanatoka sana nje ya ndoa kwa kigezo cha migogoro na wengine kutopewa mapenzi inavotakiwa.
Nawe chunga sana mkeo asiwe mmoja wapo wa kugawa utamu kwa kigezo Cha huduma ama kukosa tendo

Japo ni vigumu kumridhisha mwanamke

Tuishi nao kwa akili
 
Back
Top Bottom