Huyu Ndiye
Member
- Jan 23, 2026
- 58
- 130
Ukiendelea na hiyo tabia, ipo siku utajiona lile linyama linatoka kule nyuma na utakuwa huwezi kukaa chini muda mrefu zaidi ya kulala tu, na unakuwa chakula cha watu.
Mkuu una watoto kadhaa kama ulivyosema.Naamini wa kiume wapo.Kwa mujibu wa Imani yangu ambayo hapa sitoitaja,naloaamini ni hili,hiyo tabia huenda imetoka huko kwa babu wa mababu.Sasa omba sana isiende kwa watoto wala wajukuu wako.Nimeona umejisikia vibaya juu ya matendo hayo.Unaweza usipate baya lolote kwa sasa,ila kijana wako akaja akatenda hayo akaishia kubaya.Malipo ya dhambi hii ni MAUTI.Badilika mkuu.Wale wa imani ya kihindu wanasema KARMA haijawahi acha mtu salama.Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.
Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..
Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..
Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..
Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.
Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..
Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.
Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.
Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.
Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
mwanaume abakwi anafirwa au kulawitiwaKabisa mkuu, ni heri kuwa na mwanamke wa pembeni kuliko mke wa mtu hasa wewe ukijikua kabisa una mke nyumbani. Yamkini stori za watu kuuliwa na kubakwa anachukulia utani tu.
Acha tu kama ulivyoanza, ukishindwa kuna siku atatokea mume wa mtu atakuwezesha kuacha.Lengo la hii Confession hii ni kuhitaji msaada namna ya kuachana nabhii tabia maana imekuwa hatari sana kwangu na sivutiwi tena.
Mimi ni mume wa Mke mmoja na Tumebahatika Watoto kadhaa..Hatujawahi kuwa na magomvi yoyote yanayohusu mahusiano baina yangu Mimi na Mke na Mke wangu..
Naishi Mkoa wa Katikati ya nchi..Mpaka sasa nimelala na wake za watu wasio pungua 12..
Kuna wale niliolala nao wakiwa wajawazito..Hapa wengine nilijua wengine sikujua kuwa waja wazito. Kuna waajaliwa na ambao sio waajaliwa..
Nusu ya hawa sex ilifanyika kwenye nyumba zao haswa Sebleni.
Kuna wake wa Police,Bankers na wafanya biashara wakubwa..Mimi pia ni Mtumishi issue inayonipa changamoto ni kuwa nikiweka ukaribu wangu tu sijawahi kataliwa ..
Kuna wakati wengine nimelala kwenye majumba yao kwasababu ya ratiba za ubusy wa wauke zao.
Hizi siku tatu mfululizo nimefululiza kulala nao mpka nimeona kero .Naona namkosea Mke wangu japo hajui lolote.
Nahitaji msaada wa kiushauri hata wa kiroho wakuu.
Yapo mengi nitazidi kuyaandika kwenye comment.
Endelea tu mkuu unachokifanya ni kizuriHapana am tired..
Nafahamu sifanyo kitu kinachofaa jambo moja ni kwanini naendelea...Jana tu nimeistablish uhusiano mpya na nikawa najiuliza nitaendelea hivi mpaka lini na kwanini wake za watu.
Am truly tired of this shit.
Kama imetokea wamependana afanyaje sasa?! Wanawake wengine huwa wanaolewa kwa sababu ya pesa tu au presha lakini hawana mapenzi kabisa na waume zao.Kumtomba mke wa mpambanaji mwenzako ni jambo baya sana; si suala la matokeo yatakuwaje, bali ni suala la heshima na mipaka
Fikiria wewe unaenda kupambana, kujitafuta na kujenga maisha, halafu nyuma yako mwanaume mwenzako anakutombea mkeo
Hata kama mke wake ni malaya na au anakushobokea ni suala la heshima na mipaka
Atleast mtombee binti yake au beki tatu wake ila kwa mke umevuka mipaka
Unapataje raha kutomba mke wa mtu? Jitahidi uwe unabeba mafuta ya nazi next time
Amwambie huyo mwanamke atafute talaka kwa mumeweKama imetokea wamependana afanyaje sasa?! Wanawake wengine huwa wanaolewa kwa sababu ya pesa tu au presha lakini hawana mapenzi kabisa na waume zao.
Unaona anachokifanya ni sawa wewe kila anayekupenda anakut*mbaKama imetokea wamependana afanyaje sasa?! Wanawake wengine huwa wanaolewa kwa sababu ya pesa tu au presha lakini hawana mapenzi kabisa na waume zao.
Wanaume wengine wabishi kumuachia mwanamke waliyeoa, unakuta huyo mwanamke akijaribu kutamka talaka anaweza kupoteza hata maisha.Amwambie huyo mwanamke atafute talaka kwa mumewe
Wakishatalikiana na mumewe hapo sasa yeye atakuwa huru kumtomba
Na sio kumtomba tu na kumuoa kabisa ili wafurahie mapenzi wakiwa huru
Bado nausia 'Za mwizi ni 60 toa 20'Jitahidi usiwe unalala nao majumbani kwao, tafuta lodge za mbali na wanapoishi na uwe unabadilisha lodges mara kwa mara.
Kingine ukichukua mke wa mtu kwenda naye lodge acha maelekezo mapokezi achukue funguo aingie chumbani wewe ukiwa kwa mbali una scan mazingira kama dakika tano hivi ndio uingie kumfuata.
Pia usipende kumpakiza kwenye gari lako kwenda au kutoka naye lodge.