Clouds TV na propaganda ya vita kisiasa

Clouds TV na propaganda ya vita kisiasa

Kwa upande wangu mimi wanakosea uwaonesha wapinzani. Je kesho itokee upinzani unachukua dola. Ni risk kwao kwa cku za mbele. Watangaze uzalendo bila kunyoosha vidole kwa watu fulani.

Mkuu tushaanza kupata picha ya jeuri yao,rumours zinasema imeuzwa clouds media kwa Rostam Aziz wa CCM!!

Alianza kuinunua Habari Corporation ya kina Ulimwengu,akamalizia na channel ten na ndugu zake Magic fm na DTV na sasa haishangazi kusikia Clouds Media kainunua!!!
 
Chama cha mapepo (ccm); na cha yule mujahdina fahmi dovutwa: updp

Mkuu Fahmi Dovutwa na Hashimu Rungwe waligombea uraisi kwa hisani ya CCM kwa kugawa kura huku wakisaidia mashambulizi ya CCM dhidi ya Slaa na kuthibitisha hilo waangalie kwenye bunge la katiba na kundi lao 201 wateule wa raisi,angalia michango na misimamo yao,hawapo UKAWA!!!

Kundi kubwa la wanasiasa ni wachumia tumbo na wala sio uzalendo,wapo radhi kutumika kwa umamluki!!!
 
Mimi napenda sana mtu anayepata fursa na kuitumia vyema mradi tu asiwe amekwiba, amepokonya, amedhulumu au amehonga. Kwa ufahamu wangu mdogo, Clouds na wamiliki wake wanapopata nafasi/fursa huitumia vyema naamini kama siyo uzoefu wao waliotoka nao Marekani, (Kusaga na Ruge) ungekuta nao wamedhorora kabisa. Mleta mada nadhani unachuki binafsi au ya kichama au kisiasa, kumbuka Kiongozi wangu Freeman Mbowe alianzia maisha wapi na alitumiaje fursa kufikia hapo alipo!! usitake kuniambia alirithi tu basi akawa na maendeleo aliyo nayo la hasha alijikwamua, akatumia fursa akatumia watu aliowajua akafika na ataendelea kukwea ukwasi zaidi na zaidi. We baki ukiruka humu jamvini ukiwasemea wenye visemeo uone kama hutabki ulipo mpaka mwisho wa dhahari.

Nawasihi Clouds msichoke kufanya mnayoona yanafaa mradi tu msivunje sheria za nchi, msivuruge amani au uchochezi wa kisiasa. Kweli isemwe kweli uongo isemwe uongo. Kumbukeni kila media house ina sera zake (house policy) hivyo msijali kabisa kwa hili la mleta mada. Mfano mdogo wa kumalizia, hata siku moja Tanzania Daima haitatoa stoty au makala ya kumsema vyema Kikwete au ccm au kumsema vibaya Mbowe na Chadema, vivyo hivyo kwa uhuru na ccm na wengine wengi kila mmoja na mrengo wake.

Tufanye kazi tusitegemee chama fulani kitakuletea chakula mdomoni na kukumezesha ahaaa
 
kwan Broadcasting Act of 1993 inasemaje juu ya radio au Tv zilizo na mrengo flani wa kisiasa..mie naamin clouds Media group ni chombo binafsi na wanahaki yakutangaza chochote ilimradi awafunji sharia za usimamizi wa radio na Tv..ni kama leo mtu alalamike kuwa Tanzania Daima linaandika habari negative tuu za selikali wakati sio kinyume cha sharia ya magazeti ya mwaka 1976 ....ifike mahali tuache kutafuta visababu vya kijinga vya kushuka mvuto kwa chama chetu kwani wanaoangamiza Chadema ni viongozi wetu wa kitaifa na sio clouds Tv ambayo wananchi wengi awaijui.....then uombe radhi kwa kuombea machafuko kutokea nchini
 
tatizo vijana wabongo wapo busy mitandaoni instead kuwa busy kwa kazi zitakazowapa good future.achaneni na siasa.

unaisi nani afanyi kazi wewe pimbi..watu wanakaz za kulisha ukoo wako wote mpk mzeeke
 
Mkuu Pasco analytical yako Nzuri lakini bahati mbaya nusu yake ni biased na naamini kwa makusudi!!!
Mkuu Moudy Boka, nakubaliana na wewe, ila kwenye kitu kinachoitwa opinion, ukiisha kuwa negative, unapoteza vision na focus hivyo kila atakayekuambia ukweli, utamuona yuko biased!.
Pasco ipo wazi kuwa waandishi wengi wa habari mnajipendekezaga kwa watawala/wanasiasa wa chama kilichopo Madarakani kwa kutumika kutetea au kupotosha kwa zile brown envelopes
Hili la waandishi kujipendekeza, nalikubali na nakushukuru umesema wengi, ukimaanisha sio wote, japo na mimi umeniweka humo kwenye kundi la waandishi vimbelembele na kujikomba komba, kwa vile mimi najifahamu fika jinsi nilivyo independent, kwa kuusema ukweli kuhusu CCM ndio nionekane najipendekeza, hili halinitatizi kabisa!, kwa vile bado nipo na naendelea na kazi, huko nyuma kazi zangu zilisimama zenyewe, na tunakokwenda zitasimama wanaojua objectivity, impartiality, fairness and balance, watasimama na mimi!.
kujipendekeza ili mpate ukuu wa wilaya na mfano wa wakuu wa wilaya waandishi wa habari makada unawafamu vizuri sana na pia najua unafahamu fika Salva wa Ikulu kafikaje pale kwa hiyo sishangai unapojivika upogo!!!!
Hili pia nakubaliana na wewe, na la Salva pia nalikubali, ila pia sio kweli, ni waandishi wote wanaoumind u DC, japo ni kazi ya heshima, gari ya bendera na mshahara mnono sana wa TZS 2,000,000 plus!.
Kuna waandishi wa aina 3.
  1. Wale waliokosa cha kufanya, hivyo kukimbilia uandishi kwa vile hawana jinsi, na humu ndimo wanakoibukiaga waandishi wanaitwa "makanjanja!".
  2. Waandishi waliosomea uandishi kama kazi, carrier, hawa wanakuwa waandishi wapate pesa waendeshe maisha, wakipata greener pasture kama u DC, wanakuwa more than happy!.
  3. Kuna waandishi wa wito, hawa money is not the motive, unaweza kukuta walisomea vitu vingine vyenye kulipa zaidi, lakini wanafanya uandishi just for the love of it!, hawa hata ukiwapandisha cheo wawe wahariri wakae desk, hawataki ndio itakuwa U DC?!. Mimi Pasco wa jf, nafanya uandishi for the love of it!.

Kuwa kada wa chama isitupofushe uzalendo na kuunga mkono vitu vinavyoleta ubaguzi kisa chombo binafsi,mtazamo binfsi au chama pinzani kwa media inayogusa umma!! Tangazo hilo halina tofauti kimaudhui na yale ya TBC yanayoshamiri wakati ya uchaguzi yakihusisha ujumbe kuwa kuchagua upinzani ni kuleta vita huku wakionyesha vita na mauaji ya nchi jirani zenye migogoro ya vita!!!
Pasco wa jf sio tuu sio kada wa chama, bali sio mwanachama wa chama chochote!, tatizo langu humu jf, wengi ni wanachama, wafuasi au mashabiki wa vyama, ila wengi kutokana na kukatishwa tamaa na CCM, wame take refuge kwenye vyama vya upinzani with high hopes kuwa CCM itaangushwa!, mimi kama mwandishi mkweli, yaani realist na sio wishful thinker, huwa nawaambia ukweli mchungu kuwa katika suala la kushika dola, wapinzani bado, hivyo 2015 ni CCM tena!, kauli hizi za ukweli mchungu zinawafanya wengi wanione kama kada!.

Pasco
 
Mimi napenda sana mtu anayepata fursa na kuitumia vyema mradi tu asiwe amekwiba, amepokonya, amedhulumu au amehonga. Kwa ufahamu wangu mdogo, Clouds na wamiliki wake wanapopata nafasi/fursa huitumia vyema naamini kama siyo uzoefu wao waliotoka nao Marekani, (Kusaga na Ruge) ungekuta nao wamedhorora kabisa. Mleta mada nadhani unachuki binafsi au ya kichama au kisiasa, kumbuka Kiongozi wangu Freeman Mbowe alianzia maisha wapi na alitumiaje fursa kufikia hapo alipo!! usitake kuniambia alirithi tu basi akawa na maendeleo aliyo nayo la hasha alijikwamua, akatumia fursa akatumia watu aliowajua akafika na ataendelea kukwea ukwasi zaidi na zaidi. We baki ukiruka humu jamvini ukiwasemea wenye visemeo uone kama hutabki ulipo mpaka mwisho wa dhahari.

Nawasihi Clouds msichoke kufanya mnayoona yanafaa mradi tu msivunje sheria za nchi, msivuruge amani au uchochezi wa kisiasa. Kweli isemwe kweli uongo isemwe uongo. Kumbukeni kila media house ina sera zake (house policy) hivyo msijali kabisa kwa hili la mleta mada. Mfano mdogo wa kumalizia, hata siku moja Tanzania Daima haitatoa stoty au makala ya kumsema vyema Kikwete au ccm au kumsema vibaya Mbowe na Chadema, vivyo hivyo kwa uhuru na ccm na wengine wengi kila mmoja na mrengo wake.

Tufanye kazi tusitegemee chama fulani kitakuletea chakula mdomoni na kukumezesha ahaaa

Kwa mtu makini ambae kashawahi kuliona hilo tangazo hawezi kulipigia upatu,lione kwanza then utafakari,pia soma wachangiaji utaona kuwa inasemekana imeuzwa kwa Rostam Aziz then connect dots!!!
 
Hii nimeinasa sehemu pia.......ingawa tetesi mwanzo zilikuwa ni Manji

Mkuu Mtazamo ni Rostam strategiest wa Mamvia Jose alipewa pesa ya kufa mnyama na exist strategy ni Dubai lakini waatalam pia wanasema yawezekana amesoma alama za nyakati coz tayari aliyaonyesha mapenzi ya dhati na JK na familia na CCM ikitokea akaingia EDO au CDM watakuwa mavini.
 
umeona wanachoandika tanzania daima lakini kama kweli wewe ni mzalendo wa kweli.
 
Mkuu Moudy Boka, nakubaliana na wewe, ila kwenye kitu kinachoitwa opinion, ukiisha kuwa negative, unapoteza vision na focus hivyo kila atakayekuambia ukweli, utamuona yuko biased!.

Hili la waandishi kujipendekeza, nalikubali na nakushukuru umesema wengi, ukimaanisha sio wote, japo na mimi umeniweka humo kwenye kundi la waandishi vimbelembele na kujikomba komba, kwa vile mimi najifahamu fika jinsi nilivyo independent, kwa kuusema ukweli kuhusu CCM ndio nionekane najipendekeza, hili halinitatizi kabisa!, kwa vile bado nipo na naendelea na kazi, huko nyuma kazi zangu zilisimama zenyewe, na tunakokwenda zitasimama wanaojua objectivity, impartiality, fairness and balance, watasimama na mimi!.

Hili pia nakubaliana na wewe, na la Salva pia nalikubali, ila pia sio kweli, ni waandishi wote wanaoumind u DC, japo ni kazi ya heshima, gari ya bendera na mshahara mnono sana wa TZS 2,000,000 plus!.
Kuna waandishi wa aina 3.
  1. Wale waliokosa cha kufanya, hivyo kukimbilia uandishi kwa vile hawana jinsi, na humu ndimo wanakoibukiaga waandishi wanaitwa "makanjanja!".
  2. Waandishi waliosomea uandishi kama kazi, carrier, hawa wanakuwa waandishi wapate pesa waendeshe maisha, wakipata greener pasture kama u DC, wanakuwa more than happy!.
  3. Kuna waandishi wa wito, hawa money is not the motive, unaweza kukuta walisomea vitu vingine vyenye kulipa zaidi, lakini wanafanya uandishi just for the love of it!, hawa hata ukiwapandisha cheo wawe wahariri wakae desk, hawataki ndio itakuwa U DC?!. Mimi Pasco wa jf, nafanya uandishi for the love of it!.


Pasco wa jf sio tuu sio kada wa chama, bali sio mwanachama wa chama chochote!, tatizo langu humu jf, wengi ni wanachama, wafuasi au mashabiki wa vyama, ila wengi kutokana na kukatishwa tamaa na CCM, wame take refuge kwenye vyama vya upinzani with high hopes kuwa CCM itaangushwa!, mimi kama mwandishi mkweli, yaani realist na sio wishful thinker, huwa nawaambia ukweli mchungu kuwa katika suala la kushika dola, wapinzani bado, hivyo 2015 ni CCM tena!, kauli hizi za ukweli mchungu zinawafanya wengi wanione kama kada!.

Pasco

Mkuu Pasco asante kwa kukili uwepo wa waandishi wengi makanjanja na hadi ukaamua kutusaidia kuwa-categories na kukili pia wengi wanatumika na wanasiasa/watawala isipokuwa wale wachache ambao they don't do it for green pasture,they do it for love ukiwemo wewe ambae umeshawahi kuparamia miti pale makaburi ya kinondoni kwenye mazishi ya jaji fulani ili upate angle Nzuri ya kumpiga Lowasa halafu ukatuletea hapa na updates!!

Naomba nikuulize swali dogo tu Mkuu,umeshalitazama Tangazo hilo ukiwa sober na ukaafiki uthabiti wake???!!!
 
Kwa mtu makini ambae kashawahi kuliona hilo tangazo hawezi kulipigia upatu,lione kwanza then utafakari,pia soma wachangiaji utaona kuwa inasemekana imeuzwa kwa Rostam Aziz then connect dots!!!

sijaona shida ya tangazo lile unalielewa vipi kutokana na uelewa wako.
 
umeona wanachoandika tanzania daima lakini kama kweli wewe ni mzalendo wa kweli.

Mkuu me nasoma -----,Raia Mwema,Tanzania Daima,Mwanaspoti na mara chache Mwananchi!!

Swali lako naamini linalihusu gazeti la Jambo leo la kina Juma Pinto na prince huku waandishi wa Makala wakiwemo wakina William Malecela a.k.a Le mutuz le baharia!!!!
 
Ngoja hii nchi tupate uhuru 2015 tunakifunga hiki kituo cha ccm
 
Mkuu Pasco asante kwa kukili uwepo wa waandishi wengi makanjanja na hadi ukaamua kutusaidia kuwa-categories na kukili pia wengi wanatumika na wanasiasa/watawala isipokuwa wale wachache ambao they don't do it for green pasture,they do it for love ukiwemo wewe ambae
  1. umeshawahi kuparamia miti
  2. pale makaburi ya kinondoni
  3. kwenye mazishi ya jaji fulani
  4. ili upate angle Nzuri ya kumpiga Lowasa
  5. halafu ukatuletea hapa na updates!!

Naomba nikuulize swali dogo tu Mkuu,umeshalitazama Tangazo hilo ukiwa sober na ukaafiki uthabiti wake???!!!
Boka,
  1. Sijawahi kuparamia miti popote!
  2. Sijawahi kuparamia miti makaburi ya Kinondoni!
  3. Sikumbuki kuhudhuria mazishi ya jaji yoyote Kinondoni!
  4. Sijawahi kuhitaji kumpiga picha EL popote!
  5. Sijawahi muleta update coyote humu jf kumhusu EL!.
Na mwisho, its very unfortunately hula siangalii Clouds TV, hivyo tangazo sijaliona ila nimejibu very generally kuwa Clouds Radio wanafanya kazi nzuri ya kupigiwa mfano, uzuri au ubaya wa tangazo fulani ni perception, ukiisha kuwa na negative atitude kuhusu kitu fulani, unakosa clear vision ba badala yake unakuwa na blurred vision. Nikiliona kama ni kweli linasifa negative hizo ulizozitaja, nitarudi humu na kuomba sorry.

NB. Mimi ni miongoni wa wana jf tuliojitanabaisha wazi kumkubali EL!, kumkubali hakuna maana ni mfuasi!, kuwa mfuasi ni wa kuwa follower!, kumkubali ni accepting!, ukiwa ni follower unakuwa ni follower wa huyo huyo mmoja, lakini kumkubali ni zaidi ya mmoja, yaani namkubali EL ndani ya CCM, nankubali ZZK ndani ya Chadema, namkubali Jussa ndani ya CUF, namkubali Kafulila ndani ya NCCR Mageuzi etc!.

Pia nillisha wahi kuhudhuria mazishi fulani, nikatafuta picha fulani!, nikaparamia kitu fulani, sio makaburi ya Kinondoni, Sio picha ya EL na sio kuparamia mti!.

Pasco
 
Boka,
  1. Sijawahi kuparamia miti popote!
  2. Sijawahi kuparamia miti makaburi ya Kinondoni!
  3. Sikumbuki kuhudhuria mazishi ya jaji yoyote Kinondoni!
  4. Sijawahi kuhitaji kumpiga picha EL popote!
  5. Sijawahi muleta update coyote humu jf kumhusu EL!.
Na mwisho, its very unfortunately hula siangalii Clouds TV, hivyo tangazo sijaliona ila nimejibu very generally kuwa Clouds Radio wanafanya kazi nzuri ya kupigiwa mfano, uzuri au ubaya wa tangazo fulani ni perception, ukiisha kuwa na negative atitude kuhusu kitu fulani, unakosa clear vision ba badala yake unakuwa na blurred vision. Nikiliona kama ni kweli linasifa negative hizo ulizozitaja, nitarudi humu na kuomba sorry.

Pasco

Hauhitaji kwenda kuliangalia, OP kalielezea jinsi lilivyo, hivyo mchango wako unahitajika ASAP.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom