MoPlan
JF-Expert Member
- Dec 31, 2011
- 907
- 661
- Thread starter
- #81
Boka,
Na mwisho, its very unfortunately hula siangalii Clouds TV, hivyo tangazo sijaliona ila nimejibu very generally kuwa Clouds Radio wanafanya kazi nzuri ya kupigiwa mfano, uzuri au ubaya wa tangazo fulani ni perception, ukiisha kuwa na negative atitude kuhusu kitu fulani, unakosa clear vision ba badala yake unakuwa na blurred vision. Nikiliona kama ni kweli linasifa negative hizo ulizozitaja, nitarudi humu na kuomba sorry.
- Sijawahi kuparamia miti popote!
- Sijawahi kuparamia miti makaburi ya Kinondoni!
- Sikumbuki kuhudhuria mazishi ya jaji yoyote Kinondoni!
- Sijawahi kuhitaji kumpiga picha EL popote!
- Sijawahi muleta update coyote humu jf kumhusu EL!.
NB. Mimi ni miongoni wa wana jf tuliojitanabaisha wazi kumkubali EL!, kumkubali hakuna maana ni mfuasi!, kuwa mfuasi ni wa kuwa follower!, kumkubali ni accepting!, ukiwa ni follower unakuwa ni follower wa huyo huyo mmoja, lakini kumkubali ni zaidi ya mmoja, yaani namkubali EL ndani ya CCM, nankubali ZZK ndani ya Chadema, namkubali Jussa ndani ya CUF, namkubali Kafulila ndani ya NCCR Mageuzi etc!.
Pia nillisha wahi kuhudhuria mazishi fulani, nikatafuta picha fulani!, nikaparamia kitu fulani, sio makaburi ya Kinondoni, Sio picha ya EL na sio kuparamia mti!.
Pasco
Shukrani Pasco kwa mchango wako na haswa paragraph 2 za mwisho japo hukutaka kueleza bayana lakini ni wazi inatosha kuonyesha unajulikana!!
Umekili hujawahi kuliona tangazo na kuwa umejibu kijumla jumla tu,Naamini unafahamu huu msemo "no research,no right to speak",generalization yako ya kunihukumu kuwa nina mtizamo wangu hasi on the making unaitoa wapi??!!
Pasco conclusion kwa kitu usichokiona utazani umekiona sio dalili au element ya ukanjanja??!! Au ndio weledi wenyewe for the love????!!!