deonova
JF-Expert Member
- Apr 22, 2013
- 742
- 420
Hapana Mkuu,Pasco ni. Mwandishi wa habari(mwenyewe anapenda aitwe mwandishi huru) ambae ana "unasaba" fulani na ukada wa CCM na pia wagombea fulani wa uraisi ukianza na Lowasa, ila Rutashobola utakua umempata ndugu yake Rugemarila wa clouds!!!
Pasco amegonga LIKE yenye hisia kali sana hii post yako mkuu.