Kitengo cha Propaganda CCM kuweni smart na Proffesional!

Kitengo cha Propaganda CCM kuweni smart na Proffesional!

Dumas the terrible

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2021
Posts
5,454
Reaction score
11,333
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kila chama cha Siasa hua na kitengo maalumu cha kutengeneza mbinu zao kuwakabia juu wapinzani wao,
Mbinu hizo hutumika kama tool ya kuanzisha au kuhamisha mijadala ya mhimu ili kutia wenge wapinzani wao wajichanganye na wao wapate point 3 za mhimu katika maswala mbali mbali,

Kwa hapa Tanzania Chama tawala Yaani CCM kitengo cha Propaganda kinafeli sana kila kinapoanzisha kampeni yake, sababu kubwa ni waandaji kua na akili ndogo ya kung'amua na kubaini nguvu ya wapinzani wao imetokana na Chemistry nzuri ya chama na wafuasi wao,

Mfano mdogo ni hii propaganda ya katibu & Co wa CHADEMA Heche kula hela za donation kutoka kwa wanachama naona kitengo cha Propaganda kutoka CCM wamekivalia njuga na ajabu wote wanatumia style moja kuisambaza yaani ni kama imeratibiwa na mtu na wao kupewa scrip kiasi ambacho kinaitoa kwenye uhalisia na kuonekana ni cheap Propaganda,

Nashauri kwa Chama kikubwa kama CCM andaeni watu smart wa kutengeneza script nzuri ambayo itakua na hoja nzito za kuwakabia juu wapinzani wenu kama wao wanavyo wakabia juu
Kuliko kuandaa kitu kinachostukiwa na wapinzani kirahisi,
Tatizo la CCM ni kutumia watu wale wale kuandaa badala ya kua wabunifu kama wenzenu,

Nimalize na hili kuweni smart kuweka chambo kwenye shimo la nyoka maana ukitia mkono utaupanda mwili wako sumu!
 
Screenshot_20260117-171041~2.png
 
Propaganda zao hata azieleweki yani ni kuchezea pesa.
Tatizo lao wanawaachia watu waliofilisika akili ndio wawape mbinu hilo ni bomu licha ya kua ni Chama ambacho wengi wanakichukia wangekua wanafanya vitu smart tungesema angalau ila sasa hawana chemistry nzuri baina yao na wafuasi wao yaani kuitetea CCM ki hoja ni ngumu kutokana na mazingira wanayojiweka!
 
Propanda kidogo walikuwa wanaziweza kina Mzee Kinana. Huyu Mchambawima High School na yule mfoji vyeti kichwani watupu hadi sio poa
Sure enzi zile CCM yenyewe ndani ilikua ya Moto wao wenyewe walikua na upinzani ndani ya chama kiasi ambacho kilileta challenge kubwa nadhani ile spirit iliisha 2015 baada ya hapo ni uchawa tu!
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kila chama cha Siasa hua na kitengo maalumu cha kutengeneza mbinu zao kuwakabia juu wapinzani wao,
Mbinu hizo hutumika kama tool ya kuanzisha au kuhamisha mijadala ya mhimu ili kutia wenge wapinzani wao wajichanganye na wao wapate point 3 za mhimu katika maswala mbali mbali,

Kwa hapa Tanzania Chama tawala Yaani CCM kitengo cha Propaganda kinafeli sana kila kinapoanzisha kampeni yake, sababu kubwa ni waandaji kua na akili ndogo ya kung'amua na kubaini nguvu ya wapinzani wao imetokana na Chemistry nzuri ya chama na wafuasi wao,

Mfano mdogo ni hii propaganda ya katibu & Co wa CHADEMA Heche kula hela za donation kutoka kwa wanachama naona kitengo cha Propaganda kutoka CCM wamekivalia njuga na ajabu wote wanatumia style moja kuisambaza yaani ni kama imeratibiwa na mtu na wao kupewa scrip kiasi ambacho kinaitoa kwenye uhalisia na kuonekana ni cheap Propaganda,

Nashauri kwa Chama kikubwa kama CCM andaeni watu smart wa kutengeneza script nzuri ambayo itakua na hoja nzito za kuwakabia juu wapinzani wenu kama wao wanavyo wakabia juu
Kuliko kuandaa kitu kinachostukiwa na wapinzani kirahisi,
Tatizo la CCM ni kutumia watu wale wale kuandaa badala ya kua wabunifu kama wenzenu,

Nimelize na hili kuweni smart kuweka chambo kwenye shimo la nyoka maana ukitia mkono utaupanda mwili wako sumu!
chama cha siasa kilishadead, imebaki mitutu ya bunduki
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kila chama cha Siasa hua na kitengo maalumu cha kutengeneza mbinu zao kuwakabia juu wapinzani wao,
Mbinu hizo hutumika kama tool ya kuanzisha au kuhamisha mijadala ya mhimu ili kutia wenge wapinzani wao wajichanganye na wao wapate point 3 za mhimu katika maswala mbali mbali,

Kwa hapa Tanzania Chama tawala Yaani CCM kitengo cha Propaganda kinafeli sana kila kinapoanzisha kampeni yake, sababu kubwa ni waandaji kua na akili ndogo ya kung'amua na kubaini nguvu ya wapinzani wao imetokana na Chemistry nzuri ya chama na wafuasi wao,

Mfano mdogo ni hii propaganda ya katibu & Co wa CHADEMA Heche kula hela za donation kutoka kwa wanachama naona kitengo cha Propaganda kutoka CCM wamekivalia njuga na ajabu wote wanatumia style moja kuisambaza yaani ni kama imeratibiwa na mtu na wao kupewa scrip kiasi ambacho kinaitoa kwenye uhalisia na kuonekana ni cheap Propaganda,

Nashauri kwa Chama kikubwa kama CCM andaeni watu smart wa kutengeneza script nzuri ambayo itakua na hoja nzito za kuwakabia juu wapinzani wenu kama wao wanavyo wakabia juu
Kuliko kuandaa kitu kinachostukiwa na wapinzani kirahisi,
Tatizo la CCM ni kutumia watu wale wale kuandaa badala ya kua wabunifu kama wenzenu,

Nimelize na hili kuweni smart kuweka chambo kwenye shimo la nyoka maana ukitia mkono utaupanda mwili wako sumu!
Kitengo cha Propaganda cha CCM hakifanyi kazi za kijinga kama hizo. Bali kazi yake ni kuelezea mambo mazuri Serikali ya CCM inayafanya kwa wananchi wake na ndio maana kila Uchaguzi Mkuu ukifika, wananchi wanakipa ridhaa ya kuendelea kuongoza.
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kila chama cha Siasa hua na kitengo maalumu cha kutengeneza mbinu zao kuwakabia juu wapinzani wao,
Mbinu hizo hutumika kama tool ya kuanzisha au kuhamisha mijadala ya mhimu ili kutia wenge wapinzani wao wajichanganye na wao wapate point 3 za mhimu katika maswala mbali mbali,

Kwa hapa Tanzania Chama tawala Yaani CCM kitengo cha Propaganda kinafeli sana kila kinapoanzisha kampeni yake, sababu kubwa ni waandaji kua na akili ndogo ya kung'amua na kubaini nguvu ya wapinzani wao imetokana na Chemistry nzuri ya chama na wafuasi wao,

Mfano mdogo ni hii propaganda ya katibu & Co wa CHADEMA Heche kula hela za donation kutoka kwa wanachama naona kitengo cha Propaganda kutoka CCM wamekivalia njuga na ajabu wote wanatumia style moja kuisambaza yaani ni kama imeratibiwa na mtu na wao kupewa scrip kiasi ambacho kinaitoa kwenye uhalisia na kuonekana ni cheap Propaganda,

Nashauri kwa Chama kikubwa kama CCM andaeni watu smart wa kutengeneza script nzuri ambayo itakua na hoja nzito za kuwakabia juu wapinzani wenu kama wao wanavyo wakabia juu
Kuliko kuandaa kitu kinachostukiwa na wapinzani kirahisi,
Tatizo la CCM ni kutumia watu wale wale kuandaa badala ya kua wabunifu kama wenzenu,

Nimelize na hili kuweni smart kuweka chambo kwenye shimo la nyoka maana ukitia mkono utaupanda mwili wako sumu!
hot air 🐒
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kila chama cha Siasa hua na kitengo maalumu cha kutengeneza mbinu zao kuwakabia juu wapinzani wao,
Mbinu hizo hutumika kama tool ya kuanzisha au kuhamisha mijadala ya mhimu ili kutia wenge wapinzani wao wajichanganye na wao wapate point 3 za mhimu katika maswala mbali mbali,

Kwa hapa Tanzania Chama tawala Yaani CCM kitengo cha Propaganda kinafeli sana kila kinapoanzisha kampeni yake, sababu kubwa ni waandaji kua na akili ndogo ya kung'amua na kubaini nguvu ya wapinzani wao imetokana na Chemistry nzuri ya chama na wafuasi wao,

Mfano mdogo ni hii propaganda ya katibu & Co wa CHADEMA Heche kula hela za donation kutoka kwa wanachama naona kitengo cha Propaganda kutoka CCM wamekivalia njuga na ajabu wote wanatumia style moja kuisambaza yaani ni kama imeratibiwa na mtu na wao kupewa scrip kiasi ambacho kinaitoa kwenye uhalisia na kuonekana ni cheap Propaganda,

Nashauri kwa Chama kikubwa kama CCM andaeni watu smart wa kutengeneza script nzuri ambayo itakua na hoja nzito za kuwakabia juu wapinzani wenu kama wao wanavyo wakabia juu
Kuliko kuandaa kitu kinachostukiwa na wapinzani kirahisi,
Tatizo la CCM ni kutumia watu wale wale kuandaa badala ya kua wabunifu kama wenzenu,

Nimelize na hili kuweni smart kuweka chambo kwenye shimo la nyoka maana ukitia mkono utaupanda mwili wako sumu!
Sasa kama makamo mwenyekiti, Toka Mimi Nina miaka 9_56, unategemea kutakuwa na jipya hapo!
 
Husika na kichwa cha habari hapo juu,kila chama cha Siasa hua na kitengo maalumu cha kutengeneza mbinu zao kuwakabia juu wapinzani wao,
Mbinu hizo hutumika kama tool ya kuanzisha au kuhamisha mijadala ya mhimu ili kutia wenge wapinzani wao wajichanganye na wao wapate point 3 za mhimu katika maswala mbali mbali,

Kwa hapa Tanzania Chama tawala Yaani CCM kitengo cha Propaganda kinafeli sana kila kinapoanzisha kampeni yake, sababu kubwa ni waandaji kua na akili ndogo ya kung'amua na kubaini nguvu ya wapinzani wao imetokana na Chemistry nzuri ya chama na wafuasi wao,

Mfano mdogo ni hii propaganda ya katibu & Co wa CHADEMA Heche kula hela za donation kutoka kwa wanachama naona kitengo cha Propaganda kutoka CCM wamekivalia njuga na ajabu wote wanatumia style moja kuisambaza yaani ni kama imeratibiwa na mtu na wao kupewa scrip kiasi ambacho kinaitoa kwenye uhalisia na kuonekana ni cheap Propaganda,

Nashauri kwa Chama kikubwa kama CCM andaeni watu smart wa kutengeneza script nzuri ambayo itakua na hoja nzito za kuwakabia juu wapinzani wenu kama wao wanavyo wakabia juu
Kuliko kuandaa kitu kinachostukiwa na wapinzani kirahisi,
Tatizo la CCM ni kutumia watu wale wale kuandaa badala ya kua wabunifu kama wenzenu,

Nimelize na hili kuweni smart kuweka chambo kwenye shimo la nyoka maana ukitia mkono utaupanda mwili wako sumu!
Think tank wao anayeandaa script ni Tlaatlaah unategemea nini.
 
Shida sio usmart wa wanaotengeneza propaganda au propaganda zenyewe, shida kubwa ni wapokeaji wa hizo propaganda zao wa sasa G -z , wapokeaji wa propaganda za sisiem nyakati za Tanzania ya GIZA yaani hakuna Teknolojia walikuwa na uelewa ndogo sana juu ya mambo mengi ya Nchi hii ndio maana walipata urahisi wakukubalika hata kama propaganda zao zililuwa za kijinga.
Gen-Z saizi wanapima na kufanaya reasoning ya kila jambo ndio maana unaona kila wanacholeta kinafeli vibaya sana, propaganda zao hazilengi kusaidia jamii zinalenga kushambulia upinzani kitu ambacho ndio kufeli kwake kwasababu wapokeaji wanataka wasemewe juu ya changamoto zao za maisha, ukosefu wa ajira watu kutekwa hovyo lkn badala yake ccm wamejikita kutetea yanayolalamikiwa na wapokeaji wa hizo propaganda zao.
Chadema wanafanikiwa kwenye propaganda zao kwasababu kubwa Moja propagandist wao anaanda ajenda zao kulingana na uhalisia wa maisha ya wapokeaji na matendo halisi ya serikali na ccm yao....!!.
 
Back
Top Bottom