joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 19,396
- 41,513
Onesha sehemu niliyosema Davido hawezi kumuita diamond,
Mbona jamaa unakuwa mwepesi kusahau....
Naona unajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe,mpaka unasahahu ulichoandika dk 5 zilizopita au umeandikiwa hujaandika ww?.Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman