Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Clouds Tigo Fiesta kukiwasha Taifa

Onesha sehemu niliyosema Davido hawezi kumuita diamond,
Mbona jamaa unakuwa mwepesi kusahau....
Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
Naona unajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe,mpaka unasahahu ulichoandika dk 5 zilizopita au umeandikiwa hujaandika ww?.
 
Naona unajikaanga kwa mafuta yako mwenyewe,mpaka unasahahu ulichoandika dk 5 zilizopita au umeandikiwa hujaandika ww?.
Unajua kutofautisha "kuomba msaada" na "kumuita"??
Mimi nakataa unavyodai Davido kamwomba msaada domo
Kumuita domo hata mimi nikiamua namuita
Ujue kutofautisha kauli,au na we ni from kolomije
 
Jamaa utumie akili sometimes,kwan unaangalia show kwanza ndo unalipa,au unalipa kwanza ndo unaangalia show!!???

Watu walilipa laki lakini walichokutana nacho ni ushubwada mtupu..ukiondoa wizkid na tiwa kuna msanii gani mwingine wa maana aliye-perform wasafi ambaye hawezi kufanya fiesta
Hii ndio akili ya mtanzania
 
Kwa kiingilio Cha 3000 wasafi festival itabaki kuwa baba lao.
We kama hutaki nenda kalipe 10000...lakini hiki kiingilio ni cha kila mtu uwanja utajaa hadi utapike

Wataingia watu hata ambao hawajawahi kuingia kwenye show yoyote, ni clouds tu inawapa fursa hadi masikini kufurahi kwa sababu clouds ni ya fursa
 
Ila zile kopi na pesti za yule jamaa yenu..mzee wa *nimeokota kidude" nyimbo tumeimba chekechea,leo anakuja kuwaimbia nyie

Unazungumziaje zile nyimbo za mr nice kikuku , kikulacho na nyimbo za kiba hadith akuweka vitu vya kuimba watoto?

Acha uzwazwa utimu unakupeleka pabaya wamepeleka tarehe 12 mwezi ujao wakijua fika watapiga promo la mwezi mzima kujaza uwanja ila nakwambi ukweli tu ubunifu hakuna apo
Yani mtu atoe buku tatu ana mke na watoto wanataka wakae mahala pao wewe umchanganye na watu asiowapenda
Ukosefu wa ubunifu yaani hakuna VIP wala nini
 
Unajua kutofautisha "kuomba msaada" na "kumuita"??
Mimi nakataa unavyodai Davido kamwomba msaada domo
Kumuita domo hata mimi nikiamua namuita
Ujue kutofautisha kauli,au na we ni from kolomije
Kwa hiyo wewe kiricho kukasirisha kusema Davido kamwomba Diamond akafanye naye show Next Door Arena.Haya sikiliza intvw hiyo Sam Misago najua hutokubali na sikulazimishi,ILA DAVIDO ALIMWOMBA DIAMOND AKAPERFORM KWENYE SHOW YAKE.Sasa utajua mwenyewe ukubali au ukatae lakini hamna kitakacho badilika.
 
We kama hutaki nenda kalipe 10000...lakini hiki kiingilio ni cha kila mtu uwanja utajaa hadi utapike

Wataingia watu hata ambao hawajawahi kuingia kwenye show yoyote, ni clouds tu inawapa fursa hadi masikini kufurahi kwa sababu clouds ni ya fursa
Clouds wameishiwa ubunifu ruge kaondoka na ubunifu wake Hilo tamasha limekuwa Kama bonaza
 
We kama hutaki nenda kalipe 10000...lakini hiki kiingilio ni cha kila mtu uwanja utajaa hadi utapike

Wataingia watu hata ambao hawajawahi kuingia kwenye show yoyote, ni clouds tu inawapa fursa hadi masikini kufurahi kwa sababu clouds ni ya fursa

Kwani kiingilio kua elfu 3 ndo ishara kua maskini wanaingia ?
Dah Wewe ni mpumbavu naomba ujipige kifuani uku ukisema mimi ni mjinga sana nimetumia pesa ya mlezi wangu vibaya ehee Mungu nihurumie
 
Kwani kiingilio kua elfu 3 ndo ishara kua maskini wanaingia ?
Dah Wewe ni mpumbavu naomba ujipige kifuani uku ukisema mimi ni mjinga sana nimetumia pesa ya mlezi wangu vibaya ehee Mungu nihurumie
Huyo jamaa atakuwa soudy brown.
 
Sio kwa ubaya ila clouds kama wamechanganyikiwa na balaa zitoo wangesoma madhaifu walioyaona. Juz Upande wa pili alaf ndio wangejipanga vzr #mfano walete live 100parcent alaf .Alist yao isiwe na wasanii wa bongo tu .watu wameshawazoea kila cku tunawaona . watushushie Drake. watajaza tu
Wakimleta Drake Clouds Media Group inafilisika mazima.
 
Wameamua kupeleka uwanja wa taifa! Je wamesahau kilichotokea mwaka elfu 2 pale taifa? Wamewasahau wahuni wa Temeke?
 
show inafanyika uwanja wa uhuru.
Clouds hawajawahi kubahatisha tigo fiesta dsm kufanyika uwanja wa taifa tarehe 8 kiingilio ni sh 3000 na getini 5000 hiki ni kiingilio cha kimwananchi kabisa,ukikosa shauri yako
Clooooooooooouds FM
Tuonane tarehe 8 levels baby
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom