DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,503
- 29,900
Una akili timamu ?Davido amwombe msaada domo..we umelewa nini!!!..Davido anafanya makolabo na akina Chris breeze huko majuu jamaa yenu kakazana kukopi na kupesti,anafanya kolabo na wakongoman
Huyo Chris Brown ni mmoja ya wataalamu wa kufanya sampling nyimbo za wengine. Muwe mnafanya utafiti kabla ya kukurupuka
wasanii wetu wa ndani