CHAMVIGA
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 7,687
- 2,240
Freedom of mass media lazima uzingatiwe kila upande, nyie mnataka yanayoiumbua serikali yanatangazwe ila ya mipango yenu ya mauaji yafukiwe,subiri watanzania waambiwe ukweli.
Si mnasema watanzania wanajua kuchambua mbivu na mbichi? Iweje hili la mikanda ya video ya kutaka kumuua mhariri kibanda isiwekwe wazi?.
Si mnasema watanzania wanajua kuchambua mbivu na mbichi? Iweje hili la mikanda ya video ya kutaka kumuua mhariri kibanda isiwekwe wazi?.