CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda

Hata wamefanya maisha ya watanzania kuwa magumu, huduma mbovu za jamii, ufisadi, na wamesababisha ukosefu wa kinga za uwajibikaji na utawala wa sheria a.k.a rada , richmond, epa, twiga, jairo, nk mbaya sana si safi sana.
 
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.

487447_10151463749788190_1478148903_n.jpg
 
Ivi Mnaanzaje kumtetea Lwakatare...achani Upuuuzi na Unazi ajiteteee kwanza ndio tupime utetezi wake na mlinganisho wa Video
 
yaan hata hujui...ni jf au goutube?..km hujui video ukisha upload huwezi kuizuia mana kila mtu anakuwa na acces nayo..ungemlaumu aliyeupload...ni makosa kwa clouds kucheza video kwa kisingizio eti iko youtube..nia ni kuchafua si kutoa habari na kujenga chuki dhidi ya anayetuhumiwa...

Ndugu video za YouTube ni Mali ya aliyeweka hiyo video kwenye hiyo account , anaweza fanye setting ya access yaani kuitoa kwenye public na Kuwa private yaani yeye tu kuiona, lakini pia anaweza ifuta Kama akitaka, Kama aliyeweka YouTube akifuta link zote zina baki na dead end no video , labda Kama mtu ame download na ku upload hapa JF yes itabaki...naona unaongea kwa hisia bila utafiti au weledi wa issue husika
 
Mkuu Nyani Ngabu
Chadema ni wanafiki wakubwa hawana sera na mashinikizo mengi waliyoyafanya kutafuta kuungwa mkono hayakufanikiwa; haya wanayoyafanya yanajulikana kweli itadhihiri siku si nyingi

Chama
Gongo la mboto DSM

nyie mwogopeni Mungu..sijui mtaweka wapi sura zenu huo ukweli ukidhiihirika..afu ni aibu kwa mtu mzima kama wewe kushabikia mambo usiyo na hakika nayo labda tu uwe miongoni mwa mliopanga hiyo mipango miovu..na kama ndivyo kumbuka Mungu hajalala na si dhalimu km mlivyo nyinyi..tumieni nguvu zenu zote lkn hamuwezi kupangua mipango ya Mungu kwa wa Tz..tena kwa hatua mliyofikia sijui hata km 2015 mtafika..mene mene tekeli na pelesi CCM
 
Last edited by a moderator:
Watch this http://m.youtube.com/watch?feature=relmfu&v=fpwhA-LdOHo
Polisi wawe makini na hizi video za YouTube , siwezi sema wasichukue hatua lakini wafanya forensic check kabla ya kuvaa mtu, walitakiwa kutoa taarifa kwanza kuhusu hiyo video kwamba ni ya kweli na wameshaithibitisha hivyo wamemkamata mtuhumiwa,
Polisi wa natakiwa kithibitisha beyond doubt njia wazotumia kuisoma hiyo video na kulizika nayo kwamba ni kweli , hivi zile picha za the utamu kiongozi wa kitaifa akifanywa mambo mabaya zilikuwa kweli?
Let get serious with our country, tukio la kwanza ilipashwa iwe taarifa kuhusu hiyo video yaani polisi wameithibitisha!? Kisha iwe kukamata mtuhumiwa
 
Watch this "Inauguration 2013: A Bad Lip Reading:
Polisi wawe makini na hizi video za YouTube , siwezi sema wasichukue hatua lakini wafanya forensic check kabla ya kuvaa mtu, walitakiwa kutoa taarifa kwanza kuhusu hiyo video kwamba ni ya kweli na wameshaithibitisha hivyo wamemkamata mtuhumiwa,
Polisi wa natakiwa kithibitisha beyond doubt njia wazotumia kuisoma hiyo video na kulizika nayo kwamba ni kweli , hivi zile picha za the utamu kiongozi wa kitaifa akifanywa mambo mabaya zilikuwa kweli?
Let get serious with our country, tukio la kwanza ilipashwa iwe taarifa kuhusu hiyo video yaani polisi wameithibitisha!? Kisha iwe kukamata mtuhumiwa

wanatii maagizo ya bosi zao mkuu..yaan hapo ndo unashtuka kwamba kila kitu kilipangwa kabla..sasa mbaya wanafanya mpk unashtuka kuna kamchezo ila waache wajiingize kichwakichwa ili wajimalize kwa mikono yao
 
Kwa YouTube na JF, pamoja na taratibu hizo, mwanachama anaweza kutoa taarifa kwa waendeshaji pale anaposoma ama kuona habari isiyo stahili katika jamii; au matumizi ya lugha isiyopendeza mbele ya jamii. Yaani, anaweza kureport pale panapokuwa na abusive contents.

Kwa Clouds sifahamu utaratibu wao!

Navyojua kwa media Kama clouds, tbc , itv and the like wakitoa tukio ina maana wamethibitisha ni la kweli, Kama hawana hakika na source kitararibu wanabanwa kuikana video/Audio kwa kusema kwamba hiyo source aijathibitishwa,
Kwenye kuthibitisha kuna mambo wanaweza fanya wao na kuna mambo yako chini ya polisi yaani Kama uchunguzi ni nje ya utaalamu wao, njia nyingine ni Kama cloud wange comment kwamba kuna mtaalamu wao au out sourced ameithibitisha hiyo video sio graphic , nje ya hapo ni kukosa umakini.
BBC na CCN wanatumia sana video za YouTube lakini Kama source sio ya kuaminika mara zote watasema kwamba hawana hakika au wanasubiria confirmation.
Argument kwamba cloud na JF ni Sawa kwamba Kama ipo hapa JF then Sawa kwa cloud ni ya kimakosa, JF aibanwi na TCRA kwa level Sawa na cloud
 
Navyojua kwa media Kama clouds, tbc , itv and the like wakitoa tukio ina maana wamethibitisha ni la kweli, Kama hawana hakika na source kitararibu wanabanwa kuikana video/Audio kwa kusema kwamba hiyo source aijathibitishwa,
Kwenye kuthibitisha kuna mambo wanaweza fanya wao na kuna mambo yako chini ya polisi yaani Kama uchunguzi ni nje ya utaalamu wao, njia nyingine ni Kama cloud wange comment kwamba kuna mtaalamu wao au out sourced ameithibitisha hiyo video sio graphic , nje ya hapo ni kukosa umakini.
BBC na CCN wanatumia sana video za YouTube lakini Kama source sio ya kuaminika mara zote watasema kwamba hawana hakika au wanasubiria confirmation.
Argument kwamba cloud na JF ni Sawa kwamba Kama ipo hapa JF then Sawa kwa cloud ni ya kimakosa, JF aibanwi na TCRA kwa level Sawa na cloud

Kwani Clouds wameiripotije hiyo video? Wameiripoti kama fact kabisa au kama tuhuma tu?

Na hakuna anayesema JF ni sawa na Clouds. Kinachosemwa ni kwamba hiyo video tayari ipo kwenye public domain hata kabla ya Clouds kuicheza leo.

Kabla ya Clouds kuicheza hiyo video ilikuwa imesha-generate buzz ya kutosha kuifanya kuwa newsworthy. Sasa leo Clouds wameicheza ndiyo imekuwa nongwa. Eti kwa kufanya hivyo ni wanachochea vurugu. Really?

CHADEMA wenyewe wameitisha presser leo. Si jambo dogo hili na jamii ina kila haki kujua kilichotokea.

 
Last edited by a moderator:
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.

Anaitaka the hague huyu Kibonde.
 
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
Hiyo radio ni yakwao na sii kama nyingine ipo kimalsai zaidi pili huyo jamaa anautafuta ukuu wa mkoa kwa nguvu zote .
 
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda

Umesahau na Daudi Mwangosi wamemuua na kumtesa Ulimboka na kumuua baba wa Taifa Nyerere and the list cont.........
 
Nape pia alishawahi kuwa CCJ, Shonza na Mwapamba walishawahi kuwa CDM.

Kwa mantiki hiyo umeelewa kwamba Lwakatare ni muuaji nashukuru kwa kuelewa somo

Chama
Gongo la mboto DSM
 
nyie mwogopeni Mungu..sijui mtaweka wapi sura zenu huo ukweli ukidhiihirika..afu ni aibu kwa mtu mzima kama wewe kushabikia mambo usiyo na hakika nayo labda tu uwe miongoni mwa mliopanga hiyo mipango miovu..na kama ndivyo kumbuka Mungu hajalala na si dhalimu km mlivyo nyinyi..tumieni nguvu zenu zote lkn hamuwezi kupangua mipango ya Mungu kwa wa Tz..tena kwa hatua mliyofikia sijui hata km 2015 mtafika..mene mene tekeli na pelesi CCM

post 22? Multiple ID

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda

m--n-e.
 
Kwa maslahi ya Usalama wa Taifa, kulinda tamaduni n.k nchi ya China imefungia mitandao yote ya kijamii kama Facebook, Youtube n.k...ingawa nia ilikuwa kuwaziba midomo wanaharakati wa haki za kibinadamu na wale wa kisiasa (Tibet, Taiwan n.k), lakini kwa namna nyingine ni kuepusha propaganda kama hizi.
 
Hapa mchakato mzima ni kuiundia chadema kashfa na kuitoa kwenye ramani kwakua indicator ya ku take over imewaka tena ya kijani,viva wanaharakati na wanamapinduz ya kwel
 
nyie mwogopeni Mungu..sijui mtaweka wapi sura zenu huo ukweli ukidhiihirika..afu ni aibu kwa mtu mzima kama wewe kushabikia mambo usiyo na hakika nayo labda tu uwe miongoni mwa mliopanga hiyo mipango miovu..na kama ndivyo kumbuka Mungu hajalala na si dhalimu km mlivyo nyinyi..tumieni nguvu zenu zote lkn hamuwezi kupangua mipango ya Mungu kwa wa Tz..tena kwa hatua mliyofikia sijui hata km 2015 mtafika..mene mene tekeli na pelesi CCM

Mungu hawezi kuwa pamoja na siasa za Tanzania hata siku moja! Siasa gani? Hizi zinazoendeshwa na Manyang'au wa Kisiasa?! Watu kama sisi tunaweza kuwa manipulated na wanasiasa lakini sio mungu!!
 
Hapa hatuongelei ushabiki; ndani ya Chadema wapo wauji wengi na wanajulikana

Chama
Gongo la mboto DSM

mmechukua hatua gani baada ya kugundua kuwa cdm kuna wauwaji wengi?
 
mi nahis clouds hawaijui kazi yao vizuri,kama kweli ni kituo kinachoelewa kazi yao vizuri hawawezi kurusha ile clip,eti wanajiita super brands upuuz mtupu!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom