CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Mungu hawezi kuwa pamoja na siasa za Tanzania hata siku moja! Siasa gani? Hizi zinazoendeshwa na Manyang'au wa Kisiasa?! Watu kama sisi tunaweza kuwa manipulated na wanasiasa lakini sio mungu!!
huwa nakosa amani inapofika hatua ya kumuhusisha Mungu na hizi siasa zetu, sina uhakika na juu ya ulinganisho wake.
 
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.

Inawezekana ni sehemu ya waandaaji wa hiyo picha, maana kwa mwelewa hiyo ni picha tu iliyotengenewa Bongo Movies
 
CLOUDS BIG UP! Kama imewekwa JF kwanini iwe haramu kusikilizwa clouds. Wananchi tuna haki ya kupata habari. Chadema mnaweweseka!
 
Kwani shida hapo nini, mie sielewi mbona ushabiki upo mbele, kwani clouds wao wamesema video ni sahihi, hilo ndilo lilikuwa neno la kujadili, ina maana mtanzania asiyeweza kuaccess mtandao asipate picha ya kinachozungumzwa, mbona hoja zingine hazina upeo, acha ushabiki,

nimefungulia radio na kumsikia kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la mwananchi juu ya polisi kumkamata lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi clouds fm kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
 
Hata sasa hivi 2.15 wanaicheza tena na Gerald Hando anatoa kejeli nyingi sana kama kawaida yake.
 
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.

Katika kujipendekeza kwake, Kibone anashindwa hata kuona hawa wahanga ni ndugu zake... Mara nyingine mtu unatakiwa uwe na uchungu katika mambo ya msingi
 

Katika kujipendekeza kwake, Kibone anashindwa hata kuona hawa wahanga ni ndugu zake... Mara nyingine mtu unatakiwa uwe na uchungu katika mambo ya msingi

Nilitaka kum-define huyu kilaza kibonde ila naogopa ban
 
Great Thinkers wanashangilia hii video kuwekwa hapa JF lakini wanataka Clouds FM wasiitangaze?

That's a double standard. Kama haifai kutangazwa na Clouds ina maana haifai kuwekwa JF pia.

Sio kila atumiaye JF ni great thinker!
Ndio sababu kuna ban. Huwezi kula ban kama wewe ni thinker, kwa sababu unafikiri kabla ya kutenda. Wanaotenda kabla ya kufikiri ndio wanaoichafua JF
 
Ila yawezekana hiyo ni kweli,ingekuwa ya kupika hata audio ingekuwa better,tusubiri,ukweli anaujua Lwaks na waliompiga
 
Siku hizi Clouds FM haina tofauti na Radio ya CCM ya TBC. Hata leo asubuhi nimemsikia Gerald Hando alivyokuwa anaongea kishabiki kuhusu hiyo clip. Mwenzio naona bora nisikilize Radio Maria badala ya hii redio ya Clouds FM. Ndo maana Ruge Mutahaba hivi karibuni alikuwa analalamikia kuwa mapato ya matangazo yamepungua sana, kisa eti mambo ya digital! Hawajui kuwa ugonjwa umeletwa na watangazaji wao wanaoongea mambo kishabiki badala la kitaalamu.
 
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda
nisaidie mkuu hivi ile issue ya kusulubiwa kwa Ulimboka na jamaa kwa jina la Rama na ile ya Wauaji wa Mwangosi - zimefikia wapi, jamaa wameshatiwa mbarani?

Pia nipe updates na nani alihusika maana nasikia pia kubenea alimwagiwa tindikali machoni kwa lengo la kumpofusha - yaani hawa CDM watatumaliza ki ukweli.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom