CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

CLOUDS FM warusha live clip ya Lwakatare

Status
Not open for further replies.
Mapenzi ya chama gani? Kwa hiyo unataka kusema kitu kinaweza kuwekwa public zaidi ya mara moja?

Huna discipline ya kufikiri unataka kuwa political commentator!

ndio, unaweza rudia kitu zaidi ya maramoja kukiweka public. Kwa mfano ile article ya Riz1 kukamatwa na madawa ya kulevya naweza kuipeleka tena public kupitia gazeti la UHURU.
 
Je,kesho wakiweka CD ya Ilunga kisha watu wakahamasika na kuanza kuua tutamlaumu nani? Acheni upumbavu media has impact to inflict social misery.Ndilo tatizo la nchi kuendeshwa bila miiko,huwezi kulinganisha JF na kituo cha redio au television kwenye kuhamasisha jamii kufanya jambo fulani.Hapa TCRA wakiwafumbia macho, kesho Radio ya dini fulani itaweka CD ya upande wa pili ili waamini wao wasikilize then itakuwaje? Rejea National Security Act inasema nini kabla ya kushabikia upumbavu huu.Mpaka sasa hata ninyi mnaoshabikia hamjui aliyerelease hiyo video ni nani, Mwigulu anazo CD nyingi wala hampiganii azipeleke kwenye vyombo vya usalama na aeleze amezipataje ila mnashabikia ujinga wa watu wachache wanaotengeza matukio ili kulinda maslahi yao.Nini hatma ya elimu,gas na uranium?
 
Kwa vyovyote vile Clouds hawana kosa hata kidogo katika kuicheza audio ya hiyo video. Hawana makosa. Hawana makosa. Hawana makosa. Ni unazi tu wa watu unaoghubika bongo zao kufikiri kimantiki zaidi.

Chifu, wapi nimesema Clouds wana makosa?

Mimi nilisaidia tu juu ya muendelezo wa maswali yaliyofikia hadi kwenye swali ulilouliza, "YouTube nao walikosea"? Kwa hiyo mimi nikatoa kidogo ufafanuzi juu ya hilo swali.

Mimi sina shida ya hiyo video kurushwa ama kuonyeshwa na kituo cha redio au TV, ama mitandao ya kijamii. Wala sina sioni kosa la Bukoba Boy aliyeweka hiyo video mule YouTube.
 
Je,kesho wakiweka CD ya Ilunga kisha watu wakahamasika na kuanza kuua tutamlaumu nani? Acheni upumbavu media has impact to inflict social misery.Ndilo tatizo la nchi kuendeshwa bila miiko,huwezi kulinganisha JF na kituo cha redio au television kwenye kuhamasisha jamii kufanya jambo fulani.Hapa TCRA wakiwafumbia macho, kesho Radio ya dini fulani itaweka CD ya upande wa pili ili waamini wao wasikilize then itakuwaje? Rejea National Security Act inasema nini kabla ya kushabikia upumbavu huu.Mpaka sasa hata ninyi mnaoshabikia hamjui aliyerelease hiyo video ni nani, Mwigulu anazo CD nyingi wala hampiganii azipeleke kwenye vyombo vya usalama na aeleze amezipataje ila mnashabikia ujinga wa watu wachache wanaotengeza matukio ili kulinda maslahi yao.Nini hatma ya elimu,gas na uranium?

Sharti kwangu kuwasalimu wenye hekima jamvini. Heshima kwako mkuu!
 
Hivi ni sahihi kwa JF kuendelea kuiachia hiyo video kwenye huu uzi?

Nasema JF ifungiwe mara moja kwa kukiuka maadili ya Mtanzania.

Ni sahihi kwa JF kuicha tuingalie kama video ni ya uongo mna wasiwasi gani?

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Chifu, wapi nimesema Clouds wana makosa?

Mimi nilisaidia tu juu ya muendelezo wa maswali yaliyofikia hadi kwenye swali ulilouliza, "YouTube nao walikosea"? Kwa hiyo mimi nikatoa kidogo ufafanuzi juu ya hilo swali.

Mimi sina shida ya hiyo video kurushwa ama kuonyeshwa na kituo cha redio au TV, ama mitandao ya kijamii. Wala sina sioni kosa la Bukoba Boy aliyeweka hiyo video mule YouTube.

Chombo cha habari kama CLOUDS, hakitakiwi kuchota udaku uswahilini bila hata kupepeta. Ni marufuku na nikinyume na miiko ya taaluma ya habari. Labda kama waajiliwa (nasita kuwaita waandishi) wa CLOUDS hawajui hilo.
 
Methali.

Mkuki mtamu kwa nguruwe, kwa binadamu mchungu.
 
Je,kesho wakiweka CD ya Ilunga kisha watu wakahamasika na kuanza kuua tutamlaumu nani?

Atalaumiwa Ilunga na hao wataoenda kuua. Huwezi kulaumu vyombo vya habari vinavyohabarisha jamii juu ya watu waovu pamoja na maovu yao. Kulaumu vyombo vya habari ni upumbavu wa hali ya juu. Na kwa taarifa yako, mahubiri ya Ilunga yamesharushwa na vyombo vya habari na hakuna aliyehamasika kwenda kuua mamia wala maelfu ya watu.

Acheni upumbavu media has impact to inflict social misery.

Mpumbavu hapa ni wewe. Vyombo vya habari vina wajibu wa kuya-expose maovu. Ku-expose uovu si sawa na kuchochea vurugu. Inavyoelekea wewe hujui tofauti baina ya hayo mawili. Clouds haikuchochea maovu yoyote leo. Imeicheza tu hiyo clip na kuripoti juu yake.

Ndilo tatizo la nchi kuendeshwa bila miiko,huwezi kulinganisha JF na kituo cha redio au television kwenye kuhamasisha jamii kufanya jambo fulani.

KKK wakiandamana huko, wakifanya upuuzi wao, huwa inaripotiwa kwenye vyombo vya habari vya ukweli na si kama hivyo vyenu. Kuripoti si kuhamasisha. Hata hilo hujui tofauti yake.

Halafu usidharau mitandao ya kijamii kama JF. Sijui unaishi chini ya mwamba gani wewe hadi hujui kuwa mageuzi ya Misri yalishika kasi kupitia mitandao ya kijamii kama Facebook na mingineyo. Bofya How an Egyptian Revolution Began on Facebook ujielimishe manake umepitwa na mengi.

Hapa TCRA wakiwafumbia macho, kesho Radio ya dini fulani itaweka CD ya upande wa pili ili waamini wao wasikilize then itakuwaje? Rejea National Security Act inasema nini kabla ya kushabikia upumbavu huu.Mpaka sasa hata ninyi mnaoshabikia hamjui aliyerelease hiyo video ni nani, Mwigulu anazo CD nyingi wala hampiganii azipeleke kwenye vyombo vya usalama na aeleze amezipataje ila mnashabikia ujinga wa watu wachache wanaotengeza matukio ili kulinda maslahi yao.Nini hatma ya elimu,gas na uranium?

Clouds haijachochea chochote wewe. Mbona uko sensitive hivyo? Upumbavu uliopo hapa ni nyinyi kutaka kugeuza attention kutoka kwa CHADEMA na kuwa Clouds. Huo ni ujinga.
 
Ni sahihi kwa JF kuicha tuingalie kama video ni ya uongo mna wasiwasi gani?

Chama
Gongo la mboto DSM

Wasiwasi wangu tumeletewa sinema fake, sasa kama ni ya uwongo niangalie ya nini?. Hata ile picha ya Ze Utamu iliyomwonesha mkuu wa kaya wakimrarua niliingiwa nawasiwasi!
 
Kesho REDIO IMANI itarusha hiyo clip hewani Kisha itarudi LUPANGO kuendelea na kifungo
 
Wasiwasi wangu tumeletewa sinema fake, sasa kama ni ya uwongo niangalie ya nini?. Hata ile picha ya Ze Utamu iliyomwonesha mkuu wa kaya wakimrarua niliingiwa nawasiwasi!

Hapa hatuongelei ushabiki; ndani ya Chadema wapo wauji wengi na wanajulikana

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Chombo cha habari kama CLOUDS, hakitakiwi kuchota udaku uswahilini bila hata kupepeta. Ni marufuku na nikinyume na miiko ya taaluma ya habari. Labda kama waajiliwa (nasita kuwaita waandishi) wa CLOUDS hawajui hilo.

Nani keshai-authenticate hiyo video hadi uiite udaku?
 
Msitufanye wajinga!Basi hata video ya mauaji ya Daudi Mwangosi nayo iwekwe hewani alafu tuone kama kuna mtu atakamatwa au kuhojiwa!

Uhuru wa vyombo vya habari hapa bongo ni wa kinafiki!Jiulize hii clip ingehusu viongozi wa chama tawala ingefika hapa ilipofika au kuna kiongozi yeyote wa chama tawala angekamatwa?

Zile picha za mauaji ya Mwangosi si ulikuwa ushahidi tosha ila mbona hakuna aliekamatwa wala kuhojiwa?

Binafsi, sipingi Lwakatare kuhojiwa, ila napinga huu "unafiki" na hii "doule standard" ya kijinga.

je yule askari polisi ambaye ameshafikishwa polisi kwa mauaji hayo ya mwangosi si mtu ?
 
Mi wala sina wasiwasi - swali langu lilikuwa sarcastic tu.

Mkuu Nyani Ngabu
Chadema ni wanafiki wakubwa hawana sera na mashinikizo mengi waliyoyafanya kutafuta kuungwa mkono hayakufanikiwa; haya wanayoyafanya yanajulikana kweli itadhihiri siku si nyingi

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Last edited by a moderator:
Safi sana,na ngoja iwekwe
ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda
kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa
wamemtoa jicho kibanda

Hivi! kijana 'Masudi' aliuwawa nani?kule igunga.
 
Safi sana,na ngoja iwekwe
ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda
kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa
wamemtoa jicho kibanda

Hivi! kijana 'Masudi' kada wa CDM aliuwawa nani?kule Igunga.
 
Hapa hatuongelei ushabiki; ndani ya Chadema wapo wauji wengi na wanajulikana

Chama
Gongo la mboto DSM

kweli kabisa wauaji wapo CDM na ndio waliomuua Kolimba na Nyerere. Pia CDM wanalitumia jeshi la polisi kuua watu kwani waliliagiza kumuua Mwangosi. Polisi hawa wameasi!
 
Chombo cha habari kama CLOUDS, hakitakiwi kuchota udaku uswahilini bila hata kupepeta. Ni marufuku na nikinyume na miiko ya taaluma ya habari. Labda kama waajiliwa (nasita kuwaita waandishi) wa CLOUDS hawajui hilo.

Chifu, naamini Clouds wametoa habari kupitia YouTube. Kama ndivyo, hicho ni chanzo cha habari, na si cha uswahilini. Walichopaswa Clouds kufanya wakati wanarusha habari hiyo, pengine wangetaja chanzo chw habari hiyo kuwa YouTube, kama ndivyo ilivyokuwa.

Chifu, hivi zile habari za kiuchunguzi zinavyotafutwa na kupatikana kwa njia za hidden microphones, camera, tracked/wired phone conversations n.k.,uwa miiko inafuatwa? Mbona huzitolei macho habari kama hizo kama wewe kweli unataka miiko ya taaluma ya habari ifuatwe?!?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom