Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,155
- 137,167
Hiyo video si tayari public knowledge?
Yeah, iko kwenye public domain tayari. Kosa ni kwa sababu tu Clouds radio wameicheza leo. Ingechezwa tuseme na Times FM wala isingekuwa ishu.
Hiyo video si tayari public knowledge?
Watavuka daraja watakapokutana naloNimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
Yeah, iko kwenye public domain tayari. Kosa ni kwa sababu tu Clouds radio wameicheza leo. Ingechezwa tuseme na Times FM wala isingekuwa ishu.
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
hapo ndio ushabiki wa kibonde unadhihirika wazi wazi
Kama unataka kulalamikia audio clip kuwekwa kwenye public domain anza na aliyeiweka JF.
Ilishawekwa JF.
JF Tayari ni public domain.
Kama unataka kulalamikia audio clip kuwekwa kwenye public domain anza na aliyeiweka JF.
Huwezi kuacha mtu mmoja kaweka kitu katika public domain, ukambalasa mwingine aliyekichukua katika public domain na kukisambaza katika public domain zaidi.
Kwa sheria gani?
Hii ni habari, Clouds ni wanahabari.
Kwa nini unataka kuminya uhuru wa vyombo vya habari.
Granted, Clouds is a house of madness, lakini, mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.
Kama hakuna sababu muhimu ya kufanya tofauti, mara zote nasimamia uhuru wa vyombo vya habari.
Hata kama chombo chenyewe sikifagilii kama Clouds FM.
kwahiyo JF kama imekosea, CLOUDS nao wanadandia kosa hilo hilo?.
Nimefungulia radio na kumsikia Kibonde akiwa anasoma taarifa iliyoandikwa katika gazeti la Mwananchi juu ya polisi kumkamata Lwakatare. Muda mfupi wakaweka audio ambayo iliwekwa humu jamvini. Hivi ni sahihi CLOUDS FM kuiweka public hii audio? Je itakuwaje kama itathibitika hii video and audio ni fake?.
Hivi ni sahihi JF kuiweka clip ya lwakatare kwenye internet?
mlolongo huo wa makosa kuanzia chanzo, U-tube hadi JF hauipi tiketi CLOUDS kujiunga nao!.
Safi sana,na ngoja iwekwe ITV kabisa ili watanzania wajue ukweli,wauaji wakubwa hawa. Wameenda kumua kijana wa morogoro,wamemtia kilema kijana wa igunga na sasa wamemtoa jicho kibanda